Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Utakuwa unaLipangazi mkuu sio shangazi 🤣🤣
Ndo maana huwa sifungui JF mchana huwa kuna poor threads 🤣🤣🤣 (joking)
Jamani weeeeh 😂😂😂
Ku express my feeling kwa mushangazi imekua poor thread....

Skia nyie museme tuu mtajua wenyewe 😂 😂 😂 😂 😂
 
Ulipotaja mshangazi nikakuonea wivu, nikasema kweli Vijana mnafaidi, maana enzi zetu Mwaka 47 hatukuwahi kuwa nao 😜

Hahaha.............kweli tumezeeka sasa 🤗
Walikuwa na majina yao maalum Graham unayajua unabania vijana tujue vya old kama ni Gold 😂
 
Limshangazi lenye Msambwanda wa hatari linakuogesha ukiwa ndani ya gu beseni gukubwa maji yametiwa iriki na mdalasini yamoto yananukia marashi ya Dubai linasema pole baba pole baba angu,
Baada ya hapo linasema unakula kwanza au unanila ndio ule?

Oy Poor Brain acha ujinga kijana Taifa linakutegemea wewe unawaza ujinga mchana huu na hili jua kali hapa mjini!
Aaagh!
😁😁
Poor Brain jamaa hapigwi jua maana mshangazi wake ndo mwamvuli wake, jua linawakanda wasio na miamvuli (Mshangazi)
 
Poor Brain jamaa hapigwi jua maana mshangazi wake ndo mwamvuli wake, jua linawakanda wasio na miamvuli (Mshangazi)
Wewe ni genius......
😂😂🙏🙏🙏 Unajua sana mambo..

Yaani humo humo aiseee mjini hapa so powa mkuuu 😂😂😂
 
Back
Top Bottom