Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kaka Kuna mmoja nimepata huku baharini Cc ephen_Vincenzo Jr tafuta mmoja huko ulongoni au mikadi utulie ule maisha jua kali mtaa wa Aggrey na likoma hapo πππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka Kuna mmoja nimepata huku baharini Cc ephen_Vincenzo Jr tafuta mmoja huko ulongoni au mikadi utulie ule maisha jua kali mtaa wa Aggrey na likoma hapo πππππ
Misumari inch 12Poor brain
Ubongo hafifu
Pauvre cerveau
Pobre cerebro
armes Gehirn
θεδΈε₯½
Acheni mafumbo πππMisumari inch 12
Wanaongea uwongo kaka Cc ephen_Wanasema unatoka na vimbau mbau mkuu ππππ
Hahaha...................Zamani Wanawake wote tulikuwa tukiwaita Kwa Majina mazuri mazuri tu mathalani Malikia, mrembo, Malaika, njiwa n.k yaani Majina ambayo yeye mwenyewe Mwanamke akisikia hata kama alikuwa ana ratiba ya kukunyima basi automatic atajikuta analegeza masharti π€Walikuwa na majina yao maalum Graham unayajua unabania vijana tujue vya old kama ni Gold π
Naelewa sasa....
Ogopa matapeli....
Ni vile ujapata tuu mshangazi mkuu wangu
Sa utafanyaje mzee wng maana nkikuuliza utasema anakufikisha peponi kama peponi umefika kuna nn hapo subri ukaonje na motoniππππShikilia hapohapo master na ukieenda Kwa Allah utamwambia kwann unisahau kwenu kisa stareheπππππ
Sa utafanyaje mzee wng maana nkikuuliza utasema anakufikisha peponi kama peponi umefika kuna nn hapo subri ukaonje na motoniShikilia hapohapo master na ukieenda Kwa Allah utamwambia kwann unisahau kwenu kisa stareheπππππ
Doh! Kwa hiyo unajiajir kwenye penzi Lake right?Wewe shangazi kwa pigo zako. Kila mtu atakung'ang'ania.
Sio kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi.
Uliponiroga karoga tena maana nainjoi umefanya mpaka nisahau kilichonileta hapa jijini dasalam.
Nakuachaje kwa mfano. Kwa hizi starehe.... πππππ
Kwa sasa namtukuza mungu na nimetulia wallah tena....Kwanini mnakuwa malaya nyie vijana, mnashindwa kumtukuza Mungu
Yes sichomwi najua sasa maana huwezi amini mda wote nipo ndaniDoh! Kwa hiyo unajiajir kwenye penzi Lake right?
Mali na kila kitu so mapenz mapenz na kipato vyt Vina nafc tofauti anaweza akalipa vicoba akakupa password kumbe mwenye mirathi kamficha nyumbaniJe hata wewe unamuachaje sasa......
Anakupa password yake....
Analipa vicoba kila week...
Nguo mpya....
Bado kila tukio upo nae...
Waza hivo alafu utakuja kujua how smart am i..ππππ
Nipo tegeta huku nimepowa nacheki movie hapa Cc ephen_ππππ Aaaah time will tell..
Kwa sasa nimehama mbagara majimatitu sasa nipo hapa buguruni πππ
ππππ Mkuu acha mambo yako ila takutambulisha ila ukiwa na familia yako ππNimesharudi, hebu nitambulishe Mkwe wangu nimfahamu π€