snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,065
- 24,559
Kwamba hawajuuuuuiiiiiii raha unazopewa!Naelewa sasa....
Ogopa matapeli....
Ni vile ujapata tuu mshangazi mkuu wangu ππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba hawajuuuuuiiiiiii raha unazopewa!Naelewa sasa....
Ogopa matapeli....
Ni vile ujapata tuu mshangazi mkuu wangu ππππππ
Niamke niende wapi...?Naona vile mshangazi ulivyokupa gari ya kutembelea, unahisi Dunia umeimaliza. Amka kijana!!! ππππ
Kazi yako wewe kula ulezi asubuhi pushup nyingi.. unapiga karanga na juisi ya tende jioni unapiga mazoez ya kukizungusha kiuno! Mshahara unaingia tuYes sichomwi najua sasa maana huwezi amini mda wote nipo ndani
Hawajui kabisa hii watakuja kujua baada ya wao kuingia kwenye hii system...Kwamba hawajuuuuuiiiiiii raha unazopewa!
Kwamba wakuache ukae kimfumoHawajui kabisa hii watakuja kujua baada ya wao kuingia kwenye hii system...
Weee Mshangazi ume winWewe shangazi kwa pigo zako. Kila mtu atakung'ang'ania.
Sio kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi.
Uliponiroga karoga tena maana nainjoi umefanya mpaka nisahau kilichonileta hapa jijini dasalam.
Nakuachaje kwa mfano. Kwa hizi starehe.... πππππ
ametutoa kimasomasoWeee Mshangazi ume win
Hongera kaka Cc ephen_Safiii mkuu mi kwa sasa nipo ndani hapa nasbri arudi nianze kazi zake za kuandika andika ma documented manini huko ππππ
Baada ya hapo ni kula alafu na kula tena
Na hakuna kitu hapendi kama akiona nakula kinyonge aiseee an hapo ni ugomvi..Kazi yako wewe kula ulezi asubuhi pushup nyingi.. unapiga karanga na juisi ya tender jioni unapiga mazoez ya kukizungusha kiuno! Mshahara unaingia tu
Uhuhuhuhuh π π π π utaweza ligi weweOle wenu niwafumanie ndo mtanijua mimi ni nani
Mi nilikuja ki maslahi ila kwa sasa naona kabisa nimezama mazima hapa BermudaKwamba wakuache ukae kimfumo
π π π π πametutoa kimasomaso
πππππ Mimi ndo nime win ila even yeye kwa jinsi navyojituma aaaah amewini kabisa π π πWeee Mshangazi ume win
tumpongeze mwenzetu!π π π π π
Aiseeee πππΨ«ΩΩΨΊΨΉΨΈΩ ΩΨͺΨΉ ΨͺΨͺΨͺ ΨΉ. Ψ§ΨͺΩΩΨͺ ΩΨΊΨ«Ψ«ΩΨΨΨπ
Chama gani hiko ππππtumpongeze mwenzetu!
Amebeba vizur bendera ya chama.