Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Wewe unamchanganya tuu dadek..
Mi nawambia river tulienda kwa kikao sijui nn maana mi nilibaki kwa gari tu sikukaa ndani sana
Mshangazi unafanya kikao na staff wenzake River side?
Dogooo em acha kujichoreshaa hapaa, hata hamkuwa kwa garii.
Mlikodi Bajaji, mxxxiieeeeww [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mshangazi unafanya kikao na staff wenzake River side?
Dogooo em acha kujichoreshaa hapaa, hata hamkuwa kwa garii.
Mlikodi Bajaji, mxxxiieeeeww [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😁😁😁😁😁 Bajaji ya nani jamni mbona mgumu kuelewa wewe au ujaona picha kule selfika...
 
Bana na pua kabisa ""kaweke nione""
We mchawi et [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kwendraaaaa! Mshangazi koko ndinga aitoe wapiii? Yeye ni ku request Uber na bolt tyuuh. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zipii hizo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee mwangalie bichwa..
Ukiona ame kutag jua unaenda kuzalilika 😁😁😁😁😁😁

The same na wewe unaonekana kwenye nyuzi zote za ajabu na huwa wanakuita kabisa an
 
Wee mwangalie bichwa..
Ukiona ame kutag jua unaenda kuzalilika [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

The same na wewe unaonekana kwenye nyuzi zote za ajabu na huwa wanakuita kabisa an
Sasa hapo ajabu nn? Mbona ni kawaida tyuu, na hakuna kweree kabisaa.
Relaaaaaxxx Dogoo, maisha mafupii hayaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwendraaaaa! Mshangazi koko ndinga aitoe wapiii? Yeye ni ku request Uber na bolt tyuuh. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Khaaa ndinga analo wallah tena...
😁😁😁😁Kama utaki basi bana utajua ww ila anayo na anampango wa kuchukua nyingine
 
Khaaa ndinga analo wallah tena...
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kama utaki basi bana utajua ww ila anayo na anampango wa kuchukua nyingine
Thubutuuuuuu!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…