Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Sasa hapo ajabu nn? Mbona ni kawaida tyuu, na hakuna kweree kabisaa.
Relaaaaaxxx Dogoo, maisha mafupii hayaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni dhambi alafu Mungu apendi pia ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ
 
Thubutuuuuuu!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu kesho jpili kuna event TAZARA pale tokea ukiwa mitaa ile we nipange...
Ili tuonane na ukutane nae bichwa wewe ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Na ubishi ubishi wako
 
Alafu kesho jpili kuna event TAZARA pale tokea ukiwa mitaa ile we nipange...
Ili tuonane na ukutane nae bichwa wewe [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Na ubishi ubishi wako
Kwendraaaaaaa!! Huna mchongoo weyee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila Mungu anapenda wee ulelewe na mshangaziii? Au unamzungumzia Mungu yupiii?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi sio nalelewa ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ
Kwanza yaishe maana naona unataka kutibua mambo hapa
Mfukunyuku tu
 
Kwendraaaaaaa!! Huna mchongoo weyee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ Mnataka kuaminishwa mnakimbia kimbia alaaaah
 
Trokaaaaaaaa hukoo, huna jipyaaa bhanaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jipya sina ila raha nazopata kila siku ni mpya ujue ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Ikishaivaa utaanza kunywaa weyeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakukaribisha ......uje kula diko la antiel wetu ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Siku unamuona nahisi utatamani ukimbie
 
Back
Top Bottom