Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Sasa hapo ajabu nn? Mbona ni kawaida tyuu, na hakuna kweree kabisaa.
Relaaaaaxxx Dogoo, maisha mafupii hayaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni dhambi alafu Mungu apendi pia 😬😬
 
Thubutuuuuuu!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu kesho jpili kuna event TAZARA pale tokea ukiwa mitaa ile we nipange...
Ili tuonane na ukutane nae bichwa wewe 😁😁😁😁😁😁

Na ubishi ubishi wako
 
Alafu kesho jpili kuna event TAZARA pale tokea ukiwa mitaa ile we nipange...
Ili tuonane na ukutane nae bichwa wewe [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Na ubishi ubishi wako
Kwendraaaaaaa!! Huna mchongoo weyee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila Mungu anapenda wee ulelewe na mshangaziii? Au unamzungumzia Mungu yupiii?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi sio nalelewa 😬😬😬😬
Kwanza yaishe maana naona unataka kutibua mambo hapa
Mfukunyuku tu
 
Kwendraaaaaaa!! Huna mchongoo weyee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😁😁😁😁 Mnataka kuaminishwa mnakimbia kimbia alaaaah
 
Trokaaaaaaaa hukoo, huna jipyaaa bhanaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jipya sina ila raha nazopata kila siku ni mpya ujue 😁😁😁
 
Ikishaivaa utaanza kunywaa weyeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakukaribisha ......uje kula diko la antiel wetu 😁😁😁😁😁😁😁😁
Siku unamuona nahisi utatamani ukimbie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…