Nakubali kuwa Mpira una Maajabu yake, ila Al Ahly FC tena Kwao nakataa hivyo naombeni kujua Ratiba ijayo ya Simba SC katika NBC Premier League yetu

Tatizo mdomo na malengo makubwa kuliko uhalisia! Unaitaka nusu fainali ya CAFCL unaenda kuokoteza wachezaji kutoka Rwanda, unasajili wachezaji takribani 9 ila wawili tu ndio wameingia kikosi cha kwanza![emoji23]
Maskini Ahmed Ally anatumwa kuaminisha mashabiki kuwa wana kikosi cha Chuma…[emoji23]
 
Ni vyema ukaufaa muundo na utaratibu wa kifedha wa mashindano haya ya AFL badala ya kukariri kile ambacho unakijua kuhusu CAFCL na CAFCC.
Mimi au wewe? Wewe ndio ukajifunze kwasababu yaonesha hujui. CAF huwa hawatoi pesa yeyote ile kwa ajili ya maandalizi. Na ndio maana unaona kuna timu zinashindwa kusafiri na zingine zinashindwa kushiriki michuano ya CAFCC na CAFCL sababu hawana uwezo kifedha
 
Kanjibhai wenu ni msanii sana alishawaona wafuasi wake ameshika akili zenu, Nasikia kawaahidi kina john boko bilioni moja WAKISHINDA Misri ni Kama anawakebehi akijua pesa yake Iko sehemu salama🤣🤣
 
Hizi Bilion 8 ni zipi tena??
Mbona CAF wenyewe walisema kila mshiriki anapewa Bilion 2.5 minimum itategemea na level utakayo ishia??
 
Weka ushahidi hapa kuwa CAF walitoa bil 5.8 za maandalizi kwa kila timu shiriki
 
Ahmed Aly na yeye si ni boya boya Kama walivyo wafuasi wao, tunajua anatetea ugali wake lakini Kuna vitu vingine anafanya vinamvua nguo na kuonekana Kama kituko Fulani hivi maana uhalisia wake unaonekana hadharani!
 
Kajifunze.
 
Fedha za maandalizi ya super league Kwa Kila Timu shiriki ni kiasi Gani????????.????.?.?.

We mtoto mdogo usipende kushindana na WATU WENYE akili Timamu.

Tena Simba ililamba BILIONI 5.8
Za maandalizi tu.

FICHA UPUMBAVU wako
Wewe ni miongoni mwa mashabiki wakubwa JF. Lini na wapi fedha ya maandalizi ikazidi fedha anayopewa bingwa? Wakati mwingine propaganda za mashabiki zinapoteza radha ya soka.
 
Msema kweli mpenzi wa Mungu...!!!
CC Kalpana, Mshana Jr et el
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…