Nakubaliana na hoja za Mhe Lissu, ila Mhe Mbowe ndiye anafaa kuwa Mwenyekiti

Nakubaliana na hoja za Mhe Lissu, ila Mhe Mbowe ndiye anafaa kuwa Mwenyekiti

MWAISEMBA CR

Member
Joined
Apr 21, 2014
Posts
87
Reaction score
81
Kwanza nianze kwa kusema, kutokana na vuguvugu hili la Uchaguzi wa Uenyekiti wa Chadema lilivyo na mvuto katika jamii ya Tanzania,nimetokea kufuatwa na wadau wengi wa kisiasa wakinitaka nitoe mtizamo wangu kuhusu hili na nieleze nani anafaa kati yao ingawa mimi binafsi ๐‘บ๐’Š๐’ ๐‘ป๐’†๐’‚๐’Ž ๐‘ณ๐’Š๐’”๐’– ๐’˜๐’‚๐’๐’‚ ๐‘บ๐’Š๐’ ๐‘ป๐’†๐’‚๐’Ž ๐‘ด๐’ƒ๐’๐’˜๐’† wala siyaandiki haya kuonyesha upande wangu ila nimeyanadika haya kwa kuyatazama kwa ๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘ช๐‘ฏ๐‘ถ ๐‘ณ๐‘จ ๐‘ป๐‘จ๐‘ป๐‘ผ ๐‘ฒ๐‘พ๐‘จ ๐‘ด๐‘จ๐‘บ๐‘ณ๐‘จ๐‘ฐ ๐’€๐‘จ ๐‘พ๐‘จ๐‘ต๐‘จ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘ซ๐‘ฌ๐‘ด๐‘จ

๐‘ท๐’Š๐’๐’Š,Nimekuwa mfuatiliaji na msikilizaji wa hoja za kila Upande bila kuwa bias kuliko wakati wowote,ila nimetokea kuvutiwa sana na Hoja za mheshimiwa ๐‘ป๐‘ผ๐‘ต๐‘ซ๐‘ผ ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘บ๐‘ผ hasa katika ile hotuba yake ya kwanza ambapo ameeleza dhamira yake ya dhati kuwa anahitaji ๐‘ด๐‘จ๐‘ฉ๐‘จ๐‘ซ๐‘ฐ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘ฒ๐‘ถ ๐‘ต๐‘ซ๐‘จ๐‘ต๐‘ฐ ๐’€๐‘จ ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘ด๐‘จ kutokana na Udhaifu mbalimbali alioutaja na kueleza kuwa kwa majira ya Utawala wa Serikali hii ya sasa, unahitaji mtu mwenye ideology kama yake ili kuleta mabadiliko ndani ya Chadema.Hii ni kweli kabisa

Pia kuna mambo mengi sana mheshimiwa Lisu ametufumbua macho watu wengi ambayo tulikuwa hatuyajui sana ya ndani ya Chadema na ambayo naamini huenda yana ukweli kwa asilimia kubwa sana.Nimependa sana Uwezo wake wa kujenga hoja nzuri mbele ya media na ujasiri wake wa kuthubutu hata kumchalengi mwenyekiti Mbowe kwa ushawishi mkubwa alio nao hasa katika kujenga hoja na kupangua hoja pinzani zote.Pia ameeleza yeye ni mkweli wala sio mnafki na hapendi kuficha Uovu hata kama unafanyika ndani ya chama chake ndio maana ametoka mbele ya dunia kueleza yaliyo ndani ambayo anaona yanapaswa kubadilishwa.

๐‘ณ๐’‚๐’Œ๐’Š๐’๐’Š, mimi kwa jicho langu la tatu, nimejiuliza mengi ambayo ndio nataka tujiulize wote pamoja, Na tuitumie ๐‘ฒ๐‘จ๐‘ต๐‘ผ๐‘ต๐‘ฐ ๐‘ด๐‘ถ๐‘ฑ๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ท๐‘ฐ๐‘ด๐‘จ ๐‘ผ๐‘ฒ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฐ ๐‘ต๐‘จ ๐‘ซ๐‘ฏ๐‘จ๐‘ด๐‘ฐ๐‘น๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ด๐‘ป๐‘ผ

Nimejiuliza sana, Je ukweli wote tunaoambiwa juu ya Chadema au juu ya udhaifu wa Mbowe, Sisi wote hata ambao sio Chadema tunapaswa kuufahamuโ‰๏ธJe ukweli huo unatusaidia nini tukiufahamuโ‰๏ธJe ukweli huo tukiufahamu unatujenga au unatubomoa kwa kiasi ganiโ‰๏ธ Je ni wakati sahihi wa kuusema ukweli huo na ni mahali sahihi pa kuuweka ukweli huuโ‰๏ธ Je tumefikiria impact yake baada ya kuuleta huo tunaouona ni ukweli kwa maslai ya kukijenga chama unachotaka kukiongozaโ‰๏ธ.

Kimsingi Yapo mengi ningeendelea kuyauliza na yenye kutafakarisha sana ila hapa naomba nieleze machache ya kuyajibia maswali hayo kabla ya kuagalia ile kanuni...

Hivi Just Imagine Umewaona Mama yako na Baba yako wanagombana na unaona Baba anamfukuza Mama yako na panga au bastola ili amuue, ila ukamuona kabisa mama yako amejificha nyuma ya mlango na ghafla baba yako ametokea kuuliza mama yako yupo wapi?๐‘ฑ๐‘ฌ ๐‘ผ๐‘ป๐‘จ๐‘ด๐‘พ๐‘จ๐‘ด๐‘ฉ๐‘ฐ๐‘จ ๐‘ผ๐‘ฒ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฐ, ๐’Œ๐’˜๐’‚๐’Ž๐’ƒ๐’‚ ๐‘ด๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Œ๐’‚๐’‹๐’Š๐’‡๐’Š๐’„๐’‰๐’‚ ๐‘ต๐’š๐’–๐’Ž๐’‚ ๐’š๐’‚ ๐‘ด๐’๐’‚๐’๐’ˆ๐’ ๐’Š๐’๐’Š ๐’‚๐’Ž๐’–๐’–๐’† ?(๐‘ท๐’Š๐’‚ ๐‘บ๐’Š๐’”๐’†๐’Ž๐’Š ๐‘ผ๐’”๐’†๐’Ž๐’† ๐‘ผ๐’๐’๐’ˆ๐’).๐‘ฑ๐’† ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐’˜๐’‚๐’Œ๐’‚๐’•๐’Š ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’›๐’Š๐’๐’ˆ๐’Š๐’“๐’‚ ๐’‰๐’‚๐’š๐’ , ๐‘ฑ๐’† ๐’๐’Š ๐’Ž๐’‚๐’‰๐’‚๐’๐’‚ ๐’”๐’‚๐’‰๐’Š๐’‰๐’Š ๐’‘๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’–๐’”๐’†๐’Ž๐’‚ ๐’‰๐’–๐’ ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š, ๐‘ฑ๐’† ๐’‰๐’–๐’ ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š ๐’–๐’•๐’‚๐’”๐’‚๐’Š๐’…๐’Š๐’‚ ๐’‚๐’– ๐’–๐’•๐’‚๐’–๐’‚?

๐‘ฒ๐’˜๐’‚ ๐’Ž๐’˜๐’†๐’๐’š๐’† ๐‘ฏ๐’†๐’Œ๐’Š๐’Ž๐’‚ ๐’๐’‚ ๐‘ฉ๐’–๐’”๐’‚๐’“๐’‚ ๐’‚๐’๐’‚๐’˜๐’†๐’›๐’‚ ๐’‚๐’”๐’Š๐’”๐’†๐’Ž๐’† ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š ๐’๐’‚ ๐’˜๐’‚๐’๐’‚ ๐’‚๐’”๐’Š๐’”๐’†๐’Ž๐’† ๐’–๐’๐’๐’ˆ๐’ ๐’Š๐’๐’Š ๐’Œ๐’–๐’Ž๐’–๐’๐’Œ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’š๐’‚๐’Œ๐’†.๐‘ด๐’‡๐’‚๐’๐’ ๐’–๐’Œ๐’Š๐’–๐’๐’Š๐’›๐’˜๐’‚ ๐’‰๐’Š๐’—๐’š๐’ ๐’˜๐’†๐’˜๐’† ๐’–๐’Œ๐’‚๐’„๐’‰๐’‚๐’ˆ๐’–๐’‚ ๐‘ฒ๐’–๐’Œ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’Š๐’‚ ๐’ƒ๐’Š๐’๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’–๐’”๐’†๐’Ž๐’‚ ๐’‰๐’–๐’ ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š ๐’‰๐’‚๐’–๐’๐’๐’Š ๐’‰๐’‚๐’–๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’”๐’‚๐’ƒ๐’ƒ๐’‚๐’– ๐’š๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’š๐’‚๐’Œ๐’ ๐’Œ๐’–๐’–๐’๐’Š๐’˜๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š ๐’˜๐’‚๐’Œ๐’? ๐‘จ๐’– ๐’–๐’Œ๐’‚๐’‚๐’Ž๐’–๐’‚ ๐‘ฒ๐’–๐’๐’š๐’‚๐’Ž๐’‚๐’›๐’‚ ๐’‰๐’‚๐’•๐’‚ ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’–๐’๐’‚๐’–๐’‡๐’‚๐’‰๐’‚๐’Ž๐’– ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š ๐’Œ๐’˜๐’‚๐’”๐’‚๐’ƒ๐’‚๐’ƒ๐’– ๐’–๐’๐’‚๐’‹๐’–๐’‚ ๐’–๐’Œ๐’Š๐’”๐’†๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’‚๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’‡๐’‚.๐‘จ๐’– ๐‘ฝ๐’Š๐’‘๐’Š ๐’–๐’Œ๐’Š๐’‚๐’Ž๐’–๐’‚ ๐‘ฒ๐’–๐’Ž๐’‹๐’Š๐’ƒ๐’– ๐’ƒ๐’‚๐’ƒ๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’๐’๐’š๐’†๐’”๐’‰๐’‚ ๐’‰๐’–๐’•๐’‚๐’Œ๐’Š ๐’Œ๐’–๐’Š๐’๐’ˆ๐’Š๐’๐’Š๐’‚ ๐’–๐’ˆ๐’๐’Ž๐’—๐’Š ๐’˜๐’‚๐’ ๐’Š๐’๐’‚ ๐’š๐’†๐’š๐’† ๐’‚๐’Ž๐’•๐’‚๐’‡๐’–๐’•๐’† ๐’Ž๐’˜๐’†๐’๐’š๐’†๐’˜๐’†?

Sio kila unachodhani ukweli unapaswa uwekwe wazi hadharani bila kujali madhara yanayoweza kutokea kwa kuuweka hadharani, wakati mwingine utawafanya hata familia yenu yote ionekane mavi wala haifai mbele ya jamii.Yapo mazingira na mahala sahihi pa kuusemea.Ukikosa hekima na busara ya kujua ni mahali gani sahihi pa kuusema ukweli na wakati gani wa kuusema ukweli na kwa nani wa kumpa ukweli unaweza ukaharibu hata maana ya ukweli unaotaka kuusema na unaweza ukakudhuru mwenyewe

Mimi nafikiri mambo mengi na ya kweli aliyoyazungumza Mheshimiwa Lisu hadharani tena ya kumshushia heshima mheshimiwa Mbowe, yalikuwa ni mambo ya siri ya ndani ya chama ambayo yasingepaswa kutoka nje kwa maslai ya kukilinda chama.Ni mambo ambayo yangefaa kujadiliwa na wanachama na kama ikiwa kuna watakaotakiwa kuwajibika watawajibishwa ndani ya chama ๐’”๐’Š๐’ ๐’Œ๐’–๐’Ž๐’˜๐’‚๐’ˆ๐’‚ ๐’Ž๐’„๐’‰๐’†๐’๐’† ๐’Ž๐’ƒ๐’†๐’๐’† ๐’š๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’Œ๐’– ๐’˜๐’†๐’๐’ˆ๐’Š

๐‘ด๐’˜๐’Š๐’”๐’‰๐’, Ipo kanuni Moja ya kuangalia UKWELI,NIA NA NJIA ANAYOTUMIA

โ–ถ๏ธMtu anaweza kuwa Mkweli kabisa ila akawa ana nia ovu ndani yake, ila anautumia ukweli alio nao ili kupata nafasi na kibali mbele za watu.Jambo hilo ni la muhimu kuangalia ili kuweza kutambua Nia ya kila anayeusema ukweli
โ–ถ๏ธMtu anaweza kuwa Mkweli Kabisa na akawa na Nia njema kabisa ila Njia anayoitumia ikawa ni njia mbaya.Na Ukikosea tu njia inaweza kuharibu hata ukweli ulio nao ukapuuzwa na ukaonekana haufai kabisa

Sasa katika hili Vuguvugu la Uenyekiti kati ya Lisu na Mbowe, nilichokiona na kukipima pamoja na propaganda zote zinazotumika na pande zote ni Kwamba ๐‘ฏ๐‘ผ๐‘ฌ๐‘ต๐‘ซ๐‘จ ๐‘ต๐‘ฐ ๐‘ฒ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฐ ๐‘ป๐‘ผ๐‘ต๐‘ซ๐‘ผ ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘บ๐‘ผ ๐‘จ๐‘ต๐‘จ ๐‘ต๐‘ฐ๐‘จ ๐‘ต๐‘ฑ๐‘ฌ๐‘ด๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ณ๐‘ฌ๐‘ป๐‘จ ๐‘ด๐‘จ๐‘ฉ๐‘จ๐‘ซ๐‘ฐ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘ฒ๐‘ถ ๐‘ต๐‘จ ๐‘ฏ๐‘ผ๐‘ฌ๐‘ต๐‘ซ๐‘จ ๐‘จ๐‘ต๐‘จ๐’€๐‘ถ๐‘บ๐‘ฌ๐‘ด๐‘จ ๐’€๐‘จ๐‘ต๐‘จ ๐‘ผ๐‘ฒ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฐ ๐‘พ๐‘ถ๐‘ป๐‘ฌ ๐‘ฐ๐‘ณ๐‘จ ๐‘จ๐‘ด๐‘ฌ๐‘ฒ๐‘ถ๐‘บ๐‘ฌ๐‘จ ๐‘ฒ๐‘จ๐‘ป๐‘ฐ๐‘ฒ๐‘จ ๐‘ต๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘จ ๐‘จ๐‘ต๐‘จ๐’€๐‘ถ๐‘ป๐‘ผ๐‘ด๐‘ฐ๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ณ๐‘ฌ๐‘ป๐‘จ ๐‘ฏ๐‘ผ๐‘ถ ๐‘ผ๐‘ฒ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฐ

Njia Pekee anayoikosea Mheshimiwa Tundu lisu katika kuuleta ukweli wake ni ๐‘ต๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘น๐‘จ๐‘ช๐‘ป๐‘ฌ๐‘น ๐‘จ๐‘บ๐‘บ๐‘จ๐‘บ๐‘ฐ๐‘ต๐‘จ๐‘ป๐‘ฐ๐‘ถ๐‘ต,๐‘ต๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘จ๐‘ต๐‘ฐ๐‘ฒ๐‘จ ๐‘ด๐‘จ๐‘ถ๐‘ฝ๐‘ผ ๐’€๐‘จ ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘ด๐‘จ ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘ฒ๐‘ถ ๐‘ด๐‘ฉ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฌ ๐’€๐‘จ ๐‘จ๐‘ซ๐‘ผ๐‘ฐ ๐’๐‘จ๐‘ฒ๐‘ถ,๐‘ต๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘ญ๐‘ผ๐‘จ ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ต๐‘ฎ๐‘ฐ๐‘ต๐‘ฌ ๐‘ฐ๐‘ณ๐‘ฐ ๐‘พ๐‘ฌ๐‘พ๐‘ฌ ๐‘ผ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ท๐‘ถ ๐‘ด๐‘บ๐‘จ๐‘ญ๐‘ฐ ๐‘ต๐‘ซ๐‘จ๐‘ต๐‘ฐ ๐‘ช๐‘ฏ๐‘ถ๐‘ด๐‘ฉ๐‘ถ ๐‘ฏ๐‘ฐ๐‘ช๐‘ฏ๐‘ถ ๐‘ฏ๐‘ฐ๐‘ช๐‘ฏ๐‘ถ

Pamoja na mapungufu yote aliyo nayo mheshimiwa mbowe yanayotokana tu na mitizamo(ideology) yake ๐’€๐‘จ ๐‘ซ๐‘ฐ๐‘ท๐‘ณ๐‘ถ๐‘ด๐‘จ๐‘ป๐‘ฐ๐‘ช lakini ni wazi huwezi kutumia njia ya kumvunjia heshima Baba yako ili wewe uheshimike zaidi.Mbowe ni kama baba katika Chadema anatambulika kwa uwezo wake mkubwa wa kukijenga chama hichi from unknow to be known, kutoka Zero to Hero

Hata kama ni kweli sasa mnaona amepotoka au amekosea au hamumhitaji kwa sasa, bado mngepaswa kutunza legacy yake na heshima aliyoitengeneza kwa muda mrefu sio kumtukana,au kuanika madhaifu yake au kumdharirisha mbele ya adui zenu kuwa eti amelamba asali?

Hiyo njia inayotumiwa na mheshimiwa Tundu Lisu na Team yake yote ndio inafanya tuwe na mashaka kama kweli Nia yetu ni njema au laโ‰๏ธ๐‘ฑ๐’† ๐’Ž๐’๐’‚๐’•๐’‚๐’Œ๐’‚ ๐’Ž๐’ƒ๐’๐’˜๐’† ๐’‚๐’๐’๐’…๐’๐’๐’†๐’˜๐’† ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐’‚๐’Š๐’ƒ๐’– ๐’š๐’‚ ๐’๐’‚๐’Ž๐’๐’‚ ๐’‰๐’Š๐’š๐’โ‰๏ธ

๐ŸŽฏHivi kweli huwazi baada ya kuanika madhaifu ya chama chenu utavunja moyo wanachama wangapi waliokuwa wanaamini katika hao unaowavunjia heshimaโ‰๏ธ

๐ŸŽฏHivi huwazi utawapa madui zako sauti kiasi gani au watakupuuza na kukudharau kiasi ganiโ‰๏ธ

๐ŸŽฏHivi kweli huwazi kwa namna mnavyotumia njia ya kupena mipasho ni njia inayowafedhehesha wenyewe na kuonekana mmepungukiwa hekima na busara kiasi ganiโ‰๏ธ

๐ŸŽฏHivi unaweza ukaupata ubaba kwa njia ya kumvua nguo baba yako hadharani na ukategemea watoto wako watakuheshimu kwasababu umeeleza ukweli na ubaya aliokuwa anafanya baba yakoโ‰๏ธ

Mimi kwa namna njia zinazotumiwa katika kufanya kampeni hizi za kumtaka mbowe aondoke ndio zinanipa mashaka kuona j,kweli nia yetu ni ya kweli kiasi hauogopi mtakiacha chama chenu mmekijeruhi na kukiumiza na kukivua nguo kiasi gani kiasi hata jamii itashindwa kuwaamini katika chaguzi zote?

Je,hamjifunzi hata kwa CCM,pamoja na madudu na namna.wanavyotifuana wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama lakini wanajua yapi wayazungumze hadharani hata kama hawakubaliani lakini wanajua wanaangalia maslai ya chama chao sio maslai yao binafsi

Kutokana na tabia hii anayoionyesha Mheshimiwa Tundu Lisu pamoja na kuwa namsapoti sana juu ya hoja zake za mageuzi na mabadiliko lakini zimenifanya nione hafai kwa nafasi hiyo kutokana na njia anazotumia kutafuta nafasi hii ya uenyekiti zinaonyesha hawazi juu maslai ya chama chao bali maslai yake binafsi

Mwisho ,bado hata nikiwafuatilia akina Heche, Lema na akina msingwa wengi wao nikiwasikiliza wanaongea ukweli ambao unatokana na machungu, au visasi au hasira binafsi walizo nazo dhidi ya mwenyekiti wao Mbowe.Nimeona hawawazi sana maslai ya wana chadema isipokuwa wanamsapoti lisu ili kumkomoa Mbowe kutokana na namna alivyowatendea ambavyo wanadhani ni isivyo sahihi.

Nafikiri Chama cha siasa hakipaswi kuongozwa na Mihemko,hasira binafsi dhidi ya watu, Mashindano yasiyo lenga kukijenga chama n.k

Kwa msingi huo, nafikiri kama kweli ni Demokrasia basi tuache democrasia iamue wala tusihukumiane na kumuona fulani hafai kugombea, nafikiri matokeo ndio yatakayoamua.Ninawaombea Uchaguzi mwema wa uhuru na haki.Mungu awabariki

Na Shujaaยฉ๏ธยฎ๏ธโ“‚๏ธ
stmwaisembac@gmai.com
 
Mkuu, mimi pia sina upande,

Ila kwa mfano ulioutoa wa 'ukweli' kuhusu mama kujificha nyuma ya mlango, ukilinganisha na 'ukweli' anaousema Lissu kufichua maovu ya chama chake, sidhani kama vinaendana!!

Labda mfano uwe, baada ya baba kumuua mama, baba ajifiche humo ndani na wewe pekee ndio unajua amejificha humo, je 'utasema ukweli' wa alipojificha ili apate adhabu kulingana na uovu wake?

Pia, Lissu kuna mahala alisema, kuna siri zingine kuhusu chama chake hajazisema, kama angezisema watu.wangehama!! Pengine siri hizo ndio za mfano wa mama nyuma ya mlango, yaani sio za kusema ili kulinda chama!!
 
 
๐Ÿ›ก๏ธ๐‘ต๐‘จ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ฉ๐‘จ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘จ๐‘ต๐‘จ ๐‘ฏ๐‘ถ๐‘ฑ๐‘จ ๐’๐‘จ ๐‘ด๐‘ฏ๐‘ฌ. ๐‘ป๐‘ผ๐‘ต๐‘ซ๐‘ผ ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘บ๐‘ผ ๐‘ฐ๐‘ณ๐‘จ ๐‘ฒ๐‘พ๐‘จ ๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘ช๐‘ฏ๐‘ถ ๐‘ณ๐‘จ ๐‘ป๐‘จ๐‘ป๐‘ผ,๐‘ด๐‘ฏ๐‘ฌ. ๐‘ญ๐‘น๐‘ฌ๐‘ฌ๐‘ด๐‘จ๐‘ต ๐‘ด๐‘ฉ๐‘ถ๐‘พ๐‘ฌ ๐‘ต๐‘ซ๐‘ฐ๐’€๐‘ฌ ๐‘จ๐‘ต๐‘จ๐‘ญ๐‘จ๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘พ๐‘จ ๐‘ด๐‘พ๐‘ฌ๐‘ต๐’€๐‘ฌ๐‘ฒ๐‘ฐ๐‘ป๐‘ฐ ๐–๐€ ๐‚๐‡๐€๐ƒ๐„๐Œ๐€

๐Ÿ”ต๐‘ต๐‘จ:๐‘บ๐’‰๐’–๐’‹๐’‚๐’‚ยฉ๏ธยฎ๏ธโ“‚๏ธ

Kwanza nianze kwa kusema, kutokana na vuguvugu hili la Uchaguzi wa Uenyekiti wa Chadema lilivyo na mvuto katika jamii ya Tanzania,nimetokea kufuatwa na wadau wengi wa kisiasa wakinitaka nitoe mtizamo wangu kuhusu hili na nieleze nani anafaa kati yao ingawa mimi binafsi ๐‘บ๐’Š๐’ ๐‘ป๐’†๐’‚๐’Ž ๐‘ณ๐’Š๐’”๐’– ๐’˜๐’‚๐’๐’‚ ๐‘บ๐’Š๐’ ๐‘ป๐’†๐’‚๐’Ž ๐‘ด๐’ƒ๐’๐’˜๐’† wala siyaandiki haya kuonyesha upande wangu ila nimeyanadika haya kwa kuyatazama kwa ๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘ช๐‘ฏ๐‘ถ ๐‘ณ๐‘จ ๐‘ป๐‘จ๐‘ป๐‘ผ ๐‘ฒ๐‘พ๐‘จ ๐‘ด๐‘จ๐‘บ๐‘ณ๐‘จ๐‘ฐ ๐’€๐‘จ ๐‘พ๐‘จ๐‘ต๐‘จ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘ซ๐‘ฌ๐‘ด๐‘จ

๐‘ท๐’Š๐’๐’Š,Nimekuwa mfuatiliaji na msikilizaji wa hoja za kila Upande bila kuwa bias kuliko wakati wowote,ila nimetokea kuvutiwa sana na Hoja za mheshimiwa ๐‘ป๐‘ผ๐‘ต๐‘ซ๐‘ผ ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘บ๐‘ผ hasa katika ile hotuba yake ya kwanza ambapo ameeleza dhamira yake ya dhati kuwa anahitaji ๐‘ด๐‘จ๐‘ฉ๐‘จ๐‘ซ๐‘ฐ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘ฒ๐‘ถ ๐‘ต๐‘ซ๐‘จ๐‘ต๐‘ฐ ๐’€๐‘จ ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘ด๐‘จ kutokana na Udhaifu mbalimbali alioutaja na kueleza kuwa kwa majira ya Utawala wa Serikali hii ya sasa, unahitaji mtu mwenye ideology kama yake ili kuleta mabadiliko ndani ya Chadema.Hii ni kweli kabisa

Pia kuna mambo mengi sana mheshimiwa Lisu ametufumbua macho watu wengi ambayo tulikuwa hatuyajui sana ya ndani ya Chadema na ambayo naamini huenda yana ukweli kwa asilimia kubwa sana.Nimependa sana Uwezo wake wa kujenga hoja nzuri mbele ya media na ujasiri wake wa kuthubutu hata kumchalengi mwenyekiti Mbowe kwa ushawishi mkubwa alio nao hasa katika kujenga hoja na kupangua hoja pinzani zote.Pia ameeleza yeye ni mkweli wala sio mnafki na hapendi kuficha Uovu hata kama unafanyika ndani ya chama chake ndio maana ametoka mbele ya dunia kueleza yaliyo ndani ambayo anaona yanapaswa kubadilishwa.

๐‘ณ๐’‚๐’Œ๐’Š๐’๐’Š, mimi kwa jicho langu la tatu, nimejiuliza mengi ambayo ndio nataka tujiulize wote pamoja, Na tuitumie ๐‘ฒ๐‘จ๐‘ต๐‘ผ๐‘ต๐‘ฐ ๐‘ด๐‘ถ๐‘ฑ๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ท๐‘ฐ๐‘ด๐‘จ ๐‘ผ๐‘ฒ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฐ ๐‘ต๐‘จ ๐‘ซ๐‘ฏ๐‘จ๐‘ด๐‘ฐ๐‘น๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ด๐‘ป๐‘ผ

Nimejiuliza sana, Je ukweli wote tunaoambiwa juu ya Chadema au juu ya udhaifu wa Mbowe, Sisi wote hata ambao sio Chadema tunapaswa kuufahamuโ‰๏ธJe ukweli huo unatusaidia nini tukiufahamuโ‰๏ธJe ukweli huo tukiufahamu unatujenga au unatubomoa kwa kiasi ganiโ‰๏ธ Je ni wakati sahihi wa kuusema ukweli huo na ni mahali sahihi pa kuuweka ukweli huuโ‰๏ธ Je tumefikiria impact yake baada ya kuuleta huo tunaouona ni ukweli kwa maslai ya kukijenga chama unachotaka kukiongozaโ‰๏ธ.

Kimsingi Yapo mengi ningeendelea kuyauliza na yenye kutafakarisha sana ila hapa naomba nieleze machache ya kuyajibia maswali hayo kabla ya kuagalia ile kanuni...

Hivi Just Imagine Umewaona Mama yako na Baba yako wanagombana na unaona Baba anamfukuza Mama yako na panga au bastola ili amuue, ila ukamuona kabisa mama yako amejificha nyuma ya mlango na ghafla baba yako ametokea kuuliza mama yako yupo wapi?๐‘ฑ๐‘ฌ ๐‘ผ๐‘ป๐‘จ๐‘ด๐‘พ๐‘จ๐‘ด๐‘ฉ๐‘ฐ๐‘จ ๐‘ผ๐‘ฒ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฐ, ๐’Œ๐’˜๐’‚๐’Ž๐’ƒ๐’‚ ๐‘ด๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Œ๐’‚๐’‹๐’Š๐’‡๐’Š๐’„๐’‰๐’‚ ๐‘ต๐’š๐’–๐’Ž๐’‚ ๐’š๐’‚ ๐‘ด๐’๐’‚๐’๐’ˆ๐’ ๐’Š๐’๐’Š ๐’‚๐’Ž๐’–๐’–๐’† ?(๐‘ท๐’Š๐’‚ ๐‘บ๐’Š๐’”๐’†๐’Ž๐’Š ๐‘ผ๐’”๐’†๐’Ž๐’† ๐‘ผ๐’๐’๐’ˆ๐’).๐‘ฑ๐’† ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐’˜๐’‚๐’Œ๐’‚๐’•๐’Š ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’›๐’Š๐’๐’ˆ๐’Š๐’“๐’‚ ๐’‰๐’‚๐’š๐’ , ๐‘ฑ๐’† ๐’๐’Š ๐’Ž๐’‚๐’‰๐’‚๐’๐’‚ ๐’”๐’‚๐’‰๐’Š๐’‰๐’Š ๐’‘๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’–๐’”๐’†๐’Ž๐’‚ ๐’‰๐’–๐’ ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š, ๐‘ฑ๐’† ๐’‰๐’–๐’ ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š ๐’–๐’•๐’‚๐’”๐’‚๐’Š๐’…๐’Š๐’‚ ๐’‚๐’– ๐’–๐’•๐’‚๐’–๐’‚?

๐‘ฒ๐’˜๐’‚ ๐’Ž๐’˜๐’†๐’๐’š๐’† ๐‘ฏ๐’†๐’Œ๐’Š๐’Ž๐’‚ ๐’๐’‚ ๐‘ฉ๐’–๐’”๐’‚๐’“๐’‚ ๐’‚๐’๐’‚๐’˜๐’†๐’›๐’‚ ๐’‚๐’”๐’Š๐’”๐’†๐’Ž๐’† ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š ๐’๐’‚ ๐’˜๐’‚๐’๐’‚ ๐’‚๐’”๐’Š๐’”๐’†๐’Ž๐’† ๐’–๐’๐’๐’ˆ๐’ ๐’Š๐’๐’Š ๐’Œ๐’–๐’Ž๐’–๐’๐’Œ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’š๐’‚๐’Œ๐’†.๐‘ด๐’‡๐’‚๐’๐’ ๐’–๐’Œ๐’Š๐’–๐’๐’Š๐’›๐’˜๐’‚ ๐’‰๐’Š๐’—๐’š๐’ ๐’˜๐’†๐’˜๐’† ๐’–๐’Œ๐’‚๐’„๐’‰๐’‚๐’ˆ๐’–๐’‚ ๐‘ฒ๐’–๐’Œ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’Š๐’‚ ๐’ƒ๐’Š๐’๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’–๐’”๐’†๐’Ž๐’‚ ๐’‰๐’–๐’ ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š ๐’‰๐’‚๐’–๐’๐’๐’Š ๐’‰๐’‚๐’–๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’”๐’‚๐’ƒ๐’ƒ๐’‚๐’– ๐’š๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’š๐’‚๐’Œ๐’ ๐’Œ๐’–๐’–๐’๐’Š๐’˜๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š ๐’˜๐’‚๐’Œ๐’? ๐‘จ๐’– ๐’–๐’Œ๐’‚๐’‚๐’Ž๐’–๐’‚ ๐‘ฒ๐’–๐’๐’š๐’‚๐’Ž๐’‚๐’›๐’‚ ๐’‰๐’‚๐’•๐’‚ ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’–๐’๐’‚๐’–๐’‡๐’‚๐’‰๐’‚๐’Ž๐’– ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š ๐’Œ๐’˜๐’‚๐’”๐’‚๐’ƒ๐’‚๐’ƒ๐’– ๐’–๐’๐’‚๐’‹๐’–๐’‚ ๐’–๐’Œ๐’Š๐’”๐’†๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’‚๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’‡๐’‚.๐‘จ๐’– ๐‘ฝ๐’Š๐’‘๐’Š ๐’–๐’Œ๐’Š๐’‚๐’Ž๐’–๐’‚ ๐‘ฒ๐’–๐’Ž๐’‹๐’Š๐’ƒ๐’– ๐’ƒ๐’‚๐’ƒ๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’๐’๐’š๐’†๐’”๐’‰๐’‚ ๐’‰๐’–๐’•๐’‚๐’Œ๐’Š ๐’Œ๐’–๐’Š๐’๐’ˆ๐’Š๐’๐’Š๐’‚ ๐’–๐’ˆ๐’๐’Ž๐’—๐’Š ๐’˜๐’‚๐’ ๐’Š๐’๐’‚ ๐’š๐’†๐’š๐’† ๐’‚๐’Ž๐’•๐’‚๐’‡๐’–๐’•๐’† ๐’Ž๐’˜๐’†๐’๐’š๐’†๐’˜๐’†?

Sio kila unachodhani ukweli unapaswa uwekwe wazi hadharani bila kujali madhara yanayoweza kutokea kwa kuuweka hadharani, wakati mwingine utawafanya hata familia yenu yote ionekane mavi wala haifai mbele ya jamii.Yapo mazingira na mahala sahihi pa kuusemea.Ukikosa hekima na busara ya kujua ni mahali gani sahihi pa kuusema ukweli na wakati gani wa kuusema ukweli na kwa nani wa kumpa ukweli unaweza ukaharibu hata maana ya ukweli unaotaka kuusema na unaweza ukakudhuru mwenyewe

Mimi nafikiri mambo mengi na ya kweli aliyoyazungumza Mheshimiwa Lisu hadharani tena ya kumshushia heshima mheshimiwa Mbowe, yalikuwa ni mambo ya siri ya ndani ya chama ambayo yasingepaswa kutoka nje kwa maslai ya kukilinda chama.Ni mambo ambayo yangefaa kujadiliwa na wanachama na kama ikiwa kuna watakaotakiwa kuwajibika watawajibishwa ndani ya chama ๐’”๐’Š๐’ ๐’Œ๐’–๐’Ž๐’˜๐’‚๐’ˆ๐’‚ ๐’Ž๐’„๐’‰๐’†๐’๐’† ๐’Ž๐’ƒ๐’†๐’๐’† ๐’š๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’Œ๐’– ๐’˜๐’†๐’๐’ˆ๐’Š

๐‘ด๐’˜๐’Š๐’”๐’‰๐’, Ipo kanuni Moja ya kuangalia UKWELI,NIA NA NJIA ANAYOTUMIA

โ–ถ๏ธMtu anaweza kuwa Mkweli kabisa ila akawa ana nia ovu ndani yake, ila anautumia ukweli alio nao ili kupata nafasi na kibali mbele za watu.Jambo hilo ni la muhimu kuangalia ili kuweza kutambua Nia ya kila anayeusema ukweli
โ–ถ๏ธMtu anaweza kuwa Mkweli Kabisa na akawa na Nia njema kabisa ila Njia anayoitumia ikawa ni njia mbaya.Na Ukikosea tu njia inaweza kuharibu hata ukweli ulio nao ukapuuzwa na ukaonekana haufai kabisa

Sasa katika hili Vuguvugu la Uenyekiti kati ya Lisu na Mbowe, nilichokiona na kukipima pamoja na propaganda zote zinazotumika na pande zote ni Kwamba ๐‘ฏ๐‘ผ๐‘ฌ๐‘ต๐‘ซ๐‘จ ๐‘ต๐‘ฐ ๐‘ฒ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฐ ๐‘ป๐‘ผ๐‘ต๐‘ซ๐‘ผ ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘บ๐‘ผ ๐‘จ๐‘ต๐‘จ ๐‘ต๐‘ฐ๐‘จ ๐‘ต๐‘ฑ๐‘ฌ๐‘ด๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ณ๐‘ฌ๐‘ป๐‘จ ๐‘ด๐‘จ๐‘ฉ๐‘จ๐‘ซ๐‘ฐ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘ฒ๐‘ถ ๐‘ต๐‘จ ๐‘ฏ๐‘ผ๐‘ฌ๐‘ต๐‘ซ๐‘จ ๐‘จ๐‘ต๐‘จ๐’€๐‘ถ๐‘บ๐‘ฌ๐‘ด๐‘จ ๐’€๐‘จ๐‘ต๐‘จ ๐‘ผ๐‘ฒ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฐ ๐‘พ๐‘ถ๐‘ป๐‘ฌ ๐‘ฐ๐‘ณ๐‘จ ๐‘จ๐‘ด๐‘ฌ๐‘ฒ๐‘ถ๐‘บ๐‘ฌ๐‘จ ๐‘ฒ๐‘จ๐‘ป๐‘ฐ๐‘ฒ๐‘จ ๐‘ต๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘จ ๐‘จ๐‘ต๐‘จ๐’€๐‘ถ๐‘ป๐‘ผ๐‘ด๐‘ฐ๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ณ๐‘ฌ๐‘ป๐‘จ ๐‘ฏ๐‘ผ๐‘ถ ๐‘ผ๐‘ฒ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฐ

Njia Pekee anayoikosea Mheshimiwa Tundu lisu katika kuuleta ukweli wake ni ๐‘ต๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘น๐‘จ๐‘ช๐‘ป๐‘ฌ๐‘น ๐‘จ๐‘บ๐‘บ๐‘จ๐‘บ๐‘ฐ๐‘ต๐‘จ๐‘ป๐‘ฐ๐‘ถ๐‘ต,๐‘ต๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘จ๐‘ต๐‘ฐ๐‘ฒ๐‘จ ๐‘ด๐‘จ๐‘ถ๐‘ฝ๐‘ผ ๐’€๐‘จ ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘ด๐‘จ ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘ฒ๐‘ถ ๐‘ด๐‘ฉ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฌ ๐’€๐‘จ ๐‘จ๐‘ซ๐‘ผ๐‘ฐ ๐’๐‘จ๐‘ฒ๐‘ถ,๐‘ต๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘ญ๐‘ผ๐‘จ ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ต๐‘ฎ๐‘ฐ๐‘ต๐‘ฌ ๐‘ฐ๐‘ณ๐‘ฐ ๐‘พ๐‘ฌ๐‘พ๐‘ฌ ๐‘ผ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ท๐‘ถ ๐‘ด๐‘บ๐‘จ๐‘ญ๐‘ฐ ๐‘ต๐‘ซ๐‘จ๐‘ต๐‘ฐ ๐‘ช๐‘ฏ๐‘ถ๐‘ด๐‘ฉ๐‘ถ ๐‘ฏ๐‘ฐ๐‘ช๐‘ฏ๐‘ถ ๐‘ฏ๐‘ฐ๐‘ช๐‘ฏ๐‘ถ

Pamoja na mapungufu yote aliyo nayo mheshimiwa mbowe yanayotokana tu na mitizamo(ideology) yake ๐’€๐‘จ ๐‘ซ๐‘ฐ๐‘ท๐‘ณ๐‘ถ๐‘ด๐‘จ๐‘ป๐‘ฐ๐‘ช lakini ni wazi huwezi kutumia njia ya kumvunjia heshima Baba yako ili wewe uheshimike zaidi.Mbowe ni kama baba katika Chadema anatambulika kwa uwezo wake mkubwa wa kukijenga chama hichi from unknow to be known, kutoka Zero to Hero

Hata kama ni kweli sasa mnaona amepotoka au amekosea au hamumhitaji kwa sasa, bado mngepaswa kutunza legacy yake na heshima aliyoitengeneza kwa muda mrefu sio kumtukana,au kuanika madhaifu yake au kumdharirisha mbele ya adui zenu kuwa eti amelamba asali?

Hiyo njia inayotumiwa na mheshimiwa Tundu Lisu na Team yake yote ndio inafanya tuwe na mashaka kama kweli Nia yetu ni njema au laโ‰๏ธ๐‘ฑ๐’† ๐’Ž๐’๐’‚๐’•๐’‚๐’Œ๐’‚ ๐’Ž๐’ƒ๐’๐’˜๐’† ๐’‚๐’๐’๐’…๐’๐’๐’†๐’˜๐’† ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐’‚๐’Š๐’ƒ๐’– ๐’š๐’‚ ๐’๐’‚๐’Ž๐’๐’‚ ๐’‰๐’Š๐’š๐’โ‰๏ธ

๐ŸŽฏHivi kweli huwazi baada ya kuanika madhaifu ya chama chenu utavunja moyo wanachama wangapi waliokuwa wanaamini katika hao unaowavunjia heshimaโ‰๏ธ

๐ŸŽฏHivi huwazi utawapa madui zako sauti kiasi gani au watakupuuza na kukudharau kiasi ganiโ‰๏ธ

๐ŸŽฏHivi kweli huwazi kwa namna mnavyotumia njia ya kupena mipasho ni njia inayowafedhehesha wenyewe na kuonekana mmepungukiwa hekima na busara kiasi ganiโ‰๏ธ

๐ŸŽฏHivi unaweza ukaupata ubaba kwa njia ya kumvua nguo baba yako hadharani na ukategemea watoto wako watakuheshimu kwasababu umeeleza ukweli na ubaya aliokuwa anafanya baba yakoโ‰๏ธ

Mimi kwa namna njia zinazotumiwa katika kufanya kampeni hizi za kumtaka mbowe aondoke ndio zinanipa mashaka kuona j,kweli nia yetu ni ya kweli kiasi hauogopi mtakiacha chama chenu mmekijeruhi na kukiumiza na kukivua nguo kiasi gani kiasi hata jamii itashindwa kuwaamini katika chaguzi zote?

Je,hamjifunzi hata kwa CCM,pamoja na madudu na namna.wanavyotifuana wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama lakini wanajua yapi wayazungumze hadharani hata kama hawakubaliani lakini wanajua wanaangalia maslai ya chama chao sio maslai yao binafsi

Kutokana na tabia hii anayoionyesha Mheshimiwa Tundu Lisu pamoja na kuwa namsapoti sana juu ya hoja zake za mageuzi na mabadiliko lakini zimenifanya nione hafai kwa nafasi hiyo kutokana na njia anazotumia kutafuta nafasi hii ya uenyekiti zinaonyesha hawazi juu maslai ya chama chao bali maslai yake binafsi

Mwisho ,bado hata nikiwafuatilia akina Heche, Lema na akina msingwa wengi wao nikiwasikiliza wanaongea ukweli ambao unatokana na machungu, au visasi au hasira binafsi walizo nazo dhidi ya mwenyekiti wao Mbowe.Nimeona hawawazi sana maslai ya wana chadema isipokuwa wanamsapoti lisu ili kumkomoa Mbowe kutokana na namna alivyowatendea ambavyo wanadhani ni isivyo sahihi.

Nafikiri Chama cha siasa hakipaswi kuongozwa na Mihemko,hasira binafsi dhidi ya watu, Mashindano yasiyo lenga kukijenga chama n.k

Kwa msingi huo, nafikiri kama kweli ni Demokrasia basi tuache democrasia iamue wala tusihukumiane na kumuona fulani hafai kugombea, nafikiri matokeo ndio yatakayoamua.Ninawaombea Uchaguzi mwema wa uhuru na haki.Mungu awabariki


๐Ÿ”ต๐๐š:๐’๐ก๐ฎ๐ฃ๐š๐šยฉ๏ธยฎ๏ธโ“‚๏ธ
๐ฌ๐ญ๐ฆ๐ฐ๐š๐ข๐ฌ๐ž๐ฆ๐›๐š๐œ@๐ ๐ฆ๐š๐ข๐ฅ.๐œ๐จ๐ฆ
๐Ÿ“ž0712054498

Baba amekua akimpiga mama mara kwa mara na mtoto mmoja akawa hauridhishi na uonevu huo.
Baba anatumia vibaya pesa za familia wanazochuma na mama na watoto.
Watoto wanatumika kuchunga ng'ombe maporini na wengine wameliwa mpaka na simba huko maporini wakiwa wanachunga ng'ombe na mbuzi .
Lakini baba akiuza ng'ombe hawapo chochote zaidi ya kujisifia kuwa hizi ni mali zangu nimizorithishwa na wazazi wangu .Baba anakwenda kuponda raha na walevi na wanawake wengine.

Baba anaendeleza kipigo kwa mama mpaka anamuua mama .
Baba anajisifu kuwa hatafanywa chochote kwa sababu ana rafiki yake mkubwa serikalini . Anajificha uvunguni mwa kitanda kwenye chumba cha watoto .
Polisi wanamtafuta kwa kesi ya mauaji . Baba anawaahidi Watoto kuwa atawapa ng'ombe ili wasiwaonyeshe polisi alipo asije akakamatwa .
Anatokea mtoto mmoja mcha Mungu aliyekua anachukizwa na vipigo kwa mama yake ,aliyechukizwa na kuuawa kwa mama yake ,mtoto huyo anakataa rushwa ya ng'ombe na kuropoka, "Baba amemuua mama na amejificha pale chumbani kwenye uvungu wa kitanda" .

Baba anakamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya dola na baadae anafungwa kifungo cha maisha .

Watoto wengine wanamzonga mtoto mwadilifu na mkweli na kumwambi," Wewe acha kuropoka kaa kimya huoni tutakosa rushwa ya ng'ombe kutoka kwa baba ."?

Mtoto mropokaji kwa upole anawajibu ,"Nyie ni wapumbavu na wajinga
Rushwa imewapofusha macho hata hamjui kuwa kwa sasa ng'ombe zote ni za kwenu ".!!!!

Hii ndiyo hekima kubwa inayotoka kwa Mungu .
Hekima ya Tundu Lisu inatoka kwa Mungu . Hekima inayokata ubaya na kusimama kwenye haka na kupinga dhulma. Haki huinua Taifa bali dhambi ni aibu kwa watu wote.

Mbowe Must go away
.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Ungeangali na mfano huu kwa hekima maana busara hata wachawi ,walevi na wauaji wanayo pia . Ila hekima inatoka kwa Mungu.

Baba mmoja amekua akimpiga mama(Mke wake) mara kwa mara na mtoto mmoja akawa haridhishwi na uonevu huo.
Wakati huo huo Baba anatumia vibaya pesa za familia wanazochuma na mama na watoto.
Watoto wanatumika kuchunga ng'ombe maporini na wengine wameliwa mpaka na simba huko maporini wakiwa wanachunga ng'ombe na mbuzi .
Lakini baba akiuza ng'ombe hawapo chochote zaidi ya kujisifia kuwa hizi ni mali zangu nimizorithishwa na wazazi wangu .Baba anakwenda kuponda raha na walevi na wanawake wengine.

Baba anaendeleza kipigo kwa mama mpaka anamuua mama .
Baba anajisifu kuwa hatafanywa chochote kwa sababu ana rafiki yake mkubwa serikalini . Anajificha uvunguni mwa kitanda kwenye chumba cha watoto .
Polisi wanamtafuta kwa kesi ya mauaji . Baba anawaahidi Watoto kuwa atawapa ng'ombe ili wasiwaonyeshe polisi alipo asije akakamatwa .
Anatokea mtoto mmoja mcha Mungu aliyekua anachukizwa na vipigo kwa mama yake ,aliyechukizwa na kuuawa kwa mama yake ,mtoto huyo anakataa rushwa ya ng'ombe na kuropoka, "Baba amemuua mama na amejificha pale chumbani kwenye uvungu wa kitanda" .

Baba anakamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya dola na baadae anafungwa kifungo cha maisha .

Watoto wengine wanamzonga mtoto mwadilifu na mkweli na kumwambi," Wewe acha kuropoka kaa kimya huoni tutakosa rushwa ya ng'ombe kutoka kwa baba ."?

Mtoto mropokaji kwa upole anawajibu ,"Nyie ni wapumbavu na wajinga
Rushwa imewapofusha macho hata hamjui kuwa kwa sasa ng'ombe zote ni za kwenu ".!!!!

Hii ndiyo hekima kubwa inayotoka kwa Mungu .
Hekima ya Tundu Lisu inatoka kwa Mungu . Hekima inayokata ubaya na kusimama kwenye haka na kupinga dhulma. Haki huinua Taifa bali dhambi ni aibu kwa watu wote.
 
๐Ÿ›ก๏ธ๐‘ต๐‘จ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ฉ๐‘จ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘จ๐‘ต๐‘จ ๐‘ฏ๐‘ถ๐‘ฑ๐‘จ ๐’๐‘จ ๐‘ด๐‘ฏ๐‘ฌ. ๐‘ป๐‘ผ๐‘ต๐‘ซ๐‘ผ ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘บ๐‘ผ ๐‘ฐ๐‘ณ๐‘จ ๐‘ฒ๐‘พ๐‘จ ๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘ช๐‘ฏ๐‘ถ ๐‘ณ๐‘จ ๐‘ป๐‘จ๐‘ป๐‘ผ,๐‘ด๐‘ฏ๐‘ฌ. ๐‘ญ๐‘น๐‘ฌ๐‘ฌ๐‘ด๐‘จ๐‘ต ๐‘ด๐‘ฉ๐‘ถ๐‘พ๐‘ฌ ๐‘ต๐‘ซ๐‘ฐ๐’€๐‘ฌ ๐‘จ๐‘ต๐‘จ๐‘ญ๐‘จ๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘พ๐‘จ ๐‘ด๐‘พ๐‘ฌ๐‘ต๐’€๐‘ฌ๐‘ฒ๐‘ฐ๐‘ป๐‘ฐ ๐–๐€ ๐‚๐‡๐€๐ƒ๐„๐Œ๐€

๐Ÿ”ต๐‘ต๐‘จ:๐‘บ๐’‰๐’–๐’‹๐’‚๐’‚ยฉ๏ธยฎ๏ธโ“‚๏ธ

Kwanza nianze kwa kusema, kutokana na vuguvugu hili la Uchaguzi wa Uenyekiti wa Chadema lilivyo na mvuto katika jamii ya Tanzania,nimetokea kufuatwa na wadau wengi wa kisiasa wakinitaka nitoe mtizamo wangu kuhusu hili na nieleze nani anafaa kati yao ingawa mimi binafsi ๐‘บ๐’Š๐’ ๐‘ป๐’†๐’‚๐’Ž ๐‘ณ๐’Š๐’”๐’– ๐’˜๐’‚๐’๐’‚ ๐‘บ๐’Š๐’ ๐‘ป๐’†๐’‚๐’Ž ๐‘ด๐’ƒ๐’๐’˜๐’† wala siyaandiki haya kuonyesha upande wangu ila nimeyanadika haya kwa kuyatazama kwa ๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘ช๐‘ฏ๐‘ถ ๐‘ณ๐‘จ ๐‘ป๐‘จ๐‘ป๐‘ผ ๐‘ฒ๐‘พ๐‘จ ๐‘ด๐‘จ๐‘บ๐‘ณ๐‘จ๐‘ฐ ๐’€๐‘จ ๐‘พ๐‘จ๐‘ต๐‘จ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘ซ๐‘ฌ๐‘ด๐‘จ

๐‘ท๐’Š๐’๐’Š,Nimekuwa mfuatiliaji na msikilizaji wa hoja za kila Upande bila kuwa bias kuliko wakati wowote,ila nimetokea kuvutiwa sana na Hoja za mheshimiwa ๐‘ป๐‘ผ๐‘ต๐‘ซ๐‘ผ ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘บ๐‘ผ hasa katika ile hotuba yake ya kwanza ambapo ameeleza dhamira yake ya dhati kuwa anahitaji ๐‘ด๐‘จ๐‘ฉ๐‘จ๐‘ซ๐‘ฐ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘ฒ๐‘ถ ๐‘ต๐‘ซ๐‘จ๐‘ต๐‘ฐ ๐’€๐‘จ ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘ด๐‘จ kutokana na Udhaifu mbalimbali alioutaja na kueleza kuwa kwa majira ya Utawala wa Serikali hii ya sasa, unahitaji mtu mwenye ideology kama yake ili kuleta mabadiliko ndani ya Chadema.Hii ni kweli kabisa

Pia kuna mambo mengi sana mheshimiwa Lisu ametufumbua macho watu wengi ambayo tulikuwa hatuyajui sana ya ndani ya Chadema na ambayo naamini huenda yana ukweli kwa asilimia kubwa sana.Nimependa sana Uwezo wake wa kujenga hoja nzuri mbele ya media na ujasiri wake wa kuthubutu hata kumchalengi mwenyekiti Mbowe kwa ushawishi mkubwa alio nao hasa katika kujenga hoja na kupangua hoja pinzani zote.Pia ameeleza yeye ni mkweli wala sio mnafki na hapendi kuficha Uovu hata kama unafanyika ndani ya chama chake ndio maana ametoka mbele ya dunia kueleza yaliyo ndani ambayo anaona yanapaswa kubadilishwa.

๐‘ณ๐’‚๐’Œ๐’Š๐’๐’Š, mimi kwa jicho langu la tatu, nimejiuliza mengi ambayo ndio nataka tujiulize wote pamoja, Na tuitumie ๐‘ฒ๐‘จ๐‘ต๐‘ผ๐‘ต๐‘ฐ ๐‘ด๐‘ถ๐‘ฑ๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ท๐‘ฐ๐‘ด๐‘จ ๐‘ผ๐‘ฒ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฐ ๐‘ต๐‘จ ๐‘ซ๐‘ฏ๐‘จ๐‘ด๐‘ฐ๐‘น๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ด๐‘ป๐‘ผ

Nimejiuliza sana, Je ukweli wote tunaoambiwa juu ya Chadema au juu ya udhaifu wa Mbowe, Sisi wote hata ambao sio Chadema tunapaswa kuufahamuโ‰๏ธJe ukweli huo unatusaidia nini tukiufahamuโ‰๏ธJe ukweli huo tukiufahamu unatujenga au unatubomoa kwa kiasi ganiโ‰๏ธ Je ni wakati sahihi wa kuusema ukweli huo na ni mahali sahihi pa kuuweka ukweli huuโ‰๏ธ Je tumefikiria impact yake baada ya kuuleta huo tunaouona ni ukweli kwa maslai ya kukijenga chama unachotaka kukiongozaโ‰๏ธ.

Kimsingi Yapo mengi ningeendelea kuyauliza na yenye kutafakarisha sana ila hapa naomba nieleze machache ya kuyajibia maswali hayo kabla ya kuagalia ile kanuni...

Hivi Just Imagine Umewaona Mama yako na Baba yako wanagombana na unaona Baba anamfukuza Mama yako na panga au bastola ili amuue, ila ukamuona kabisa mama yako amejificha nyuma ya mlango na ghafla baba yako ametokea kuuliza mama yako yupo wapi?๐‘ฑ๐‘ฌ ๐‘ผ๐‘ป๐‘จ๐‘ด๐‘พ๐‘จ๐‘ด๐‘ฉ๐‘ฐ๐‘จ ๐‘ผ๐‘ฒ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฐ, ๐’Œ๐’˜๐’‚๐’Ž๐’ƒ๐’‚ ๐‘ด๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Œ๐’‚๐’‹๐’Š๐’‡๐’Š๐’„๐’‰๐’‚ ๐‘ต๐’š๐’–๐’Ž๐’‚ ๐’š๐’‚ ๐‘ด๐’๐’‚๐’๐’ˆ๐’ ๐’Š๐’๐’Š ๐’‚๐’Ž๐’–๐’–๐’† ?(๐‘ท๐’Š๐’‚ ๐‘บ๐’Š๐’”๐’†๐’Ž๐’Š ๐‘ผ๐’”๐’†๐’Ž๐’† ๐‘ผ๐’๐’๐’ˆ๐’).๐‘ฑ๐’† ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐’˜๐’‚๐’Œ๐’‚๐’•๐’Š ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’›๐’Š๐’๐’ˆ๐’Š๐’“๐’‚ ๐’‰๐’‚๐’š๐’ , ๐‘ฑ๐’† ๐’๐’Š ๐’Ž๐’‚๐’‰๐’‚๐’๐’‚ ๐’”๐’‚๐’‰๐’Š๐’‰๐’Š ๐’‘๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’–๐’”๐’†๐’Ž๐’‚ ๐’‰๐’–๐’ ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š, ๐‘ฑ๐’† ๐’‰๐’–๐’ ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š ๐’–๐’•๐’‚๐’”๐’‚๐’Š๐’…๐’Š๐’‚ ๐’‚๐’– ๐’–๐’•๐’‚๐’–๐’‚?

๐‘ฒ๐’˜๐’‚ ๐’Ž๐’˜๐’†๐’๐’š๐’† ๐‘ฏ๐’†๐’Œ๐’Š๐’Ž๐’‚ ๐’๐’‚ ๐‘ฉ๐’–๐’”๐’‚๐’“๐’‚ ๐’‚๐’๐’‚๐’˜๐’†๐’›๐’‚ ๐’‚๐’”๐’Š๐’”๐’†๐’Ž๐’† ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š ๐’๐’‚ ๐’˜๐’‚๐’๐’‚ ๐’‚๐’”๐’Š๐’”๐’†๐’Ž๐’† ๐’–๐’๐’๐’ˆ๐’ ๐’Š๐’๐’Š ๐’Œ๐’–๐’Ž๐’–๐’๐’Œ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’š๐’‚๐’Œ๐’†.๐‘ด๐’‡๐’‚๐’๐’ ๐’–๐’Œ๐’Š๐’–๐’๐’Š๐’›๐’˜๐’‚ ๐’‰๐’Š๐’—๐’š๐’ ๐’˜๐’†๐’˜๐’† ๐’–๐’Œ๐’‚๐’„๐’‰๐’‚๐’ˆ๐’–๐’‚ ๐‘ฒ๐’–๐’Œ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’Š๐’‚ ๐’ƒ๐’Š๐’๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’–๐’”๐’†๐’Ž๐’‚ ๐’‰๐’–๐’ ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š ๐’‰๐’‚๐’–๐’๐’๐’Š ๐’‰๐’‚๐’–๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’”๐’‚๐’ƒ๐’ƒ๐’‚๐’– ๐’š๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’š๐’‚๐’Œ๐’ ๐’Œ๐’–๐’–๐’๐’Š๐’˜๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š ๐’˜๐’‚๐’Œ๐’? ๐‘จ๐’– ๐’–๐’Œ๐’‚๐’‚๐’Ž๐’–๐’‚ ๐‘ฒ๐’–๐’๐’š๐’‚๐’Ž๐’‚๐’›๐’‚ ๐’‰๐’‚๐’•๐’‚ ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’–๐’๐’‚๐’–๐’‡๐’‚๐’‰๐’‚๐’Ž๐’– ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š ๐’Œ๐’˜๐’‚๐’”๐’‚๐’ƒ๐’‚๐’ƒ๐’– ๐’–๐’๐’‚๐’‹๐’–๐’‚ ๐’–๐’Œ๐’Š๐’”๐’†๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’‚๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’‡๐’‚.๐‘จ๐’– ๐‘ฝ๐’Š๐’‘๐’Š ๐’–๐’Œ๐’Š๐’‚๐’Ž๐’–๐’‚ ๐‘ฒ๐’–๐’Ž๐’‹๐’Š๐’ƒ๐’– ๐’ƒ๐’‚๐’ƒ๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’๐’๐’š๐’†๐’”๐’‰๐’‚ ๐’‰๐’–๐’•๐’‚๐’Œ๐’Š ๐’Œ๐’–๐’Š๐’๐’ˆ๐’Š๐’๐’Š๐’‚ ๐’–๐’ˆ๐’๐’Ž๐’—๐’Š ๐’˜๐’‚๐’ ๐’Š๐’๐’‚ ๐’š๐’†๐’š๐’† ๐’‚๐’Ž๐’•๐’‚๐’‡๐’–๐’•๐’† ๐’Ž๐’˜๐’†๐’๐’š๐’†๐’˜๐’†?

Sio kila unachodhani ukweli unapaswa uwekwe wazi hadharani bila kujali madhara yanayoweza kutokea kwa kuuweka hadharani, wakati mwingine utawafanya hata familia yenu yote ionekane mavi wala haifai mbele ya jamii.Yapo mazingira na mahala sahihi pa kuusemea.Ukikosa hekima na busara ya kujua ni mahali gani sahihi pa kuusema ukweli na wakati gani wa kuusema ukweli na kwa nani wa kumpa ukweli unaweza ukaharibu hata maana ya ukweli unaotaka kuusema na unaweza ukakudhuru mwenyewe

Mimi nafikiri mambo mengi na ya kweli aliyoyazungumza Mheshimiwa Lisu hadharani tena ya kumshushia heshima mheshimiwa Mbowe, yalikuwa ni mambo ya siri ya ndani ya chama ambayo yasingepaswa kutoka nje kwa maslai ya kukilinda chama.Ni mambo ambayo yangefaa kujadiliwa na wanachama na kama ikiwa kuna watakaotakiwa kuwajibika watawajibishwa ndani ya chama ๐’”๐’Š๐’ ๐’Œ๐’–๐’Ž๐’˜๐’‚๐’ˆ๐’‚ ๐’Ž๐’„๐’‰๐’†๐’๐’† ๐’Ž๐’ƒ๐’†๐’๐’† ๐’š๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’Œ๐’– ๐’˜๐’†๐’๐’ˆ๐’Š

๐‘ด๐’˜๐’Š๐’”๐’‰๐’, Ipo kanuni Moja ya kuangalia UKWELI,NIA NA NJIA ANAYOTUMIA

โ–ถ๏ธMtu anaweza kuwa Mkweli kabisa ila akawa ana nia ovu ndani yake, ila anautumia ukweli alio nao ili kupata nafasi na kibali mbele za watu.Jambo hilo ni la muhimu kuangalia ili kuweza kutambua Nia ya kila anayeusema ukweli
โ–ถ๏ธMtu anaweza kuwa Mkweli Kabisa na akawa na Nia njema kabisa ila Njia anayoitumia ikawa ni njia mbaya.Na Ukikosea tu njia inaweza kuharibu hata ukweli ulio nao ukapuuzwa na ukaonekana haufai kabisa

Sasa katika hili Vuguvugu la Uenyekiti kati ya Lisu na Mbowe, nilichokiona na kukipima pamoja na propaganda zote zinazotumika na pande zote ni Kwamba ๐‘ฏ๐‘ผ๐‘ฌ๐‘ต๐‘ซ๐‘จ ๐‘ต๐‘ฐ ๐‘ฒ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฐ ๐‘ป๐‘ผ๐‘ต๐‘ซ๐‘ผ ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘บ๐‘ผ ๐‘จ๐‘ต๐‘จ ๐‘ต๐‘ฐ๐‘จ ๐‘ต๐‘ฑ๐‘ฌ๐‘ด๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ณ๐‘ฌ๐‘ป๐‘จ ๐‘ด๐‘จ๐‘ฉ๐‘จ๐‘ซ๐‘ฐ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘ฒ๐‘ถ ๐‘ต๐‘จ ๐‘ฏ๐‘ผ๐‘ฌ๐‘ต๐‘ซ๐‘จ ๐‘จ๐‘ต๐‘จ๐’€๐‘ถ๐‘บ๐‘ฌ๐‘ด๐‘จ ๐’€๐‘จ๐‘ต๐‘จ ๐‘ผ๐‘ฒ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฐ ๐‘พ๐‘ถ๐‘ป๐‘ฌ ๐‘ฐ๐‘ณ๐‘จ ๐‘จ๐‘ด๐‘ฌ๐‘ฒ๐‘ถ๐‘บ๐‘ฌ๐‘จ ๐‘ฒ๐‘จ๐‘ป๐‘ฐ๐‘ฒ๐‘จ ๐‘ต๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘จ ๐‘จ๐‘ต๐‘จ๐’€๐‘ถ๐‘ป๐‘ผ๐‘ด๐‘ฐ๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ณ๐‘ฌ๐‘ป๐‘จ ๐‘ฏ๐‘ผ๐‘ถ ๐‘ผ๐‘ฒ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฐ

Njia Pekee anayoikosea Mheshimiwa Tundu lisu katika kuuleta ukweli wake ni ๐‘ต๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘น๐‘จ๐‘ช๐‘ป๐‘ฌ๐‘น ๐‘จ๐‘บ๐‘บ๐‘จ๐‘บ๐‘ฐ๐‘ต๐‘จ๐‘ป๐‘ฐ๐‘ถ๐‘ต,๐‘ต๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘จ๐‘ต๐‘ฐ๐‘ฒ๐‘จ ๐‘ด๐‘จ๐‘ถ๐‘ฝ๐‘ผ ๐’€๐‘จ ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘ด๐‘จ ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘ฒ๐‘ถ ๐‘ด๐‘ฉ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฌ ๐’€๐‘จ ๐‘จ๐‘ซ๐‘ผ๐‘ฐ ๐’๐‘จ๐‘ฒ๐‘ถ,๐‘ต๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘ญ๐‘ผ๐‘จ ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ต๐‘ฎ๐‘ฐ๐‘ต๐‘ฌ ๐‘ฐ๐‘ณ๐‘ฐ ๐‘พ๐‘ฌ๐‘พ๐‘ฌ ๐‘ผ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ท๐‘ถ ๐‘ด๐‘บ๐‘จ๐‘ญ๐‘ฐ ๐‘ต๐‘ซ๐‘จ๐‘ต๐‘ฐ ๐‘ช๐‘ฏ๐‘ถ๐‘ด๐‘ฉ๐‘ถ ๐‘ฏ๐‘ฐ๐‘ช๐‘ฏ๐‘ถ ๐‘ฏ๐‘ฐ๐‘ช๐‘ฏ๐‘ถ

Pamoja na mapungufu yote aliyo nayo mheshimiwa mbowe yanayotokana tu na mitizamo(ideology) yake ๐’€๐‘จ ๐‘ซ๐‘ฐ๐‘ท๐‘ณ๐‘ถ๐‘ด๐‘จ๐‘ป๐‘ฐ๐‘ช lakini ni wazi huwezi kutumia njia ya kumvunjia heshima Baba yako ili wewe uheshimike zaidi.Mbowe ni kama baba katika Chadema anatambulika kwa uwezo wake mkubwa wa kukijenga chama hichi from unknow to be known, kutoka Zero to Hero

Hata kama ni kweli sasa mnaona amepotoka au amekosea au hamumhitaji kwa sasa, bado mngepaswa kutunza legacy yake na heshima aliyoitengeneza kwa muda mrefu sio kumtukana,au kuanika madhaifu yake au kumdharirisha mbele ya adui zenu kuwa eti amelamba asali?

Hiyo njia inayotumiwa na mheshimiwa Tundu Lisu na Team yake yote ndio inafanya tuwe na mashaka kama kweli Nia yetu ni njema au laโ‰๏ธ๐‘ฑ๐’† ๐’Ž๐’๐’‚๐’•๐’‚๐’Œ๐’‚ ๐’Ž๐’ƒ๐’๐’˜๐’† ๐’‚๐’๐’๐’…๐’๐’๐’†๐’˜๐’† ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐’‚๐’Š๐’ƒ๐’– ๐’š๐’‚ ๐’๐’‚๐’Ž๐’๐’‚ ๐’‰๐’Š๐’š๐’โ‰๏ธ

๐ŸŽฏHivi kweli huwazi baada ya kuanika madhaifu ya chama chenu utavunja moyo wanachama wangapi waliokuwa wanaamini katika hao unaowavunjia heshimaโ‰๏ธ

๐ŸŽฏHivi huwazi utawapa madui zako sauti kiasi gani au watakupuuza na kukudharau kiasi ganiโ‰๏ธ

๐ŸŽฏHivi kweli huwazi kwa namna mnavyotumia njia ya kupena mipasho ni njia inayowafedhehesha wenyewe na kuonekana mmepungukiwa hekima na busara kiasi ganiโ‰๏ธ

๐ŸŽฏHivi unaweza ukaupata ubaba kwa njia ya kumvua nguo baba yako hadharani na ukategemea watoto wako watakuheshimu kwasababu umeeleza ukweli na ubaya aliokuwa anafanya baba yakoโ‰๏ธ

Mimi kwa namna njia zinazotumiwa katika kufanya kampeni hizi za kumtaka mbowe aondoke ndio zinanipa mashaka kuona j,kweli nia yetu ni ya kweli kiasi hauogopi mtakiacha chama chenu mmekijeruhi na kukiumiza na kukivua nguo kiasi gani kiasi hata jamii itashindwa kuwaamini katika chaguzi zote?

Je,hamjifunzi hata kwa CCM,pamoja na madudu na namna.wanavyotifuana wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama lakini wanajua yapi wayazungumze hadharani hata kama hawakubaliani lakini wanajua wanaangalia maslai ya chama chao sio maslai yao binafsi

Kutokana na tabia hii anayoionyesha Mheshimiwa Tundu Lisu pamoja na kuwa namsapoti sana juu ya hoja zake za mageuzi na mabadiliko lakini zimenifanya nione hafai kwa nafasi hiyo kutokana na njia anazotumia kutafuta nafasi hii ya uenyekiti zinaonyesha hawazi juu maslai ya chama chao bali maslai yake binafsi

Mwisho ,bado hata nikiwafuatilia akina Heche, Lema na akina msingwa wengi wao nikiwasikiliza wanaongea ukweli ambao unatokana na machungu, au visasi au hasira binafsi walizo nazo dhidi ya mwenyekiti wao Mbowe.Nimeona hawawazi sana maslai ya wana chadema isipokuwa wanamsapoti lisu ili kumkomoa Mbowe kutokana na namna alivyowatendea ambavyo wanadhani ni isivyo sahihi.

Nafikiri Chama cha siasa hakipaswi kuongozwa na Mihemko,hasira binafsi dhidi ya watu, Mashindano yasiyo lenga kukijenga chama n.k

Kwa msingi huo, nafikiri kama kweli ni Demokrasia basi tuache democrasia iamue wala tusihukumiane na kumuona fulani hafai kugombea, nafikiri matokeo ndio yatakayoamua.Ninawaombea Uchaguzi mwema wa uhuru na haki.Mungu awabariki


๐Ÿ”ต๐๐š:๐’๐ก๐ฎ๐ฃ๐š๐šยฉ๏ธยฎ๏ธโ“‚๏ธ
๐ฌ๐ญ๐ฆ๐ฐ๐š๐ข๐ฌ๐ž๐ฆ๐›๐š๐œ@๐ ๐ฆ๐š๐ข๐ฅ.๐œ๐จ๐ฆ
๐Ÿ“ž0712054498
Ukweli ni kwamba watanzania wengi wanafanya siasa kama wanavyofanya ushabiki wa mpira wa miguu. Tundu Lissu hafai kuwa top leader nafasi yake ni mwanaharakati.
 
๐Ÿ›ก๏ธ๐‘ต๐‘จ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ฉ๐‘จ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘จ๐‘ต๐‘จ ๐‘ฏ๐‘ถ๐‘ฑ๐‘จ ๐’๐‘จ ๐‘ด๐‘ฏ๐‘ฌ. ๐‘ป๐‘ผ๐‘ต๐‘ซ๐‘ผ ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘บ๐‘ผ ๐‘ฐ๐‘ณ๐‘จ ๐‘ฒ๐‘พ๐‘จ ๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘ช๐‘ฏ๐‘ถ ๐‘ณ๐‘จ ๐‘ป๐‘จ๐‘ป๐‘ผ,๐‘ด๐‘ฏ๐‘ฌ. ๐‘ญ๐‘น๐‘ฌ๐‘ฌ๐‘ด๐‘จ๐‘ต ๐‘ด๐‘ฉ๐‘ถ๐‘พ๐‘ฌ ๐‘ต๐‘ซ๐‘ฐ๐’€๐‘ฌ ๐‘จ๐‘ต๐‘จ๐‘ญ๐‘จ๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘พ๐‘จ ๐‘ด๐‘พ๐‘ฌ๐‘ต๐’€๐‘ฌ๐‘ฒ๐‘ฐ๐‘ป๐‘ฐ ๐–๐€ ๐‚๐‡๐€๐ƒ๐„๐Œ๐€

๐Ÿ”ต๐‘ต๐‘จ:๐‘บ๐’‰๐’–๐’‹๐’‚๐’‚ยฉ๏ธยฎ๏ธโ“‚๏ธ

Kwanza nianze kwa kusema, kutokana na vuguvugu hili la Uchaguzi wa Uenyekiti wa Chadema lilivyo na mvuto katika jamii ya Tanzania,nimetokea kufuatwa na wadau wengi wa kisiasa wakinitaka nitoe mtizamo wangu kuhusu hili na nieleze nani anafaa kati yao ingawa mimi binafsi ๐‘บ๐’Š๐’ ๐‘ป๐’†๐’‚๐’Ž ๐‘ณ๐’Š๐’”๐’– ๐’˜๐’‚๐’๐’‚ ๐‘บ๐’Š๐’ ๐‘ป๐’†๐’‚๐’Ž ๐‘ด๐’ƒ๐’๐’˜๐’† wala siyaandiki haya kuonyesha upande wangu ila nimeyanadika haya kwa kuyatazama kwa ๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘ช๐‘ฏ๐‘ถ ๐‘ณ๐‘จ ๐‘ป๐‘จ๐‘ป๐‘ผ ๐‘ฒ๐‘พ๐‘จ ๐‘ด๐‘จ๐‘บ๐‘ณ๐‘จ๐‘ฐ ๐’€๐‘จ ๐‘พ๐‘จ๐‘ต๐‘จ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘ซ๐‘ฌ๐‘ด๐‘จ

๐‘ท๐’Š๐’๐’Š,Nimekuwa mfuatiliaji na msikilizaji wa hoja za kila Upande bila kuwa bias kuliko wakati wowote,ila nimetokea kuvutiwa sana na Hoja za mheshimiwa ๐‘ป๐‘ผ๐‘ต๐‘ซ๐‘ผ ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘บ๐‘ผ hasa katika ile hotuba yake ya kwanza ambapo ameeleza dhamira yake ya dhati kuwa anahitaji ๐‘ด๐‘จ๐‘ฉ๐‘จ๐‘ซ๐‘ฐ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘ฒ๐‘ถ ๐‘ต๐‘ซ๐‘จ๐‘ต๐‘ฐ ๐’€๐‘จ ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘ด๐‘จ kutokana na Udhaifu mbalimbali alioutaja na kueleza kuwa kwa majira ya Utawala wa Serikali hii ya sasa, unahitaji mtu mwenye ideology kama yake ili kuleta mabadiliko ndani ya Chadema.Hii ni kweli kabisa

Pia kuna mambo mengi sana mheshimiwa Lisu ametufumbua macho watu wengi ambayo tulikuwa hatuyajui sana ya ndani ya Chadema na ambayo naamini huenda yana ukweli kwa asilimia kubwa sana.Nimependa sana Uwezo wake wa kujenga hoja nzuri mbele ya media na ujasiri wake wa kuthubutu hata kumchalengi mwenyekiti Mbowe kwa ushawishi mkubwa alio nao hasa katika kujenga hoja na kupangua hoja pinzani zote.Pia ameeleza yeye ni mkweli wala sio mnafki na hapendi kuficha Uovu hata kama unafanyika ndani ya chama chake ndio maana ametoka mbele ya dunia kueleza yaliyo ndani ambayo anaona yanapaswa kubadilishwa.

๐‘ณ๐’‚๐’Œ๐’Š๐’๐’Š, mimi kwa jicho langu la tatu, nimejiuliza mengi ambayo ndio nataka tujiulize wote pamoja, Na tuitumie ๐‘ฒ๐‘จ๐‘ต๐‘ผ๐‘ต๐‘ฐ ๐‘ด๐‘ถ๐‘ฑ๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ท๐‘ฐ๐‘ด๐‘จ ๐‘ผ๐‘ฒ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฐ ๐‘ต๐‘จ ๐‘ซ๐‘ฏ๐‘จ๐‘ด๐‘ฐ๐‘น๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ด๐‘ป๐‘ผ

Nimejiuliza sana, Je ukweli wote tunaoambiwa juu ya Chadema au juu ya udhaifu wa Mbowe, Sisi wote hata ambao sio Chadema tunapaswa kuufahamuโ‰๏ธJe ukweli huo unatusaidia nini tukiufahamuโ‰๏ธJe ukweli huo tukiufahamu unatujenga au unatubomoa kwa kiasi ganiโ‰๏ธ Je ni wakati sahihi wa kuusema ukweli huo na ni mahali sahihi pa kuuweka ukweli huuโ‰๏ธ Je tumefikiria impact yake baada ya kuuleta huo tunaouona ni ukweli kwa maslai ya kukijenga chama unachotaka kukiongozaโ‰๏ธ.

Kimsingi Yapo mengi ningeendelea kuyauliza na yenye kutafakarisha sana ila hapa naomba nieleze machache ya kuyajibia maswali hayo kabla ya kuagalia ile kanuni...

Hivi Just Imagine Umewaona Mama yako na Baba yako wanagombana na unaona Baba anamfukuza Mama yako na panga au bastola ili amuue, ila ukamuona kabisa mama yako amejificha nyuma ya mlango na ghafla baba yako ametokea kuuliza mama yako yupo wapi?๐‘ฑ๐‘ฌ ๐‘ผ๐‘ป๐‘จ๐‘ด๐‘พ๐‘จ๐‘ด๐‘ฉ๐‘ฐ๐‘จ ๐‘ผ๐‘ฒ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฐ, ๐’Œ๐’˜๐’‚๐’Ž๐’ƒ๐’‚ ๐‘ด๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Œ๐’‚๐’‹๐’Š๐’‡๐’Š๐’„๐’‰๐’‚ ๐‘ต๐’š๐’–๐’Ž๐’‚ ๐’š๐’‚ ๐‘ด๐’๐’‚๐’๐’ˆ๐’ ๐’Š๐’๐’Š ๐’‚๐’Ž๐’–๐’–๐’† ?(๐‘ท๐’Š๐’‚ ๐‘บ๐’Š๐’”๐’†๐’Ž๐’Š ๐‘ผ๐’”๐’†๐’Ž๐’† ๐‘ผ๐’๐’๐’ˆ๐’).๐‘ฑ๐’† ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐’˜๐’‚๐’Œ๐’‚๐’•๐’Š ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’›๐’Š๐’๐’ˆ๐’Š๐’“๐’‚ ๐’‰๐’‚๐’š๐’ , ๐‘ฑ๐’† ๐’๐’Š ๐’Ž๐’‚๐’‰๐’‚๐’๐’‚ ๐’”๐’‚๐’‰๐’Š๐’‰๐’Š ๐’‘๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’–๐’”๐’†๐’Ž๐’‚ ๐’‰๐’–๐’ ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š, ๐‘ฑ๐’† ๐’‰๐’–๐’ ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š ๐’–๐’•๐’‚๐’”๐’‚๐’Š๐’…๐’Š๐’‚ ๐’‚๐’– ๐’–๐’•๐’‚๐’–๐’‚?

๐‘ฒ๐’˜๐’‚ ๐’Ž๐’˜๐’†๐’๐’š๐’† ๐‘ฏ๐’†๐’Œ๐’Š๐’Ž๐’‚ ๐’๐’‚ ๐‘ฉ๐’–๐’”๐’‚๐’“๐’‚ ๐’‚๐’๐’‚๐’˜๐’†๐’›๐’‚ ๐’‚๐’”๐’Š๐’”๐’†๐’Ž๐’† ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š ๐’๐’‚ ๐’˜๐’‚๐’๐’‚ ๐’‚๐’”๐’Š๐’”๐’†๐’Ž๐’† ๐’–๐’๐’๐’ˆ๐’ ๐’Š๐’๐’Š ๐’Œ๐’–๐’Ž๐’–๐’๐’Œ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’š๐’‚๐’Œ๐’†.๐‘ด๐’‡๐’‚๐’๐’ ๐’–๐’Œ๐’Š๐’–๐’๐’Š๐’›๐’˜๐’‚ ๐’‰๐’Š๐’—๐’š๐’ ๐’˜๐’†๐’˜๐’† ๐’–๐’Œ๐’‚๐’„๐’‰๐’‚๐’ˆ๐’–๐’‚ ๐‘ฒ๐’–๐’Œ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’Š๐’‚ ๐’ƒ๐’Š๐’๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’–๐’”๐’†๐’Ž๐’‚ ๐’‰๐’–๐’ ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š ๐’‰๐’‚๐’–๐’๐’๐’Š ๐’‰๐’‚๐’–๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’”๐’‚๐’ƒ๐’ƒ๐’‚๐’– ๐’š๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’š๐’‚๐’Œ๐’ ๐’Œ๐’–๐’–๐’๐’Š๐’˜๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š ๐’˜๐’‚๐’Œ๐’? ๐‘จ๐’– ๐’–๐’Œ๐’‚๐’‚๐’Ž๐’–๐’‚ ๐‘ฒ๐’–๐’๐’š๐’‚๐’Ž๐’‚๐’›๐’‚ ๐’‰๐’‚๐’•๐’‚ ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’–๐’๐’‚๐’–๐’‡๐’‚๐’‰๐’‚๐’Ž๐’– ๐’–๐’Œ๐’˜๐’†๐’๐’Š ๐’Œ๐’˜๐’‚๐’”๐’‚๐’ƒ๐’‚๐’ƒ๐’– ๐’–๐’๐’‚๐’‹๐’–๐’‚ ๐’–๐’Œ๐’Š๐’”๐’†๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’‚๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’‡๐’‚.๐‘จ๐’– ๐‘ฝ๐’Š๐’‘๐’Š ๐’–๐’Œ๐’Š๐’‚๐’Ž๐’–๐’‚ ๐‘ฒ๐’–๐’Ž๐’‹๐’Š๐’ƒ๐’– ๐’ƒ๐’‚๐’ƒ๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’๐’๐’š๐’†๐’”๐’‰๐’‚ ๐’‰๐’–๐’•๐’‚๐’Œ๐’Š ๐’Œ๐’–๐’Š๐’๐’ˆ๐’Š๐’๐’Š๐’‚ ๐’–๐’ˆ๐’๐’Ž๐’—๐’Š ๐’˜๐’‚๐’ ๐’Š๐’๐’‚ ๐’š๐’†๐’š๐’† ๐’‚๐’Ž๐’•๐’‚๐’‡๐’–๐’•๐’† ๐’Ž๐’˜๐’†๐’๐’š๐’†๐’˜๐’†?

Sio kila unachodhani ukweli unapaswa uwekwe wazi hadharani bila kujali madhara yanayoweza kutokea kwa kuuweka hadharani, wakati mwingine utawafanya hata familia yenu yote ionekane mavi wala haifai mbele ya jamii.Yapo mazingira na mahala sahihi pa kuusemea.Ukikosa hekima na busara ya kujua ni mahali gani sahihi pa kuusema ukweli na wakati gani wa kuusema ukweli na kwa nani wa kumpa ukweli unaweza ukaharibu hata maana ya ukweli unaotaka kuusema na unaweza ukakudhuru mwenyewe

Mimi nafikiri mambo mengi na ya kweli aliyoyazungumza Mheshimiwa Lisu hadharani tena ya kumshushia heshima mheshimiwa Mbowe, yalikuwa ni mambo ya siri ya ndani ya chama ambayo yasingepaswa kutoka nje kwa maslai ya kukilinda chama.Ni mambo ambayo yangefaa kujadiliwa na wanachama na kama ikiwa kuna watakaotakiwa kuwajibika watawajibishwa ndani ya chama ๐’”๐’Š๐’ ๐’Œ๐’–๐’Ž๐’˜๐’‚๐’ˆ๐’‚ ๐’Ž๐’„๐’‰๐’†๐’๐’† ๐’Ž๐’ƒ๐’†๐’๐’† ๐’š๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’Œ๐’– ๐’˜๐’†๐’๐’ˆ๐’Š

๐‘ด๐’˜๐’Š๐’”๐’‰๐’, Ipo kanuni Moja ya kuangalia UKWELI,NIA NA NJIA ANAYOTUMIA

โ–ถ๏ธMtu anaweza kuwa Mkweli kabisa ila akawa ana nia ovu ndani yake, ila anautumia ukweli alio nao ili kupata nafasi na kibali mbele za watu.Jambo hilo ni la muhimu kuangalia ili kuweza kutambua Nia ya kila anayeusema ukweli
โ–ถ๏ธMtu anaweza kuwa Mkweli Kabisa na akawa na Nia njema kabisa ila Njia anayoitumia ikawa ni njia mbaya.Na Ukikosea tu njia inaweza kuharibu hata ukweli ulio nao ukapuuzwa na ukaonekana haufai kabisa

Sasa katika hili Vuguvugu la Uenyekiti kati ya Lisu na Mbowe, nilichokiona na kukipima pamoja na propaganda zote zinazotumika na pande zote ni Kwamba ๐‘ฏ๐‘ผ๐‘ฌ๐‘ต๐‘ซ๐‘จ ๐‘ต๐‘ฐ ๐‘ฒ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฐ ๐‘ป๐‘ผ๐‘ต๐‘ซ๐‘ผ ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘บ๐‘ผ ๐‘จ๐‘ต๐‘จ ๐‘ต๐‘ฐ๐‘จ ๐‘ต๐‘ฑ๐‘ฌ๐‘ด๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ณ๐‘ฌ๐‘ป๐‘จ ๐‘ด๐‘จ๐‘ฉ๐‘จ๐‘ซ๐‘ฐ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘ฒ๐‘ถ ๐‘ต๐‘จ ๐‘ฏ๐‘ผ๐‘ฌ๐‘ต๐‘ซ๐‘จ ๐‘จ๐‘ต๐‘จ๐’€๐‘ถ๐‘บ๐‘ฌ๐‘ด๐‘จ ๐’€๐‘จ๐‘ต๐‘จ ๐‘ผ๐‘ฒ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฐ ๐‘พ๐‘ถ๐‘ป๐‘ฌ ๐‘ฐ๐‘ณ๐‘จ ๐‘จ๐‘ด๐‘ฌ๐‘ฒ๐‘ถ๐‘บ๐‘ฌ๐‘จ ๐‘ฒ๐‘จ๐‘ป๐‘ฐ๐‘ฒ๐‘จ ๐‘ต๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘จ ๐‘จ๐‘ต๐‘จ๐’€๐‘ถ๐‘ป๐‘ผ๐‘ด๐‘ฐ๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ณ๐‘ฌ๐‘ป๐‘จ ๐‘ฏ๐‘ผ๐‘ถ ๐‘ผ๐‘ฒ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฐ

Njia Pekee anayoikosea Mheshimiwa Tundu lisu katika kuuleta ukweli wake ni ๐‘ต๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘น๐‘จ๐‘ช๐‘ป๐‘ฌ๐‘น ๐‘จ๐‘บ๐‘บ๐‘จ๐‘บ๐‘ฐ๐‘ต๐‘จ๐‘ป๐‘ฐ๐‘ถ๐‘ต,๐‘ต๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘จ๐‘ต๐‘ฐ๐‘ฒ๐‘จ ๐‘ด๐‘จ๐‘ถ๐‘ฝ๐‘ผ ๐’€๐‘จ ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘ด๐‘จ ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘ฒ๐‘ถ ๐‘ด๐‘ฉ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฌ ๐’€๐‘จ ๐‘จ๐‘ซ๐‘ผ๐‘ฐ ๐’๐‘จ๐‘ฒ๐‘ถ,๐‘ต๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘จ ๐’€๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘ญ๐‘ผ๐‘จ ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ต๐‘ฎ๐‘ฐ๐‘ต๐‘ฌ ๐‘ฐ๐‘ณ๐‘ฐ ๐‘พ๐‘ฌ๐‘พ๐‘ฌ ๐‘ผ๐‘พ๐‘ฌ๐‘ท๐‘ถ ๐‘ด๐‘บ๐‘จ๐‘ญ๐‘ฐ ๐‘ต๐‘ซ๐‘จ๐‘ต๐‘ฐ ๐‘ช๐‘ฏ๐‘ถ๐‘ด๐‘ฉ๐‘ถ ๐‘ฏ๐‘ฐ๐‘ช๐‘ฏ๐‘ถ ๐‘ฏ๐‘ฐ๐‘ช๐‘ฏ๐‘ถ

Pamoja na mapungufu yote aliyo nayo mheshimiwa mbowe yanayotokana tu na mitizamo(ideology) yake ๐’€๐‘จ ๐‘ซ๐‘ฐ๐‘ท๐‘ณ๐‘ถ๐‘ด๐‘จ๐‘ป๐‘ฐ๐‘ช lakini ni wazi huwezi kutumia njia ya kumvunjia heshima Baba yako ili wewe uheshimike zaidi.Mbowe ni kama baba katika Chadema anatambulika kwa uwezo wake mkubwa wa kukijenga chama hichi from unknow to be known, kutoka Zero to Hero

Hata kama ni kweli sasa mnaona amepotoka au amekosea au hamumhitaji kwa sasa, bado mngepaswa kutunza legacy yake na heshima aliyoitengeneza kwa muda mrefu sio kumtukana,au kuanika madhaifu yake au kumdharirisha mbele ya adui zenu kuwa eti amelamba asali?

Hiyo njia inayotumiwa na mheshimiwa Tundu Lisu na Team yake yote ndio inafanya tuwe na mashaka kama kweli Nia yetu ni njema au laโ‰๏ธ๐‘ฑ๐’† ๐’Ž๐’๐’‚๐’•๐’‚๐’Œ๐’‚ ๐’Ž๐’ƒ๐’๐’˜๐’† ๐’‚๐’๐’๐’…๐’๐’๐’†๐’˜๐’† ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐’‚๐’Š๐’ƒ๐’– ๐’š๐’‚ ๐’๐’‚๐’Ž๐’๐’‚ ๐’‰๐’Š๐’š๐’โ‰๏ธ

๐ŸŽฏHivi kweli huwazi baada ya kuanika madhaifu ya chama chenu utavunja moyo wanachama wangapi waliokuwa wanaamini katika hao unaowavunjia heshimaโ‰๏ธ

๐ŸŽฏHivi huwazi utawapa madui zako sauti kiasi gani au watakupuuza na kukudharau kiasi ganiโ‰๏ธ

๐ŸŽฏHivi kweli huwazi kwa namna mnavyotumia njia ya kupena mipasho ni njia inayowafedhehesha wenyewe na kuonekana mmepungukiwa hekima na busara kiasi ganiโ‰๏ธ

๐ŸŽฏHivi unaweza ukaupata ubaba kwa njia ya kumvua nguo baba yako hadharani na ukategemea watoto wako watakuheshimu kwasababu umeeleza ukweli na ubaya aliokuwa anafanya baba yakoโ‰๏ธ

Mimi kwa namna njia zinazotumiwa katika kufanya kampeni hizi za kumtaka mbowe aondoke ndio zinanipa mashaka kuona j,kweli nia yetu ni ya kweli kiasi hauogopi mtakiacha chama chenu mmekijeruhi na kukiumiza na kukivua nguo kiasi gani kiasi hata jamii itashindwa kuwaamini katika chaguzi zote?

Je,hamjifunzi hata kwa CCM,pamoja na madudu na namna.wanavyotifuana wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama lakini wanajua yapi wayazungumze hadharani hata kama hawakubaliani lakini wanajua wanaangalia maslai ya chama chao sio maslai yao binafsi

Kutokana na tabia hii anayoionyesha Mheshimiwa Tundu Lisu pamoja na kuwa namsapoti sana juu ya hoja zake za mageuzi na mabadiliko lakini zimenifanya nione hafai kwa nafasi hiyo kutokana na njia anazotumia kutafuta nafasi hii ya uenyekiti zinaonyesha hawazi juu maslai ya chama chao bali maslai yake binafsi

Mwisho ,bado hata nikiwafuatilia akina Heche, Lema na akina msingwa wengi wao nikiwasikiliza wanaongea ukweli ambao unatokana na machungu, au visasi au hasira binafsi walizo nazo dhidi ya mwenyekiti wao Mbowe.Nimeona hawawazi sana maslai ya wana chadema isipokuwa wanamsapoti lisu ili kumkomoa Mbowe kutokana na namna alivyowatendea ambavyo wanadhani ni isivyo sahihi.

Nafikiri Chama cha siasa hakipaswi kuongozwa na Mihemko,hasira binafsi dhidi ya watu, Mashindano yasiyo lenga kukijenga chama n.k

Kwa msingi huo, nafikiri kama kweli ni Demokrasia basi tuache democrasia iamue wala tusihukumiane na kumuona fulani hafai kugombea, nafikiri matokeo ndio yatakayoamua.Ninawaombea Uchaguzi mwema wa uhuru na haki.Mungu awabariki


๐Ÿ”ต๐๐š:๐’๐ก๐ฎ๐ฃ๐š๐šยฉ๏ธยฎ๏ธโ“‚๏ธ
๐ฌ๐ญ๐ฆ๐ฐ๐š๐ข๐ฌ๐ž๐ฆ๐›๐š๐œ@๐ ๐ฆ๐š๐ข๐ฅ.๐œ๐จ๐ฆ
๐Ÿ“ž0712054498
Naomba ni kuulize, hivi wewe kama mwananchi lengo la kuunga mkono chama fulani ni hicho chama kinufaike tu, au kireplace kilichopo lakini mambo yale yale au ni nini hasa?
Maana kuna watu siwaelewi hasa wanaodai kusema ukweli wa madudu ya chama ni kukiua chama. Nabaki ninajiuliza, hivi ukweli kufichwa hasa wa mambo ya ajabu katika chama ili kutokiua chama unakusaidia nini wewe kama mwananchi wa kawaida unayeunga mkono hicho chama?
Wewe furaha yako ni mabadiliko ya kweli na kuwa na chama chenye watu honest, au unafurahia tu kuwasindikiza watu kwenda Kanani kula mema ya nchi hiyo ndiyo furaha yako?
Kwangu mimi, naona ni afadhali ukweli usemwe ili kama chama kinaanza uupya kianze tu ili mwisho wa siku tupate chama chenye kutenda yale kinayoyahubiri siyo chama ambacho hakina tofauti na CCM.
 
Uko sahihi - kwanza tutambue hakuna mwanadamu huyu wa damu na nyama, au taasisi au kitu chochote kile kilichoundwa kwa utashi wa kibinadamu ambacho hakina MAPUNGUFU. Serikali ina mapungufu, CCM inamapungufu, Kikwete anamapungufu, Samia na wote.....

Hivyo mtu wa ndani ya taasisi kutumia madhaifu uliyojua kutokana na nafasi yako - kumshambulia mwenzako au taasisi yako..ni usaliti wa hali ya juu.
Lissu na timu yake hiki walichokifanya hata wakishinda - baada ya muda mchache nao watakuwa targeted kwa matusi na kuvunjiwa heshima - na kutolewa kwa siri zote za chama chao nje sababu hata FAM akishindwa bado atakuwa na watu wachache walio-upande wake.
Karma ni hapahapa na sioni familia ya CDM ikija kuwa na umoja na siri tena - CCM lazima washaitumia hii nafasi kuwaandaa watu wa CDM ili wajue mipango yote - NI RAHISI SANA ADUI KUINGIA PANAPOKUA HAMNA UMOJA.
Siasa za matusi, na kusema madhaifu ya chama ndo matokeo yake haya.
Wajifunze CCM hata kama vitu haviheleweki wanapiga kimya chama mbele watu nyuma.
 
Uko sahihi - kwanza tutambue hakuna mwanadamu huyu wa damu na nyama, au taasisi au kitu chochote kile kilichoundwa kwa utashi wa kibinadamu ambacho hakina MAPUNGUFU. Serikali ina mapungufu, CCM inamapungufu, Kikwete anamapungufu, Samia na wote.....

Hivyo mtu wa ndani ya taasisi kutumia madhaifu uliyojua kutokana na nafasi yako - kumshambulia mwenzako au taasisi yako..ni usaliti wa hali ya juu.
Lissu na timu yake hiki walichokifanya hata wakishinda - baada ya muda mchache nao watakuwa targeted kwa matusi na kuvunjiwa heshima - na kutolewa kwa siri zote za chama chao nje sababu hata FAM akishindwa bado atakuwa na watu wachache walio-upande wake.
Karma ni hapahapa na sioni familia ya CDM ikija kuwa na umoja na siri tena - CCM lazima washaitumia hii nafasi kuwaandaa watu wa CDM ili wajue mipango yote - NI RAHISI SANA ADUI KUINGIA PANAPOKUA HAMNA UMOJA.
Siasa za matusi, na kusema madhaifu ya chama ndo matokeo yake haya.
Wajifunze CCM hata kama vitu haviheleweki wanapiga kimya chama mbele watu nyuma.

Zile ni kampeni . Ndio maana hakusema kabla ya kampeni
Udhaifu uliopo ndio ulimfanya achukue Fomu. Hata CCM wakiwa na demokrasia ya kweli na ya wazi tutawapata watu wazuri sana. Sasa hivi ni kakikundi ka mafisadi kanakotuchagulia Viongozi . Huu ni ushetani halafu tunataka kwenda kwa mwamposa kupakwa mafuta wakati akili zetu zimejaa hamu ya dhulma.
Ni wazi kuwa watu wengi wanapenda viongozi waadilifu na bila kuwataja hatutawajua mana watatuibia ili waje kutupa rushwa . Wakati mdude CHADEMA alipokua anawachana live mafisadi ndani ya CCM Mbowe alimuona ni kamanda na hakumkemea kuwa anachafua serikali . Sasa Mbowe kuguswa chama ndio kinachafuliwa. CHADEMA ni chama na Mbowe ni mtu mmoja na kundi lake la mafisadi . Hao ndio wanaokichafua na kuchafua chama.

Yaani majizi yanachafua chama halafu yakitajwa wanajificha kwenye chama.
 
Kwa kweli wanachomfanyia FAM hata wakichukua uongozi,kuna mambo yatawagharimu.Ni vyema kuwa na adabu kwa kiongozi wako na hata kama ana madhaifu kuna hekima na kupambana naye
 
All in all Lissu ndiyo anatakiwa kuwa mwenyekiti mpya wa CHADEMA, kumbakisha mbowe aendelee kuwa mwenyekiti ni kufanya siasa za nchi hii zibaki kama zilivyo business as ussual. Mbowe akibaki hamasa ya upigaji kura itashuka kwa kiasi kikubwa kwa kuwa tayari ccm imeisha hold regime yao wananchi wanajua ni samia tena hadi 2030!
 
FAM bado anafaa sana kwa kila hali kuendelea kubakia Mwenyekiti CHADEMA ukimlinganisha na Lissu..!!

Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti CHADEMA
 
Back
Top Bottom