Nakubaliana na Mange Kimambi kuhusu wasanii wa Bongo

Ni kadada fulani hivi kanapenda ugomvi kamegombana na watanzania wote wenye maendeleo.
Pia ni mwalimu wa machangudoa wanaotaka mabuzi wa kizungu.

Wabaya wake naona mnatumia jukwaa hili kutoa stress, huyu binti kawashika pabaya
 
Kusema ukweli nakubaliana na alichokisema Mange.
Diamond na Kiba wana vipaji ila wasipofuata ushauri wa huyu dada watapotea.
Mange ananikera kwa tabia zake za ugomvi ila hapa ameongea point ya maana sana.

Hapo ndipo uliponifanya nihoji sana, kwahyo ushauri wa Mange tu ndio wa kuwanusuru wasipoteee???
 
Yan uyo dada kaongea point lazma ukubal kuna mda ukifika mtu unaweza kuishiwa tungo kuliko kuimba ilimrad utoe nyimbo ni bora utafte mtu wa kukuandikia ili usishuke kimzk
 
mosdef big up naona matumbo ndio anapaniki hapa hakuna chuki binafsi wala nini mosdef ameongea ukweli tena anaujua muziki zaidi yako wewe matumbo yaani blabla za mange kimambi ndio unazisifia au umetumwa kweli mtu kama jux anastahili kupea coverage humu ndani?umenishangaza
 
Kuna maeneo na kubaliana nae hasa wasanii kukubali kuandikiwa nyimbo ambazo zinaweza kuja na mawazo mapya kama hana.
 

Ishu bado ni kuwa hawataki kutungiwa vitu vipya na wengine,sometimes unajiuliza imzekwaje msanii mkubwa beat nzuri anachoimba sasa
 
yuko sahihi kwa maeneo flani ila pengine hayuko sahihi. NITAMPATA WAPI ya Diamond inafanya vizuri sana kwenye chart za TV Stations kubwa za Africa.
pamoja na kaka mkubwa AY naye anafanya vema sana. lakini naamini hili bifu likiisha tutafaidi muziki wa Kiba na Diamond. lazima tutambue kuwa Kiba ni Kiba na Diamond ni Diamond.
kila mtu ana ladha na vionjo vyake kwa mashabiki wake.
mfano mimi siupendi muziki wa AY ila napenda sana juhudi zake za kuupeleka muziki wetu kimataifa. ameanzia mbali sana mpaka hawa vijana wengine wanapitia kwenye milango aliyoitengeneza AY na uzuri hana choyo wa roho mbaya.
wasanii wote wangekuwa na mtizamo kama AY tasnia ingekuwa mbali zaidi. sio umbea uchawi na majungu.
 
Yan uyo dada kaongea point lazma ukubal kuna mda ukifika mtu unaweza kuishiwa tungo kuliko kuimba ilimrad utoe nyimbo ni bora utafte mtu wa kukuandikia ili usishuke kimzk

Mange kaongea bonge la point ila tatizo watu wengi wana hasira nae,si unajua tena yule ni enemy of the people kwa hiyo hata akiongea kitu cha maana watu wanakubali kimoyomoyo ila kwa vile wanamchukia wanaamua kumponda.Mimi mwenyewe kanitoka ka kande zilizochacha ila mnyonge mnyongeni haki yake mpeni hapa mama mzungu kaongea point.Mange ana akili ila tu ndio hivyoo jina lake linanuka kinyesi kwa jinsi anavyopenda ugomvi.Hii point angeiandika Shamim ungeona jinsi watu wangekubali kuwa ni kweli.
 

Mtu anayeanza kwa kukutukana shoga ilo ni tatizo binafsi....Ni mtu asiyeamini anachofikiri hivyo kabla hajaanza na wazo lake uwa anatunguliza matusi. mbona hapa kuna watu wamekuja na mawazo tofauti mimi sijawatukana?

Kuhusu nani anaejua mziki, mimi nakubali huyo mchizi anajua kunipita wala siitaji mashindano.
Ila elewa tu wengine tumetokea kwenye mizizi ya walioupokea huu muziki hapa mjini. Tumekuwepo toka enzi.

Tujikite kwenye mada, kama mnaona utaratibu wa mtu kuandikiwa wimbo haufai semeni kwa nini? au kwa sababu ameongea msiyempenda.
 
Nimechoka story Diamond na Ali kiba

Haujachoka bado ungechoka usingefungua hapa.

By the way ukizungumzia muziki wa kizazi kipya kwa sasa uwezi kuacha kuwazungumzia hao sbb ndio wanaotazamwa zaidi kwa hiyo ata mifano lazima ianzie hapo. Au ulitaka tumuongelee Bwana misosi?
 
Yan uyo dada kaongea point lazma ukubal kuna mda ukifika mtu unaweza kuishiwa tungo kuliko kuimba ilimrad utoe nyimbo ni bora utafte mtu wa kukuandikia ili usishuke kimzk

Nakuandikiwa sio kudhalilishwa, pia usisubiri mpaka upotee au ushuke ndio unaweza kumtafuta wa kukuandikia inaweza ikawa too late.
 

Kuandikiwa sio lazima uwe hautoi nyimbo kali, unaandikiwa ili kupata radha mpya. Nitampata wapi ni nzuri sana, ila kuna kipindi watu watamzoea ukiwa na uandishi ule ule.

AY ngoma zake ni international level ila jiulize mbona uzisikii kwenye rotation? Video bomba ila uchanaji uimbaji ule ule.
 
Hivi anajinsia ya kike huyo mange? Anaujua mziki au mwanamuziki au kasomea mziki???

Lazma ajikolifai ili na sisi turidhike na maoni yake. Sio atoke huko then afanye analysis ya mziki.

Hata elimu ya mziki ana labda Umbea
 
Ni kadada fulani hivi kanapenda ugomvi kamegombana na watanzania wote wenye maendeleo.
Pia ni mwalimu wa machangudoa wanaotaka mabuzi wa kizungu.
queenkami, mambo? Uliuwasha motto siku zile afu ukakimbia, mbaya sana wewe.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…