Kila comment yako Neta ni safi na isiyo ya unafiki! Jaji mkuu ameongezewa muda kinyume cha katiba, alishastaafu! Maccm hovyo!!!Hawa wakiiba mzigo unafika kwa maza, bahati mbaya hatuna mahakama kuna mashina ya CCM
Yupo hapo mahakamani kulinda mafisadi ya CCMKila comment yako Neta ni safi na isiyo ya unafiki! Jaji mkuu ameongezewa muda kinyume cha katiba, alishastaafu! Maccm hovyo!!!
Huyo waziri ni Mungu? Hakuna watu wengine? Tena ni Mpuuzi sana alisema tusioweza kulipa tozo tuhamie Burundi! Burundi ya watu maskini? Tena hajui diplomasia ni mjinga TU!upuuzi wa mpina hauwezi kuacha watu wasifanye kazi yaani waziri wa fedha akae pemben huu ujinga no. moja
Ungeweka na response ya Mpina hapohapoNimesikiliza hoja za Mpina kuomba Mahakama iwasimamishe kazi Bashe na Mwigulu kupisha kesi zinazoendelea Mahakamani mimi nakubaliana naye kwa sehemu kubwa. Hebu Msikilize hapa Bashe baada ya kupelekwa Mahakamani na Mpina kwenye kashfa ya Sukari.
View: https://youtu.be/LaM87hfLZWg?si=FAd5QAqQCiid8EUv