Ingekua vyema kama kwenye border kungekua na ukaguzi mkali leo hii magonjwa kama
UTI
TYPHOD
AMOEBA
Na mengine mengi yasingekua bongo kwani haya yote yaliletwa.
Wizara ya afya badala ya kutenga budget kubwa za madawa ingewaza upande wa pili wa jinsi ya kutokomeza baadhi ya maradhi kama Malaria
Sidhani kama budget ya kufanya famigation kuua mazalia ya mbu ni kubwa kama budget ya kununua dawa za Malaria
Sidhani kama budget ya ku’treat’ maji kuua mazalia ya Typhod na Amoeba ni kubwa kama kununua Dawa na sindano za kutibu hayo magonjwa
Miti shamba ni jambo zuri lakini tukae kujua kwamba miti shamba reaction yake kwa magonjwa huchukua muda kutibu kulinganisha na dawa na sindano
Pia kuna baadhi ya magonjwa huwezi kutikwa miti shamba i.e mgonjwa kuhutaji oxygen
Serikali ianze kua na vipaumbele vya kutokemeza haya magonjwa sumbua kama Malaria. Toka unazaliwa mpaka unakufa unasikia kila siku Malaria ni mbaya Malaria inaua