Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Hii hoja ya mchepuko kumpumbaza mtu sioni kama ina nguvu sana kwa mwanamme anayejielewa.Ni kweli mwanaume haamki tu na kukimbia familia au watoto, huwa inawezekana amekutana na mchepuko uliompumbaza, ulevi au kuchanganyikiwa.
Kama wwe na baba yako ni damu moja,wala hutalazimishwa na watu kumsaidia Dingi yako,wwe mwenyewe damu itakuvuta kusaidia,lakini kama siyo damu moja, wala hutakuwa na hisia za kumsaidia!!Sawa, lakini baadae mzee akipigwa na maisha msimwambie kijana baba ni baba.
Wakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo.
Baba yangu aliondoka nyumbani mwaka 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha hakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.
Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajili ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.
Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefika hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Kama wwe na baba yako ni damu moja,wala hutalazimishwa na watu kumsaidia Dingi yako,wwe mwenyewe damu itakuvuta kusaidia,lakini kama siyo damu moja, wala hutakuwa na hisia za kumsaidia!!
Damu nzito kuliko maji, tafakari hilo, ila kama umepata baba mwingine hapo sawa!!Mzee ueleweki kabisa, naona unarukaruka tu kama popcorn
Damu nzito kuliko maji, tafakari hilo, ila kama umepata baba mwingine hapo sawa!!
Hayo majibu si amekupa mama yako!?? ..... Baki nayo hayohayo ukija kujua ukweli unaweza mchukia mama yako zaidi .... Sumu za single mothers Kwa watoto ni mbaya sana ...Wakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo.
Baba yangu aliondoka nyumbani mwaka 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha hakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.
Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajili ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.
Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefika hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Umeruka stage. Mpk anafanya hvyo sbb n nnWakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo.
Baba yangu aliondoka nyumbani mwaka 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha hakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.
Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajili ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.
Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefika hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
tofautisha kati ya single mummy na family iliyotelekezwa na mzazi mwenza.Hayo majibu si amekupa mama yako!?? ..... Baki nayo hayohayo ukija kujua ukweli unaweza mchukia mama yako zaidi .... Sumu za single mothers Kwa watoto ni mbaya sana ...
Unamtelekezaje mtoto/watoto ? Hapo wanaume tunaharibu na kustahili kubeba lawama. Ugomvi wa wazazi waathirika ni watoto.Wakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo.
Baba yangu aliondoka nyumbani mwaka 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha hakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.
Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajili ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.
Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefika hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Itapendeza zaidi kama ukijua aina ya ugomvi ndiyo useme haya maneno yako!!Unamtelekezaje mtoto/watoto ? Hapo wanaume tunaharibu na kustahili kubeba lawama. Ugomvi wa wazazi waathirika ni watoto.
Aliyetelekezwa anakuwa double mummy eti.....tofautisha kati ya single mummy na family iliyotelekezwa na mzazi mwenza.
Chuki hukaa kifuani mwa mpumbavu nashauri ukatae upumbavu jipe muda kaa mbali na baba yako kama yeye alivyoamua kataa umasikini na ujinga miaka kumi baadae au zaidi utakuja kumuelewa Baba yako kwanini aliwaacha na hapo ndipo utakapoanza kumpenda na kumheshimu na mafanikio yako yataanzia hapo.