'Nakufahamu' au 'Nakujua' ?

'Nakufahamu' au 'Nakujua' ?

SMU

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2008
Posts
9,613
Reaction score
7,889
Kuna tofauti kati ya maneno kufahamu na kujua. Kwa mfano Mtu ukisema 'namfahamu vizuri sana Anna' kuna tofauti na kusema 'namjua vizuri sana Anna'?
 
Kuna tofauti kati ya maneno kufahamu na kujua. Kwa mfano Mtu ukisema 'namfahamu vizuri sana Anna' kuna tofauti na kusema 'namjua vizuri sana Anna'?
Mzee where are you heading?
Wacha hizo mkulu......teh...teh....teh
 
Adam AKAMJUA mkewe, akazaa mtoto wa kiume akamwita Kaini, ... akaMJUA tena akazaa wa pili akamwia Abel ........... akaMJUA tena, akamzaa Lameck........
Haya maneno wala sijui yamekaaje. Ni sawa na Kukazana au MTU MZIMA.....
 
Adam AKAMJUA mkewe, akazaa mtoto wa kiume akamwita Kaini, ... akaMJUA tena akazaa wa pili akamwia Abel ........... akaMJUA tena, akamzaa Lameck........
Haya maneno wala sijui yamekaaje. Ni sawa na Kukazana au MTU MZIMA.....

Duh! Kumbe inawezekana ni matusi eenh🙂?
 
Kumfahamu ni kuwa na taarifa za huyo mtu/kusikia habari zake/kumuelewa. Kumjua mtu, ni kumwelewa kwa undani. Ukiulizwa unafahamu Kiingereza?. Jibu likiwa ndiyo, maana yake unafahamu kuwa Kiiingereza ni moja ya lugha na wenyewe ni Waingereza/Wangereza. Ukiulizwa kama unajua Kiingereza, maana yake ni kuijua-lugha ya Kiingereza kwa kuizungumza/
Kuisoma na kuandika.
Ile ya Adam kumjua Mkewe ni kukosekana kwa tafsiri ya neno "Carnal Knowledge" by then, tafsiri ya sasa ni 'kumuingilia'
 
unaposema una mfahamu mtu kwa ujumla inaishia kwenye tabia nk.Lakini unaposema unamjua mtu unakwenda mbali zaidi.Ina maana hata maumbile yake ya nje unayafahamu.Huu ndio ufahamu wangu.

Kuna tofauti kati ya maneno kufahamu na kujua. Kwa mfano Mtu ukisema 'namfahamu vizuri sana Anna' kuna tofauti na kusema 'namjua vizuri sana Anna'?
 
Back
Top Bottom