[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] Acha kumjaza Ujinga MwenzioNjoo mkuu, huku maisha yapo tena yamejaa. Dar ndio kila kitu hapo ni kama unatoka Illinois unaenda New York yaani mafanikio ni lazima
Dar ni chuo kikuu kwa Tz zaidi ya mlimani, hebu mwache aingie chuo jmnAlafu mnakimbiliaga dar tu..mie dar kwasasa huez nihamasisha kuhamia huko ht kidg..mikoanj mbona deals zipo?...yaan mie nimelirelax sana kuondoka dar
Tumefika kituo cha Rwiche hapa wakuu!
Kwa hiyo sisi tuliobahatika kusoma mlimani na tunaishi dsm tutakuwa tupo level ipi ya elimu?Dar ni chuo kikuu kwa Tz zaidi ya mlimani, hebu mwache aingie chuo jmn
Sent using Jamii Forums mobile app
kama hujajichanganya mtaani vyema, wewe utakuwa fomu waniKwa hiyo sisi tuliobahatika kusoma mlimani na tunaishi dsm tutakuwa tupo level ipi ya elimu?
Sent using Jamii Forums mobile app
umewahi nunua bidhaa gan kwanguwewe si unatembea na duka??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85]
Sent using Jamii Forums mobile app
muonekano wako pekee ni bidhaa adimu "sema asante"umewahi nunua bidhaa gan kwangu
Naona nimekukwaza kwa Elimu yangu ndogo, "Nisamehe"Mbona kila kitu unasisitiza elimu yako ni darasa la 7.
Inferior complexity
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukifika Dar utakuta ndugu zako wanauza kahawa!mtaji sidhani hata dola 4usd inafika kila la kheri mkuu!itakuchukua 20years kutoboa kimaishaWakuu leo ni siku maalumu, nataka niuanze mwaka kwa mambo mapya! Hapa nipo ndani ya treni nakuja Dar! Na muda mfupi treni ndiyo imeanza safari,
Sina sehemu ya kuaminika ya kufikia, kwahiyo kama utakuwa na kazi, Tafadhali nisaidie, Na elimu yangu ni darasa la Saba 0744472252 Ni namba yangu.
muone