Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Mapambano yanaendelea vizuri,
Nilikuja sina pa kufikia wala mwenyeji (hili siyo jambo dogo),
Leo hii nimepanga chumba.
Ni hatua nimepiga mkuu ukilinganisha na kipindi kile.

Wee jamaa fix sanaaa
 
Wee jamaa fix sanaaa
Fix kivipi mzee hebu elezea!
Maana tangia siku ya kwanza mpaka leo UpDate zilikuwa zinaletwa hapa.
mwanzo niliitwa ni tapeli, lakini mpaka leo hakuna ambaye amethibitisha nimemuibia hata shilingi hamsini.

Walionisaidia wanakucheka kizungu tu kwa kuniita eti mimi ni fix sana.
au sijaelewa maana ya fix.
 
Fix kivipi mzee hebu elezea!
Maana tangia siku ya kwanza mpaka leo UpDate zilikuwa zinaletwa hapa.
mwanzo niliitwa ni tapeli, lakini mpaka leo hakuna ambaye amethibitisha nimemuibia hata shilingi hamsini.

Walionisaidia wanakucheka kizungu tu kwa kuniita eti mimi ni fix sana.
au sijaelewa maana ya fix.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] We mjanja mjanja sana. sijasema tapeli.
 
Bushmamy muite King Kong III aje aone.
ila kwasasa nimepanga chumba.
kwa ufupi nimepiga hatua siyo kama zaman, ingawa nafanya kazi za vibarua na kuunga unga, lakini hela ya kodi na kula siikosi.

Hongera sana mkuu mjini uhakika wa kula na pakulala hata kama umepanga ni hatua na watu wa kigoma mnajulikana shughuli zenu ni kukopesha vyombo vya ndani, kuuza machungwa au madafu, kupaka rangi kucha, kufanya vibarua kwenye ujenzi, kuuza maduka ya bidhaa kama vyakula aina zote, kulima bustanj najua miaka 5 ijayo utakuja hapa kushukuru ukiwa umejenga na nyumba yako, kila la kheri kuzaliwa mwanaume ni kupambana
 
Mwaka wa 4 sasa tangu utimbe jijini Dar.
Binafsi nilipenda jinsi ulivyo ianza safari, ingawa nami ni kati ya watu walio kuchallenge sana lakini haukuwai kulala mika na leo umeipiga hatua.
Hongera sana kijana keep it up..💪
Mi kwa ule uzi sikuamini hata kidogo, halafu isitoshe hadi maneno ya English kuna sehemu anacoment hadi namuuliza anasema amejifunza vyote kutokana na hali ya maisha yake,
 
Mi kwa ule uzi sikuamini hata kidogo, halafu isitoshe hadi maneno ya English kuna sehemu anacoment hadi namuuliza anasema amejifunza vyote kutokana na hali ya maisha yake,

Mimi nina elimu ya kumsoma mtu thru maandishi au maneno yake ,ngoja nipitie baadhi ya comments zake na simulizi then nitakwambia kama bonafide genuine au anatupanga.
 
Mimi nina elimu ya kumsoma mtu thru maandishi au maneno yake ,ngoja nipitie baadhi ya comments zake na simulizi then nitakwambia kama bonafide genuine au anatupanga.
nimekaa na Kurunzi kwake namsaidia kufua kitimoto huko kwake na mengine mengi.
nimeenda pia kibiti ndani huko kwa jamaa flani kulima ufuta kwa mkataba ingawa yenyewe sikuileta humu.
na mengine mengi tu, sasa yote niwe nawapanga?
mpwayungu village kuna uzi aliuliza hawa jamaa wanaoonyesha pesa mitandaoni wanazitoa wapi?
kuna watu wakajibu eti hao jamaa wanaigiza.
wanaigiza vipi wakati wanaingia hoteli kubwa kubwa wanakula vyakula na vinywaji wanakunywa na kulipa?
 
kuna uzi aliuliza hawa jamaa wanaoonyesha pesa mitandaoni wanazitoa wapi?
kuna watu wakajibu eti hao jamaa wanaigiza.
wanaigiza vipi wakati wanaingia hoteli kubwa kubwa wanakula vyakula na vinywaji wanakunywa na kulipa?

Mbona Wema sepetu aliigiza amenunua nyumba ya milioni 400?

 
Wakuu leo ni siku maalumu, nataka niuanze mwaka kwa mambo mapya! Hapa nipo ndani ya treni nakuja Dar! Na muda mfupi treni ndiyo imeanza safari,
Sina sehemu ya kuaminika ya kufikia, kwahiyo kama utakuwa na kazi, Tafadhali nisaidie, Na elimu yangu ni darasa la Saba
Ni kama vile una zamia kwenda south Africa 🌍 au ughaibuni na haumjui yeyote....

Nashuhuda nyingi sana za watu kutoboa
KWENYE TUNDU LA HAIWEZEKANI...VITA YETU KUBWA NI NJAA... Karib mjini karibu Bongo DSM

Ukifika usiache kutupa mrejesho.....

Kutokana na ratiba zangu kua ngumu Kuna dogo alizamia dar......akapata waarabu wa kariakoo wakamtumikisha miezi mi5 bila kumlipa..
Alipo ulizia ujira wakamjibu SI ulikua una kula na kulala buree...

Hapa dar es salaam Kuna madalali wanawatafutia watu kazi za majumbani na ushamba boy, mambo ya kutunza garden 🏡🏡

Dalali akamtafuta kazi ya garden Kwa Maza mmoja taita wa kipare ambae mumewe yupo ubalozin nchi za nje....

Anasema yule mmama alikua kisirani na roho mbaya kinoma....hakuna kutoka hata nje ya geti....maana jamaa Ali state hana ndugu dar jamaa anasema alipigishwa kwata sana kama miezi sita...

Siku alipata msala Gani akaja nipigia simu kua amefukuzwa kazi so akawa analala stendi tegeta nje kituoni kama wiki mm still nikawa busy....

Akapata ishu ya kuchimba mashimo bagamoyo....project.....alinambia anatenda huko....still mm nilikua busy...akaja nambia ujira wote unaishia kwenye chakula....

Akanipigia simu akiniomba na kunisihi nimsaidie hifadhi au otherwise arudi nyumbani Kwao mkoa...

AM 4 REAL wakati naanza life nilipangaga nyumba sehemu Moja nzuri hata nilipo hama still Huwa nalipa Kodi Kule japo hakai mtu ndani Kuna Kila kitu....

Nikamwambia Kuna dogo muda Fulani mtakutana nae akupeleke sehemu ambayo utakua unakaa sawa....

Maisha mapya ya kaanza now yule dogo alishaga setlle ana nyumba mjini zaidi ya Moja...

Huwaga akikutana na mm huwaga ana ni treat kama king 👑 ni watu wachache sana unaweza kuwapa chance na wasikuangushee

Nimechoka kuandika.....

NB: MWOMBE SANA MUNGU AWE UPANDE WAKO NA UKUTANE NA WATU SAHIHI.
 
Ni kama vile una zamia kwenda south Africa 🌍 au ughaibuni na haumjui yeyote....

Nashuhuda nyingi sana za watu kutoboa
KWENYE TUNDU LA HAIWEZEKANI...VITA YETU KUBWA NI NJAA... Karib mjini karibu Bongo DSM

Ukifika usiache kutupa mrejesho.....

Kutokana na ratiba zangu kua ngumu Kuna dogo alizamia dar......akapata waarabu wa kariakoo wakamtumikisha miezi mi5 bila kumlipa..
Alipo ulizia ujira wakamjibu SI ulikua una kula na kulala buree...

Hapa dar es salaam Kuna madalali wanawatafutia watu kazi za majumbani na ushamba boy, mambo ya kutunza garden 🏡🏡

Dalali akamtafuta kazi ya garden Kwa Maza mmoja taita wa kipare ambae mumewe yupo ubalozin nchi za nje....

Anasema yule mmama alikua kisirani na roho mbaya kinoma....hakuna kutoka hata nje ya geti....maana jamaa Ali state hana ndugu dar jamaa anasema alipigishwa kwata sana kama miezi sita...

Siku alipata msala Gani akaja nipigia simu kua amefukuzwa kazi so akawa analala stendi tegeta nje kituoni kama wiki mm still nikawa busy....

Akapata ishu ya kuchimba mashimo bagamoyo....project.....alinambia anatenda huko....still mm nilikua busy...akaja nambia ujira wote unaishia kwenye chakula....

Akanipigia simu akiniomba na kunisihi nimsaidie hifadhi au otherwise arudi nyumbani Kwao mkoa...

AM 4 REAL wakati naanza life nilipangaga nyumba sehemu Moja nzuri hata nilipo hama still Huwa nalipa Kodi Kule japo hakai mtu ndani Kuna Kila kitu....

Nikamwambia Kuna dogo muda Fulani mtakutana nae akupeleke sehemu ambayo utakua unakaa sawa....

Maisha mapya ya kaanza now yule dogo alishaga setlle ana nyumba mjini zaidi ya Moja...

Huwaga akikutana na mm huwaga ana ni treat kama king 👑 ni watu wachache sana unaweza kuwapa chance na wasikuangushee

Nimechoka kuandika.....

NB: MWOMBE SANA MUNGU AWE UPANDE WAKO NA UKUTANE NA WATU SAHIHI.


nimeipenda sani Dr . imekaa vizuri sana
 
Back
Top Bottom