Uzito WAKO??Wakuu leo ni siku maalumu, nataka niuanze mwaka kwa mambo mapya! Hapa nipo ndani ya treni nakuja Dar! Na muda mfupi treni ndiyo imeanza safari,
Sina sehemu ya kuaminika ya kufikia, kwahiyo kama utakuwa na kazi, Tafadhali nisaidie, Na elimu yangu ni darasa la Saba 0744472252 Ni namba yangu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 natama kumkwoti mtu hapKuna sehemu nimepita waendesha vitoroli wote ni Waha. Karibu Dar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naona umekariri tu kuwa wauza kahawa hawatoboi.Ukifika Dar utakuta ndugu zako wanauza kahawa!mtaji sidhani hata dola 4usd inafika kila la kheri mkuu!itakuchukua 20years kutoboa kimaisha
Sent by Diaspora
Njoo nduguzako wanakopesha vyombo huku.Wakuu leo ni siku maalumu, nataka niuanze mwaka kwa mambo mapya! Hapa nipo ndani ya treni nakuja Dar! Na muda mfupi treni ndiyo imeanza safari,
Sina sehemu ya kuaminika ya kufikia, kwahiyo kama utakuwa na kazi, Tafadhali nisaidie, Na elimu yangu ni darasa la Saba 0744472252 Ni namba yangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jambo dogo eti unataka kuingiza maupepomuone
Unatakaaaaaaa AKUPE vyeti feki umwelewe???Mbona kila kitu unasisitiza elimu yako ni darasa la 7.
Inferior complexity
Sent using Jamii Forums mobile app
😤[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jambo dogo eti unataka kuingiza maupepo
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyoooo ndiowale waathirika WA vyetiii mkijalasabaaaa mnawatesaaaNaona nimekukwaza kwa Elimu yangu ndogo, "Nisamehe"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nshajua dawa yako[emoji36]
Unanikwaza kila unapo itaja as if ndio ticket.Naona nimekukwaza kwa Elimu yangu ndogo, "Nisamehe"
Mkwot tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] natama kumkwoti mtu hap
huna sumu ww
Sasa kutoa taarifa kuwa anaenda Dar na kusema ni Darasa la saba inahusiana nnUnatakaaaaaaa AKUPE vyeti feki umwelewe???
Kunawatu wameumbwaa waaminifu tokautoton
HAPANAAA UJAELEWA KWANN TUSI SIOKAZI MKUU AISEE UNATAKAAA KUUZA DUKAN AMA KUUZA GESI??PAMBANÀ NA UTALACHOANZA NACHO KILAMTU ALIANZA CHINIHili linawezakuwa tusi?