Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,107
- 1,012
Aiseeeeee....[emoji45] [emoji45] [emoji45] [emoji45]Ukifika Dar utakuta ndugu zako wanauza kahawa!mtaji sidhani hata dola 4usd inafika kila la kheri mkuu!itakuchukua 20years kutoboa kimaisha
Sent by Diaspora
nikabidhi siku moja nitie sumu kama hutaleta mrejesho[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeeeee....[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]yaan ww ht nifungiwe na ww rum 1 utakesha..ht kunibaka huwez ww..
Si hawa akina manengelo? Wambie wanisaidie, waache stori.
Kama nakuona na mjomba kaja yako,,,karibu jijini ,,maisha ni heri ya huko utauza migebuka
USIINGIE KWA PAPARA LAKININa ndiyo nawasubiri!
Kama nakuona na mjomba kaja yako,,,karibu jijini ,,maisha ni heri ya huko utauza migebuka
Mashangazi kaja ndio nini??Umepaki nguo zako kwenye shangazi kaja?
Yalishapigwa marufuku huku dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamia uko mkuu[emoji855][emoji855][emoji855][emoji855][emoji855][emoji23][emoji23] mie ningekuwa naishi huko kigoma ningetusua mapema sana
Ukinitoa Dar siendi popote isipokuwa London,New York au Dubai.Alafu mnakimbiliaga dar tu..mie dar kwasasa huez nihamasisha kuhamia huko ht kidg..mikoanj mbona deals zipo?...yaan mie nimelirelax sana kuondoka dar
KUPARAMIWA ndio nini?Uliulizwa upo tayari kuparamiwa... Hukujibu. Kuna jamaa alisema ana sehemu ofisi ya kutengeneza juice. Upo tayari KUPARAMIWA?