Halafu pia kuna baadhi ya Id katika huu uzi ni za mwezi december na tarehe hazijapishana sana na comment zao zinaendana sana. Wait tuone tusijudge kwanza kabla hatujaujuwa mwisho wa huu uzi
Achana na uyo fa.la..hajapita kwenye uzi wa wawalipa kodi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pumbav nimecheka sana aiseeKimya unazibua mifereji nini?
YAAH since day 1 baada ya kumpigiakwan mmethibitisha kijana ni tapeliii
Ahaa yule jamaa.... mpuuzi kweli yule...watu walimuumbua na thread zake za nyumaKuna mtu alikuja huku analia shida
Watu nafsi zikawataka wamsaidie
Baadae amekuja kujulikana ni tapeli
Niliponea kwenye tundu la sindano
Toka hapo siamini mtu anaeomba msaada jf
Yeah lets wait and seeHalafu pia kuna baadhi ya Id katika huu uzi ni za mwezi december na tarehe hazijapishana sana na comment zao zinaendana sana. Wait tuone tusijudge kwanza kabla hatujaujuwa mwisho wa huu uzi
Naendelea hapo chini...
Ah Wilooo....umetisha....sana..Aweke namba yake hapa tumpigie achukue bodaboda aje...
Kujiuliza ni lazima lakini napata ukakasi kuna member humu kakutna nae makumbusho na kampa nauli na picha ya huyo dogo ikapostiwa humu akiwa ndani ya bus. Ina maana kama dogo ni tapeli ina maana hata member mwenzetu aliekutana nae alishindwa kulitambua hilo??Yeah lets wait and see
We endelea hapo chini mkuu usiwe na wasiwasi,
Nawasiwasi huyu ni mwanachama mkongwe sema anatumia new ID kwa lengo fulani, haiwezekani hauna hata wiki mbili JF unajua kucommennt, kumention majina na anaonekana ana uzoefu kupita maelezo wa kujipambanua kwenye thread, kubwa zaidi huwezi kuingia jamii forum just within a week ukaanza kutiririka matatizo yako na kuomba msaada
Anyway sitaki kumjudge sana ila sometimes we need to reason
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza haiingii akilini mtu utoke nyumbani from no where uende mjini hujui unapokwenda kuanzia, especialy watu wa vijijini huwa ni waoga wa maisha atlist angekua mtu ambae ameshakaa mjini ni rahisi kwenda kutafuta maisha popote ila hawa wa vijijini mara nyingi huwa wanategemea kuvutwa na ndugu au marafikiNafikiri hili jamaa lingekuwa lipo dar na linashida lingeshauza hiyo simu janja mpaka sasa ....nahisi linachezea akili za watu tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya sasa, team inazidi kuongezeka!
Namna hii mtawakamata wengi wasiojitambua, wewe pia ni Tapeli mwenzake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni kuwa na akili mgando!!Wapo,
Ila huyu kwa umri aliokuwa nao ni mdogo sana.
Darasa la saba kwa umri huu, hawezi kuwa na exposure ya kuijua JF, kufungua email, kujiunga na kuchangia hivi.
Huyu hana hata 20yrs
Sent using Jamii Forums mobile app