Nataka kufanya kazi masaa24 yani niwe na kazi ya kufanya mchana na usiku niwe na kazi nyingine lengo kwa wiki niingie hata elfu50Elfu 50 tengenezesha meza
Elfu 10 nunua taa ya kuchaji
100000 nunua parachichi na ndizi anza kuuza pale tegeta kwa ndevu
Mwanangu kwanini usifikie Mbezi tushirikiane kuanzisha biashara.Habari wakubwa
Naomba niseme tu nmechoka kukaa nyumbani kua kula kulala, maisha ya kukaa nyumbani yamenichosha natamani na
Ukipata goli sehemu ya bodaboda ukaweka sigara, pipi, big G, pombe Kali na biscuit unapiga kazi masaa 24Nataka kufanya kazi masaa24 yani niwe na kazi ya kufanya mchana na usiku niwe na kazi nyingine lengo kwa wiki niingie hata elfu50
Wewe upo Dar nije unishike mkono kakaJitahidi uwe na mtu wa kukuhifadhi kwa siku chache, mwenyewe utapata taabu sana. Au mtu akuajiri kwenye kazi yake huku unatafuta pa kutokea. Wengi waliofanikiwa walishukia kwa watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kisha Anza kuamka asubuhi unavizia mafundi wanaenda kujenga omba saidia fundi shusha bei wakupe 15,000 badala ya 20,000 kuwa mwaminifu kwa kazi zako. Ukipata hakikisha unatunza 10 kwa siku baadae utapata mtaji wa kufungua kijiwe cha chipsi.huku bado Kuna maeneo unaomba wanakupaUmefanya maamuzi mazuri sana,kukaa tu ni hatari.
Ukija dar fikia Malamba mawili utapata chumba cha elfu kumi
Uje na huo mtaji ujiunge na waha kukopesha vyomboKisha Anza kuamka asubuhi unavizia mafundi wanaenda kujenga omba saidia fundi shusha bei wakupe 15,000 badala ya 20,000 kuwa mwaminifu kwa kazi zako. Ukipata hakikisha unatunza 10 kwa siku baadae utapata mtaji wa kufungua kijiwe cha chipsi.huku bado Kuna maeneo unaomba wanakupa
Unataka kumzulumu dogo wwMwanangu kwanini usifikie Mbezi tushirikiane kuanzisha biashara.
Asante sana kwa ushauri wako kakaMm nikutie moyo ww jilipue njoo Dar es salaam....kikubwa usiwe na mkono wa wizi...
Hapa ni dar es salaam Wala sio south Africa....
Nafaham washikaji walikua wanalala nje Leo Wana kwao hapa hapa DSM....
Karb DSM ukikwama nitafute ntakupa support Kwa kadri ya uwezo wangu.....
Ila tu USIWE MWIZI
Napenda sana siku Moja urud hapa Utupe testimony nzurii ya mafanikio....
Japo maisha ya dar gharama na hayapo kiujamaa......
Pia mwombe MUNGU akuepushe na mabalaa na uwe mtu mwenye bahati....usisahau kumwomba akukutanishe na watu sahihi...
The rest itabaki history.....
Fanya kile unacho amini ni sahihi....Karb DSM,