Heh,napita..Naanza safari mida hii nikitokea Msata kilingeni... Nina ishu ya kufanya hapo bandarini mpaka saa nne takuwa nimemaliza
Kwa heshima kuu nitaomba mrembo aliye tayari tuonane japo kwa kinywaji na story kidogo... Sitegemei kulala Dar nitarudi huku jioni...
Nitakuwa nachungulia PM mara kwa mara
Pls welcome
Unapokutana na mwenyenjaa mwenzako ni heri mkaombeana baraka naona tumlilie Dinazarde aka Mama SabrinaDah hizi baraka nyingine hizi... Yani unaumwa njaa halafu unakuwa muwazi... Unachoambulia ni baraka[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unapokutana na mwenyenjaa mwenzako ni heri mkaombeana baraka naona tumlilie Dinazarde aka Mama Sabrina
Kamtafute miss natafuta, umfotoe nna shida na picha yake.Hapana ni mimi kabisa basi tu nimekumbuka zile nyuzi za new members wa MMU
0715. 824 216 chukua hyo namba mtoto mkali kishenzi niliipata hyo namba humuhumu jf nikamtafuta akanipa faraja kwa siku zote nilizokaa dar. Ila kama una ela njiwa usimtafute .
Mkuu unampango gani na hao warembo???? Ila usisahau kutuma mrejesho wa kilichoendelea Mkuu baada ya kuonanaNaanza safari mida hii nikitokea Msata kilingeni... Nina ishu ya kufanya hapo bandarini mpaka saa nne takuwa nimemaliza
Kwa heshima kuu nitaomba mrembo aliye tayari tuonane japo kwa kinywaji na story kidogo... Sitegemei kulala Dar nitarudi huku jioni...
Nitakuwa nachungulia PM mara kwa mara
Pls welcome
Tehtehteh... mganga hajigangi wewe tusafishie nyota tuwe tunakulipa tu. [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Niko mjini tayari na pm iko wazi ila haina kitu [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] sijabeba tunguli warembo
wanakuogopa usije kuwaroga hahaha wakawa wanakuja msata bila kuwaza hahahNiko mjini tayari na pm iko wazi ila haina kitu [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] sijabeba tunguli warembo
Taratibu Guru, mshana jr, usije pata mrembo wa miaka 87 akaja kukupa kampaniNaanza safari mida hii nikitokea Msata kilingeni... Nina ishu ya kufanya hapo bandarini mpaka saa nne takuwa nimemaliza
Kwa heshima kuu nitaomba mrembo aliye tayari tuonane japo kwa kinywaji na story kidogo... Sitegemei kulala Dar nitarudi huku jioni...
Nitakuwa nachungulia PM mara kwa mara
Pls welcome