Nakukumbuka, asante sana

Nakukumbuka, asante sana

clearmind

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2013
Posts
813
Reaction score
1,913
Ni mwaka sasa unakaribia kuisha tangu uamue kuniandikia ujumbe wa kuhitaji talaka baada ya ndoa yetu kudumu kwa miaka miwili na miezi minane tu.

Bado nakukumbuka sana mpenzi. Sichoki kukumbuka nyakati nzuri ambazo tulikaa pamoja. I still remember that glorious morning in the church, in that beautiful dress, you looked beautiful dear.

Sijajua ulikutana na changamoto gani ya kuhitaji talaka na ukaamua kutokuwa hewani bila kujua maumivu ninayopitia. I miss my little girl, G. Najua utasoma ujumbe wangu hapa JF.

Ni uamzi mzuri kuondoka lakini I just need one more chance to say a word to my little angel.
 
Be a man bwana ebo!! Hii mwanaume kulia lia hii to me hapana!! It has gone it has gone. Kwan mmezaliwa tumbo moja huyo????
 
Ni mwaka sasa unakaribia kuisha tangu uamue kuniandikia ujumbe wa kuhitaji talaka baada ya ndoa yetu kudumu kwa miaka miwili na miezi minane tu.

Bado nakukumbuka sana mpenzi. Sichoki kukumbuka nyakati nzuri ambazo tulikaa pamoja. I still remember that glorious morning in the church, in that beautiful dress, you looked beautiful dear.

Sijajua ulikutana na changamoto gani ya kuhitaji talaka na ukaamua kutokuwa hewani bila kujua maumivu ninayopitia. I miss my little girl, G. Najua utasoma ujumbe wangu hapa JF.

Ni uamzi mzuri kuondoka lakini I just need one more chance to say a word to my little angel,,,
Pôle sana mkuu,but jitahidi kuwa unamtafuta n'a kuhudumia mtoto wako!
 
Back
Top Bottom