[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha.
Alikufirimba vizuri eeh?
Wachovu hatuwakumbukagi usiku tusije ota vibaya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani kweli hii ndio dizaini ya kumkumbuka Festo??? Umeshindwa kumuelezea kidogo kwamba ana kipi spesho alichokufanyia kuliko wengine hadi umkumbuke tena mida ya usiku?
Thread urudiwee irudiweee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila bibi jaman daaah.Zikianza tuu fikra...
Yaani file lake likija na kuanza kuleta mtiririko wa matukio/nyakati mlizoishi....
Unajikuta unatabasamu tuu bila breki...[emoji4]....
Na usipojizuia unalowa hivihivi...
[emoji23][emoji23][emoji23]Mr kazingua pakubwa....
Yani Festo angekuwa mitaa ya jirani ooohh, ingekua rrrrrrrrrr ni kuteleza tu.
HahahaFesto anakiburi
Umenikumbusha mbali Sana enzi hizo Kimambo expressFesto njoo hapa karibu na gereji ya Ngasere nikuoneshe uzi wako. Hapa kwenye supu.
[emoji23]
Umemuona festo wangu?Festo mbona wapo wengi?
Festo hongera kaka kwa kumfikisha kibo dada yetuI met with this guy on 2017-2018
Nakukumbuka Festo...nisamehe kukufungulia uzi....
Wasalimie Mpwapwa[emoji3059]!
I hope to meet again....
Wasalaam !
Mzee wa Legacy
Ukute labda yuko chimbo anajifua ili mkikutana tena akuachie legacy isiyofutika. Kijana mbaya sana huyo.Umemuona festo wangu?
Ila Mrs Byesige nae atakuwa vizuri sana. Ufundi ulikutana.Festo hongera kaka kwa kumfikisha kibo dada yetu