Yani kweli hii ndio dizaini ya kumkumbuka Festo??? Umeshindwa kumuelezea kidogo kwamba ana kipi spesho alichokufanyia kuliko wengine hadi umkumbuke tena mida ya usiku?
Thread urudiwee irudiweee
Hahhahaa...wewe tena!🤣🤣🤣🤣!hawa viumbe jamani! Ntaota leoZikianza tuu fikra...
Yaani file lake likija na kuanza kuleta mtiririko wa matukio/nyakati mlizoishi....
Unajikuta unatabasamu tuu bila breki...😊....
Na usipojizuia unalowa hivihivi...
"Regacy"Mzee wa nini ? [emoji53]
Huyu kaka hapana....namkumbuka....nammis walahNdugu wana JF, kwa vile yaliyotokea kati ya Mrs Byesige na Festo sisi hatukuwepo, tunaomba thread irudiwe kwa kuandika kila kitu kilichotokea.
Irudiwe!
Sitamsahau kamwe....namkumbuka mnoVipi Tena Umekumbuka Mikito Heavy ya DJ 45 KING?
😭😭Kwa sasa nimeoa kipenzi changu, mpwapwa nilihama kwa sasa nipo dodoma mjini.
Wasalaam !
Mzee wa Legacy
Itakuwa Mr Byesige kazingua mahali.Yani kweli hii ndio dizaini ya kumkumbuka Festo??? Umeshindwa kumuelezea kidogo kwamba ana kipi spesho alichokufanyia kuliko wengine hadi umkumbuke tena mida ya usiku?
Thread urudiwee irudiweee
Kwa sasa nimeoa kipenzi changu, mpwapwa nilihama kwa sasa nipo dodoma mjini.
Leave as it isMrs halafu tena Mzee wa Legacy 🙄🙄
🤣🤣🤣🤣🤣🤣siwaweziItakuwa Mr Byesige kazingua mahali.
Kwa kweli Irudiwe Ili tumdelete Byesige abaki na Festo
Anajijua🥰Ni Festo Sikagomano?
Nashukuru kwa kunikumbuka hiyo ni faraja tosha nakuombea nawe upate wa kufanana nawe.[emoji24][emoji24]
Zimefika mkuu.Sawa, salimia wale watoto wa Kirangi pale Chako ni Chako.
Not marriedKwa sasa nimeoa kipenzi changu, mpwapwa nilihama kwa sasa nipo dodoma mjini.
Am praying for you anyway!Not married
Hahhahaa...wewe tena!🤣🤣🤣🤣!hawa viumbe jamani! Ntaota leo
Leave as it is