MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,006
Kuna uzi uliwahi anzishwa hapa, kwa nini wengine hufa kwa kuhangaika sana na wengine hufa wanatabasamu...
Kwa kifupi yale ulofanya ukiwa hai ndo unaondoka nayo na ndo hayo yanakufanya utabasamu au uhangaike na kutaka kukikimbia kifo...
Mbingu ni hakika, jehanum ni dhahiri na Mungu yupo..
Kwa kifupi yale ulofanya ukiwa hai ndo unaondoka nayo na ndo hayo yanakufanya utabasamu au uhangaike na kutaka kukikimbia kifo...
Mbingu ni hakika, jehanum ni dhahiri na Mungu yupo..