Nakukumbusha tu mwanaume mwenzangu

Mkae mkijua kabisa, mwanamke hata angekuwa na kila kitu, iwe Pesa nyingi Majumba na Magari, atahakikisha hako ka elfu kumi kako anaondoka nako. .haachi hata kama ni kabuku tano, hawa ni watu wa ajabu sana, ni majambazi wasiotumia silaha...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mim mademu Wa kishua huwa fist time namfanyia surprise baadae mzigo napiga then ...........pamba Kali na kila jumapili hoteli au bar za gharama kama sinza ......nilishangaa siku moja broo Wa ndogo wake [demu] kushanga mbona sister wake kakubali kirahis hivyo ??nilichomwambia jumapili aje mliman city ]alichokiona baada ya kumuona Mdogo wake si akapagawa et"oya kumbe nafikiri tayari wako"yaan aliagiza kila kitu akitakacho kuku,baga ,piza n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umeitoa wasap hii

ona hayo ma *
 
duuh nilikua na laki hapa mfukoni kesho nawaza niimalizie yote kwa mtu tu, naangalia hiyo list hapo juu naona kabisa ningekua nimeongeza ziro moja kwenye kila kitu hapo na nimeingiwa na uoga kusema kweli imebidi niitume tu hiyo pesa benki ikapigwe a/c za vault kwanza wakati natafakari nina akili fupi kias gani kumpa mtu baki kilo 40 za mchele kwa siku moja tuu,,, tena mchele supa kabisa!! hiyo hasara nitaifidia vipi kwamfano?!
 
Hahahaha 😛 😛

Sent using Jamii Forums mobile app
 

ha ha ha ,duh, naacha kuhonga, ila mara nyingi nahonga elf 5, embu chakachua iyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…