Nakukumbusha tu mwanaume mwenzangu

Nakukumbusha tu mwanaume mwenzangu

Mkae mkijua kabisa, mwanamke hata angekuwa na kila kitu, iwe Pesa nyingi Majumba na Magari, atahakikisha hako ka elfu kumi kako anaondoka nako. .haachi hata kama ni kabuku tano, hawa ni watu wa ajabu sana, ni majambazi wasiotumia silaha...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mim mademu Wa kishua huwa fist time namfanyia surprise baadae mzigo napiga then ...........pamba Kali na kila jumapili hoteli au bar za gharama kama sinza ......nilishangaa siku moja broo Wa ndogo wake [demu] kushanga mbona sister wake kakubali kirahis hivyo ??nilichomwambia jumapili aje mliman city ]alichokiona baada ya kumuona Mdogo wake si akapagawa et"oya kumbe nafikiri tayari wako"yaan aliagiza kila kitu akitakacho kuku,baga ,piza n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakukumbusha tu kuwa ukihonga elfu kumi kumbuka yafuatayo:-

*1.* Ni bei ya sato kilo moja

*2.* Kuku wa nyama mmoja

*3.*kilo 2 za nyama ya ng'ombe

*4.*Sukari kilo 3

*5*. Donna kilo 4

*6.* Mchele kilo 4 super kabisa

*7.* Maziwa ya ng'ombe lita 4

*8.* Soda take away 10

*9.* Castle lite 4

*10.* Petrol lita 5

*11* nauli ya safari 13 za Mwendo kasi

*12.* Chocolote ivory
dogo 20

*13*. Mayai tray moja kizungu

*14*. Nauli na kiingilio cha mechi ya simba na yanga

*Endelea kuhonga hatutakusaidia kwa lolote ila utaambulia Ushauri tu....*

Sent using Jamii Forums mobile app
umeitoa wasap hii

ona hayo ma *
 
duuh nilikua na laki hapa mfukoni kesho nawaza niimalizie yote kwa mtu tu, naangalia hiyo list hapo juu naona kabisa ningekua nimeongeza ziro moja kwenye kila kitu hapo na nimeingiwa na uoga kusema kweli imebidi niitume tu hiyo pesa benki ikapigwe a/c za vault kwanza wakati natafakari nina akili fupi kias gani kumpa mtu baki kilo 40 za mchele kwa siku moja tuu,,, tena mchele supa kabisa!! hiyo hasara nitaifidia vipi kwamfano?!
 
duuh nilikua na laki hapa mfukoni kesho nawaza niimalizie yote kwa mtu tu, naangalia hiyo list hapo juu naona kabisa ningekua nimeongeza ziro moja kwenye kila kitu hapo na nimeingiwa na uoga kusema kweli imebidi niitume tu hiyo pesa benki ikapigwe a/c za vault kwanza wakati natafakari nina akili fupi kias gani kumpa mtu baki kilo 40 za mchele kwa siku moja tuu,,, tena mchele supa kabisa!! hiyo hasara nitaifidia vipi kwamfano?!
Hahahaha 😛 😛

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakukumbusha tu kuwa ukihonga elfu kumi kumbuka yafuatayo:-

*1.* Ni bei ya sato kilo moja

*2.* Kuku wa nyama mmoja

*3.*kilo 2 za nyama ya ng'ombe

*4.*Sukari kilo 3

*5*. Donna kilo 4

*6.* Mchele kilo 4 super kabisa

*7.* Maziwa ya ng'ombe lita 4

*8.* Soda take away 10

*9.* Castle lite 4

*10.* Petrol lita 5

*11* nauli ya safari 13 za Mwendo kasi

*12.* Chocolote ivory
dogo 20

*13*. Mayai tray moja kizungu

*14*. Nauli na kiingilio cha mechi ya simba na yanga

*Endelea kuhonga hatutakusaidia kwa lolote ila utaambulia Ushauri tu....*

Sent using Jamii Forums mobile app

ha ha ha ,duh, naacha kuhonga, ila mara nyingi nahonga elf 5, embu chakachua iyo
 
Back
Top Bottom