Nakukumbusha tu mwanaume mwenzangu

Nakukumbusha tu mwanaume mwenzangu

Mf
Nakukumbusha tu kuwa ukihonga elfu kumi kumbuka yafuatayo:-

*1.* Ni bei ya sato kilo moja

*2.* Kuku wa nyama mmoja

*3.*kilo 2 za nyama ya ng'ombe

*4.*Sukari kilo 3

*5*. Donna kilo 4

*6.* Mchele kilo 4 super kabisa

*7.* Maziwa ya ng'ombe lita 4

*8.* Soda take away 10

*9.* Castle lite 4

*10.* Petrol lita 5

*11* nauli ya safari 13 za Mwendo kasi

*12.* Chocolote ivory
dogo 20

*13*. Mayai tray moja kizungu

*14*. Nauli na kiingilio cha mechi ya simba na yanga

*Endelea kuhonga hatutakusaidia kwa lolote ila utaambulia Ushauri tu....*

Sent using Jamii Forums mobile app
*Huku kwetu unapata mfuko 1 wa sement hapo kwa Sungusia
 
Papuchi za bure utazipa wapi jombaa
Unanunua tuu ya buku mbili mbona
Sasa hiyi 10000 mwingine amekuomba vocha tuu!! Usawa huu

Saa hizi papuchi zimeshuka bei mpaka wale wa maofisini mnaongea anaomba hata kuanfikiwa night moja tuu papuchi unakula
 
Unanunua tuu ya buku mbili mbona
Sasa hiyi 10000 mwingine amekuomba vocha tuu!! Usawa huu

Saa hizi papuchi zimeshuka bei mpaka wale wa maofisini mnaongea anaomba hata kuanfikiwa night moja tuu papuchi unakula
Papuchi ya 2000 sio tamu
 
Nakukumbusha tu kuwa ukihonga elfu kumi kumbuka yafuatayo:-

*1.* Ni bei ya sato kilo moja

*2.* Kuku wa nyama mmoja

*3.*kilo 2 za nyama ya ng'ombe

*4.*Sukari kilo 3

*5*. Donna kilo 4

*6.* Mchele kilo 4 super kabisa

*7.* Maziwa ya ng'ombe lita 4

*8.* Soda take away 10

*9.* Castle lite 4

*10.* Petrol lita 5

*11* nauli ya safari 13 za Mwendo kasi

*12.* Chocolote ivory
dogo 20

*13*. Mayai tray moja kizungu

*14*. Nauli na kiingilio cha mechi ya simba na yanga

*Endelea kuhonga hatutakusaidia kwa lolote ila utaambulia Ushauri tu....*

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukitaka kuto.mba jito.mbe mwenyewe
 
Back
Top Bottom