Nicodemas Tambo Mwikozi
JF-Expert Member
- Aug 13, 2016
- 663
- 1,047
Ni ndogo ila inafanya vitu vingi
Na kwa nini uache kuhonga badala yake ukafanye hayo mambo?hakuna ambacho ni mbadala wa kingine,ntanunua sato,ntakunywa hizo balimi,ntapanda mwendokasi,na ntahonga vilevile!kwani vipi?Kwanini pesa ya kufanyia hayo mambo unaenda kuhongea?
mipango sio matumiziKwanini pesa ya kufanyia hayo mambo unaenda kuhongea?
Hèeee heeeWatu mkifulia mnakuwa na akili hizo
tofali 12 za block1. Ni bei ya sato kilo moja
2. Kuku wa nyama mmoja
3.kilo 2 za nyama ya ng'ombe
4.Sukari kilo 3
5. Donna kilo 4
6. Mchele kilo 4 super kabisa
7. Maziwa ya ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Castle lite 4
10. Petrol lita 5
11. Nauli ya safari 13 za mwendo kasi
12. Chocolote ivory dogo 20
13. Mayai tray moja kizungu
14. Nauli na kiingilio cha mechi ya Simba na Yanga
15.nusu kilo ya mbuzi na balimi 2
16.balimi 6 na sigara 2
17.kitimoto nusu
18.michemsho ya kuku *2*
Unaweza ongezea [emoji3][emoji3][emoji3]
Haaa haaa umeuatofali 12 za block
Mkuu kilo moja ni 2500sukari kilo 3 kwa 10000 wapi huko nije kununua??