Nakukumbusha tu: Ukihonga elfu kumi kumbuka yafuatayo

Lakini papuchi ni tamu zaidi...hasa kabla hujaoa
 
Haya ni mawazo ya kimasikini sana
Nini kuhonga wakati mwingine uwe unatoa tu bure kwa wenye uhitaji bila ya kutegemea return yoyote ile
 
Asante Magufuli, cc warembo jf, mje mjionee wanaume wanaanza kujiongeza[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]. Kazi kwenu
 
Castle lite ni 6 mkuu na buku linabaki jaribu kuedit
 
Dona kilo NNE tuu?
Au dona gani mkuu? Kama ni Mimi ninayoijua unapata debe kabisa na chenchi
 
Ha ha nikikumbuka nnavyohonga kwa sasa kila wiki natakiwa kufungua duka kama ndio hivi
 

hizo safari 13 za mwendokasi uongo.hata bei ya jumla bado
 
We umekopi ya siku nyingi au... Unga kilo buku saa hii so ni kilo 10 sio 4 Mzee unaishi mars au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…