Millard Ayo
Aa
Top Stories
Entertainment
Sports
Magazeti
Millard Ayo > Blog > Top Stories >
Salim Kikeke mshauri Mamlaka ya kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA)
TOP STORIES
Salim Kikeke mshauri Mamlaka ya kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA)
October 12, 2023
Share
1 Min Read
Mtangazaji Mkongwe wa zamani wa BBC, Salim Kikeke amefikia makubaliano ya kufanya kazi na Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA).
Kikeke sasa atafanya kazi kama Mshauri wa Masuala ya Habari na Uhusiano wa ZIPA.
Kikeke amesema “Nimerejea Tanzania ili kusaidia Taifa langu kwa hali na mali, hii ni fursa ya kipekee kupata nafasi ya kuhusishwa kwenye sera ya Uchumi wa bluu ya Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dr Hussein Mwinyi”
Kama utakuwa unakumbuka vizuri Salim Kikeke aliondoka BBC kwa hiari yake April 2023 na kuamua kurejea Tanzania baada ya kuitumikia BBC kwa miaka 20, alianza Mei 2003 na kuondoka April 2023.
Salim Kikeke sasa atafanya kazi kwa ukaribu na CEO wa ZIPA Shariff Shariff katika kuitangaza Zanzibar Kitaifa na Kimataifa.
Acha ujinga sibahatishi kuhusu hili Zuhura Yunus na Salim Kikeke walishahojiwa sana na wakaongea ushuzi mtupu, my friend don't joke nenda YouTube records zipo. Hao hawafai kuwa sehemu ya Serikali ya taifa hili tena chini ya utawaywa CCM
Millard Ayo
Aa
Top Stories
Entertainment
Sports
Magazeti
Millard Ayo > Blog > Top Stories >
Salim Kikeke mshauri Mamlaka ya kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA)
TOP STORIES
Salim Kikeke mshauri Mamlaka ya kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA)
October 12, 2023
Share
1 Min Read
Mtangazaji Mkongwe wa zamani wa BBC, Salim Kikeke amefikia makubaliano ya kufanya kazi na Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA).
Kikeke sasa atafanya kazi kama Mshauri wa Masuala ya Habari na Uhusiano wa ZIPA.
Kikeke amesema “Nimerejea Tanzania ili kusaidia Taifa langu kwa hali na mali, hii ni fursa ya kipekee kupata nafasi ya kuhusishwa kwenye sera ya Uchumi wa bluu ya Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dr Hussein Mwinyi”
Kama utakuwa unakumbuka vizuri Salim Kikeke aliondoka BBC kwa hiari yake April 2023 na kuamua kurejea Tanzania baada ya kuitumikia BBC kwa miaka 20, alianza Mei 2003 na kuondoka April 2023.
Salim Kikeke sasa atafanya kazi kwa ukaribu na CEO wa ZIPA Shariff Shariff katika kuitangaza Zanzibar Kitaifa na Kimataifa.