Nakula ila Sipati choo msaada jamani

Nakula ila Sipati choo msaada jamani

Haupo serious , unaleta maigizo
Inaitwa rectal examination kama Bado unaona naleta masihara Kaa hivyo hivyo Mimi Huwa nikieleza mambo serious watu wanaona kama natania ila maumivu nayapata mwenyewe wakiona naumia ndyo wanaamini.
 
Kama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana. Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.

Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi. Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi. Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.

Nakula kidogo nashiba haraka Sana. Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.

Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.

##Soso Take my pain###
Nenda hospitali wakupe ducolax kwanza,ukishapata choo uanze kufuatilia chanzo cha tatizo.Hivyo vyakula vingine vyote wanavyokwambia utumie kama hujapata choo haviwezi kusaidia kwakuwa choo kigumu kinakuwa kimekauka sana na kuziba kwenye rectum,vitakusaidia tu kama ukishapata choo ndio uwe unatumia mara kwa mara kama sehemu ya diet yako ya kila siku.Msaada hapo ni hizo dawa zina uwezo wa kupenya mpaka chini kabisa kulainisha hicho choo,ikishindikana hiyo,itabidi upigwe bomba kupitia haja kubwa,hiyo ni sindano inakuwa imewekwa dawa ya kulainisha choo,hiyo huchukua kama dakika tano tu kabla mzigo haujaanza kutoka,pole sana...
 
😂😂😂 nimecheka kama mazur vileee,huyo mgonjwa alikuwa jinsia gan na dokta jinsia gan?
hiyo ni tiba mkuu asiogope...
Nimewahi fanya kazi hospital moja wakati nimemaliza tu chuo, nikijishkiza hapo japo si taaluma yangu...

Aliletwa mgonjwa hajanya 2months kwa mujibu wake na hawezi kutembea miguu imegoma kabisa hana nguvu na anasukumwa na while chair...

Daktari wa zamu kumcheki akahitimisha kwa kumfokonyoa kinyesi kwa vidole. Harufu ilikua ni kali mno haijapata kutokea...

Mwishowe mgonjwa yule alitoka jasho sana na aliondoka hospitali kwa furaha sana akitembea kwa miguu yake mwenyewe na baada kama ya wiki hivi alirudu sio kwaajili ya matibabu tena bali alimletea yule Dr . asanti ya sh laki2, coz mgonjwa anadai alizunguka mno kutafuta tiba na kupoteza pesa mingi bila mafanikio...

Usione haya unapotafuta suluhu ya afya yako...
 
jiinike na bomba utakuwa powa,maana enzi zile madogo au watu wazima wakikosa choo walikuwa wanainikwa.kunywa supu ya mlenda au chukua bamia changanya na majani ya maboga iwechukuchuku,kula papai laini kwa wingi,kunywa maji kwa wingi .tatizo lako litaisha.
 
😂😂😂 nimecheka kama mazur vileee,huyo mgonjwa alikuwa jinsia gan na dokta jinsia gan?
katika kuelezea mambo ni kuzingatia maadili na staha. itoshe tu kusema, mgonjwa alikua mtu mzima akihangaika kutafuta suluhu ya tiba ya kilichomsumbua kwa muda
 
Kama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana. Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.

Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi. Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi. Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.

Nakula kidogo nashiba haraka Sana. Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.

Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.

##Soso Take my pain###

Fika hospitali. Ni MUHIMU

Suala la kwanza ni kujua kiasi cha tatizo.

1: Lina muda gani/mara ya mwisho kupata choo pia, umri.

2: Ni suala la kujirudia vs mtindo wa maisha.

3: Dalili nyingine kama tumbo kujaa na kutapika.

4: Ukaguzi wa mwili na njia ya haja ili kujua kama choo kinafika chini au kuna kinachozuia choo kuja nje/chini. Suala la msingi sana.

4: Kwenda kwenye vipimo kulinganana alichokipata daktari.

5: Kupata tiba mahsusi.

6: Kupata tiba mwambata ili kuepusha tatizo kujirudia.
 
Kama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana. Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.

Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi. Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi. Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.

Nakula kidogo nashiba haraka Sana. Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.

Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.

##Soso Take my pain###
Nasoma replies naona baadhi wanaandika utani ila kwa dalili ulizo zisema apo , sikutishi ila ingia google search madhara ya kutopata choo uone. Chakufanya ni nini kama walivyo kushauri baadhi kula matunda yalio iva kama papai nk , lakin muhimu nenda hospitali , we kama hospitali ulo enda wanakuzingua nenda nyingine mkuu.

NENDA HOSPITALINI
 
Tiba ya haraka na nafuu
Nenda kwenye maduka ya dawa za kiislam
Omba mbegu za mkuyati nunua mbegu 4 zinauzwa 200 ama 300 ukifika home hakikisha siku hiyo hauna shughuli yoyote maana shughuli yake sio ya kitoto. Na siku hiyo usiwe na ratiba yoyote ya kutoka nyumbani. Pondaponda mbegu 2 zimeze na maji ya uvuguvugu.
Meza alfajiri ama usiku wa manane mida ya saa9 ili asubuhi kukicha shughuli ianze.
Kama chumba chako niself baki chumbani , chemsha maji vuguvugu lita 5 baki nayo jirani ndo shughuli yake ni masaa8 utaharisha vitu vya hatari utaona hadi mkaa maana inatoa uchafu wote tumboni hata wa miaka 2 ambao huwa unakuwa mweusi.
Option B kanunue unga wa mlonge chemsha kidogo kwwnye maji kunywa glasi3 kwa siku utaharisha sana pia
Hii ni hatari Sana asijaribu
 
nenda famas nunua 𝐂𝐚𝐬𝐭𝐨𝐫 𝐎𝐢𝐥 ni mafuta ya kuondoa uchafu tumboni.

ila utakunywa vijiko 2 tu na usikae mbali na choo
 
Mkuu kula mboga za majani
KulA matunda
Acha kula wali
KulA ugali Dona
KulA nduzi na matunda
KulA kidogo wanga,+ (ugali,wali,chapati).
Tafuta mgagani.
Acha kula wali
Acha kula wali
KulA nduzi za kupika
 
Back
Top Bottom