Am For Real
JF-Expert Member
- Nov 21, 2023
- 323
- 770
- Thread starter
-
- #101
Inaitwa rectal examination kama Bado unaona naleta masihara Kaa hivyo hivyo Mimi Huwa nikieleza mambo serious watu wanaona kama natania ila maumivu nayapata mwenyewe wakiona naumia ndyo wanaamini.Haupo serious , unaleta maigizo
Nenda hospitali wakupe ducolax kwanza,ukishapata choo uanze kufuatilia chanzo cha tatizo.Hivyo vyakula vingine vyote wanavyokwambia utumie kama hujapata choo haviwezi kusaidia kwakuwa choo kigumu kinakuwa kimekauka sana na kuziba kwenye rectum,vitakusaidia tu kama ukishapata choo ndio uwe unatumia mara kwa mara kama sehemu ya diet yako ya kila siku.Msaada hapo ni hizo dawa zina uwezo wa kupenya mpaka chini kabisa kulainisha hicho choo,ikishindikana hiyo,itabidi upigwe bomba kupitia haja kubwa,hiyo ni sindano inakuwa imewekwa dawa ya kulainisha choo,hiyo huchukua kama dakika tano tu kabla mzigo haujaanza kutoka,pole sana...Kama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana. Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.
Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi. Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi. Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.
Nakula kidogo nashiba haraka Sana. Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.
Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.
##Soso Take my pain###
hiyo ni tiba mkuu asiogope...
Nimewahi fanya kazi hospital moja wakati nimemaliza tu chuo, nikijishkiza hapo japo si taaluma yangu...
Aliletwa mgonjwa hajanya 2months kwa mujibu wake na hawezi kutembea miguu imegoma kabisa hana nguvu na anasukumwa na while chair...
Daktari wa zamu kumcheki akahitimisha kwa kumfokonyoa kinyesi kwa vidole. Harufu ilikua ni kali mno haijapata kutokea...
Mwishowe mgonjwa yule alitoka jasho sana na aliondoka hospitali kwa furaha sana akitembea kwa miguu yake mwenyewe na baada kama ya wiki hivi alirudu sio kwaajili ya matibabu tena bali alimletea yule Dr . asanti ya sh laki2, coz mgonjwa anadai alizunguka mno kutafuta tiba na kupoteza pesa mingi bila mafanikio...
Usione haya unapotafuta suluhu ya afya yako...
Kwahio unamuogopa mwanamke?mm nilijua dume lenzio labda ukahisi fedhea kumbe mwanamke aaaah ww Rudi tu akupe tiba,ukizembea utakiona Cha mto haja kubwa siyo mchezo tumbonNi kweli mkuu Tena nilikataa nikamwambia ntarudi na alikuwa mwanamke sasa.
ππππππ MakubwaaaaMkuu umekosa golden chance hyo,,
Hairudi tena.
Ingekuwa mimi ningemvulia nguo zote aone jinsi nilivyoumbika kwa mbele.
DuhUkishindwa vyote, nunua ukwaju chemsha kisha kunywa juice yake, siku ya pili utapata matokeo.
katika kuelezea mambo ni kuzingatia maadili na staha. itoshe tu kusema, mgonjwa alikua mtu mzima akihangaika kutafuta suluhu ya tiba ya kilichomsumbua kwa mudaπππ nimecheka kama mazur vileee,huyo mgonjwa alikuwa jinsia gan na dokta jinsia gan?
Kama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana. Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.
Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi. Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi. Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.
Nakula kidogo nashiba haraka Sana. Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.
Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.
##Soso Take my pain###
Mkuu Rectum examinationWewe ni muongo. Na kama hiki unachokisema hapa ni kweli, niambie ulienda hospitali gani ambayo Daktari alitaka kukuingiza kidole ili akupime.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Hospitali nimeenda doctor akadai aniingize kidole nipime nikakataa
Nasoma replies naona baadhi wanaandika utani ila kwa dalili ulizo zisema apo , sikutishi ila ingia google search madhara ya kutopata choo uone. Chakufanya ni nini kama walivyo kushauri baadhi kula matunda yalio iva kama papai nk , lakin muhimu nenda hospitali , we kama hospitali ulo enda wanakuzingua nenda nyingine mkuu.Kama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana. Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.
Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi. Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi. Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.
Nakula kidogo nashiba haraka Sana. Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.
Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.
##Soso Take my pain###
[emoji23][emoji23][emoji849][emoji849][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] Makubwaaaa
Hii ni hatari Sana asijaribuTiba ya haraka na nafuu
Nenda kwenye maduka ya dawa za kiislam
Omba mbegu za mkuyati nunua mbegu 4 zinauzwa 200 ama 300 ukifika home hakikisha siku hiyo hauna shughuli yoyote maana shughuli yake sio ya kitoto. Na siku hiyo usiwe na ratiba yoyote ya kutoka nyumbani. Pondaponda mbegu 2 zimeze na maji ya uvuguvugu.
Meza alfajiri ama usiku wa manane mida ya saa9 ili asubuhi kukicha shughuli ianze.
Kama chumba chako niself baki chumbani , chemsha maji vuguvugu lita 5 baki nayo jirani ndo shughuli yake ni masaa8 utaharisha vitu vya hatari utaona hadi mkaa maana inatoa uchafu wote tumboni hata wa miaka 2 ambao huwa unakuwa mweusi.
Option B kanunue unga wa mlonge chemsha kidogo kwwnye maji kunywa glasi3 kwa siku utaharisha sana pia