Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadau Nina 102kgs
nimeamua kuanza kula mlo mmoja wa mchana tu huku jioni nikipitisha na maji tu.Breakfast nayo ni Mara moja moja.Lengo langu ni kufika 85kgs.
Je nini hasara ya njia hii ya kupunguza mwili?
Faida pia napenda kuzijua.
Wadau,
Nina 102kgs, nimeamua kuanza kula mlo mmoja wa mchana tu, huku jioni nikipitisha na maji tu. Breakfast nayo ni Mara moja moja. Lengo langu ni kufika 85kgs.
Je, nini hasara ya njia hii ya kupunguza mwili? Faida pia napenda kuzijua.