bartaizo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 236
- 91
*Mwalimu kaniulizaa kama mtoto mdogo anaitwa mchanga... Je mtu mkubwa anaitwaje? ... Nikamjibu anaitwa kokoto..... Ameniitaa staff room labda atakuwa ameniitia chai*
*Huyu mwalimu ana roho nzuri sio kama mwl Msigwa*[emoji16][emoji16][emoji16]
2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
*Huyu mwalimu ana roho nzuri sio kama mwl Msigwa*[emoji16][emoji16][emoji16]
2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.