WAKUU, MIMI SIONI TATIZO KWA HAWA WAKENYA KUJA KUWEKEZA TANZANIA, TUJIULIZE
1. Kuna kampuni ya Tanzania imejaribu kwenda kuwekeza kenya ikazuiwa?
2. Watanzania Tutaendelea kuwafanyia kazi hao wakenya kwa sababu ya upumbavu wetu wenyewe, NITATOA MFANO WA KWENYE MAHOTELI, KUNA KAMPUNI MOJA INAYO MILIKI HOTELI KADHAA HUSUSANI KWENYE HIFADHI ZA SERENGETI, NA NGORONGORO,
1. Mwanzoni wafanya kazi karibia wote walikuwa Watanzania, kukaibuka vitu vifuatavyo
- WIZI WA VITU VYA HOTELI KAMA VILE GLAS, VIJIKO, MASHUKA, VIKOMBE NA KAZALIKA
- Kampuni ilikuwa inabidi kila mwezi wanunue vitu vya kureplace vilivyo potea katika mazingira ya kutatanisha,
- Kampuni baada ya kufanya uchunguzi na kuweka mitego walibaini kuna chein ya wizi ya kufa mtu, kuanzia kwa wafanya usafi, walinzi, wahudumu kwenye vyumba vya kulaa wageni, Baa na Hoelini
- Walijenga Chaini Huyu wa Baa akivusha glass basi na wewe wa kwenye room jitahidi uvushe mashuka na taulo il baadae wafany buter trade.
HAPA MNATEGEMEA NINI? KWA NINI WASIAJIRI WATU WA NJE?
- WATANZANIA TUTABAKI KULALAMA SANA MPAKA MWISHO WA DUNI
- NAKUMBUKA RAIS MSTAAFU MKAPA ALIWAHI KUSEMA" WATANZANIA BILA YA KUUNGANISHA MITAJI HATUTAWEZA KUSHINDANA NA MAKAMPUNI MAKUBWA YA NJE"
COME TO THE POINT, ALIKUWA ANAMAANISHA HAYA YAFUATAYO
1. Kila mtanzania anataka awe na FUSO lake mwenyewe la kubebea mizigo ya watu,
- Je utaweza kushindana na makampuni makubwa ya usafirishaji yatakayo kuja kuwekeza Tanzania?
2. Kila mtanzania anataka awe na Basi lake, awe Haice zake mwenyewe, awe na Tex zake mwenyewe, Awe na mashine ya kusaga nafaka
- Je yakaja makampunu makubwa na kuivest kwenye mabasi ya kubeba abilia ni nani ataweza kufurukuta?
3 Kila mtanzania anataka kuwa na Duka lake mtaani na kwingineko, kila mmoja
4. Kila mtanzania anawaza kuanzisha Min supermarket
- Hizi min Supermarket tunazo jivunia zitaweza kusimama kwa haya makampuni yenye mitaji ya kufa mtu?
- Tutaweza kushindana na Shoprite?
- Je tutawaweza NAKUMATT
- Tutawaweza UCHUMU SUPERMARKET?
- Watanzania Tutabali kulia, C jajua hapa Serikali ifanye nini, kwani hao wakenya wamepewa fedha na serilkali yao waje kufungua biashara Tanzania?
- Cheki kwenye mabenk, Je serikali inahusika vipi? Kenya comercial Benk walipewa fedha na Serikali yao waje kuwekeza Tanzania?
WATANZANIA KILA MTU AKITAKA AMILIKI, FUSO LAKE, MASHINE YA KUSAGA YA KWAKE, MIN SUPERMAKET YAKE, BASI LAKE NA KAZALIKA TUTAKUJA KULIA KILIO KILICHO KIKUU.
WATU WENGINE WANAAMUA KUUNGANISHA MITAJI YAO NA KUJA NA KAMPUNI MOJA YENYE NGUVU SISI HUKU NI KILA MTU ANATAKA AONEKANE ANAZO PESA HAIJARISHI ANAMILIKI NINI.
-YATAKUJA MAKAMPUNI MENGI SANA KUTOKA NJE WEEZA KWENYE USAFIRI WA MABASI TENA YA LUXURY NA BEI NAFUU SISI TUTABAKI KULAUMU SERIKALI
WATAKUJA WATAWEKEZA KWENYE UBEBAJI WA MIZIGO KWA UFANISI NA KWA BEI YA CHINI, SISI NA USANII WETU TUTABAKIA NA FUSO ZETU TUNAZO MILIKI KILA MTU
WATAFUNGUA SUPERMARKET KUBWA SANA, SISI TUTABAKIA NA MIN ZETU TUTAJIKUTA TUNAGEUKA KUWA WANUNUZI KWENY CAMPUNI ZETU WENYEWE
TUSIPO BADILIKA NA KUUNGANISHA MITAJI YETU HAKIKA TUTAKUJA KUJUTA, TUTAJIKUTA TUNA KUWA THE CONSUMER OF HIS/HER OWN GOODS AND SERVICES