NAKUMATT yayumba kiuchumi nchini Kenya na Uganda wadai wanaitaji msaada waki fedha.

Wewe huwa unaangalia JKL live on citizen. Hiyo habari wameongelea jana on Citizen TV. Kumbe toka 2016wanasumbuka nahi kitu. Pole kwa Nakumatt. Hiyo news ilikuwa kwa citizen tv jana.
Changa moto ni kawaida katika biashara yoyote, na hizo changamoto wanazopitia hsimanishi ya kwamba wanaelekea kufilisika.
Hii sio mara yao ya kwanza kupitia hiya.

Uchumi kwa sasa Kenya unakua polelole, kwasabababu ya wasiwasi juu ya uchaguzi ujao na ukame. Na ni biashara nyingi zinaxopitia changamoto hili.

Lakini mambo yatakuwa sawa tu baada ya haya.
 
Yaani hawa jamaa wakisharudisha za uwekezaji tu, yananza masarakasi, mara hakuna stock, mara wanapunguza staff, mara sijuwi nini, haya majina yako tofauti, ila wote wanacheza na kodi tu, yaogope mno, SHOPRITE, NAKUMATT, UCHUMI...Usishangae yatakuja mengine na kurithi majengo hayo hayo, staff wale wale, biashara hiyo hiyo, business plan na uendeshaji huo huo, smartasses...
 
habari za kipumbavu..when are you gonna grow uup? seraching for bad news to report...kaandikwe BBC ama CNN...hao ndio huwa wanakuja afrika kutafta habari mbaya mbyaa waende wakafurahishe wazungu wao...
 
Tatizo mleta mada nilikuambia unaleta mada kimahaba mahaba hadi hutulii uandae hoja zako kwanza, mapicha umeyaburuza humu hata huangalii tarehe, ni kama umepagawa kiaina. Hata kichwa cha uzi umeandika kishabiki hadi maneno yakapitiliza. Tutakuelewa maana itakua wewe mgeni kwenye matumizi ya mitandao ya kijamii, hivyo itabidi tukuache upayuke payuke kama wenzako walivyoanza halafu baadaye wakatulia.
 
So you want us to be writing good news only?? Habari ya usikuhu wamedai kuwa kuna retail theft kubwa nchini Kenya. It seems your part of that gang.
Tuma link uwache screenshot ya simu cheap
Sawa mzee wa iphone 7. Hizi je nazo za tarehe ngapi?? Utanyooka tu.View attachment 529033View attachment 529034
habari za kipumbavu..when are you gonna grow uup? seraching for bad news to report...kaandikwe BBC ama CNN...hao ndio huwa wanakuja afrika kutafta habari mbaya mbyaa waende wakafurahishe wazungu wao...
 
Lakini at the end ujumbe umefika. Na habari za usiku hu kutoka citizen TV kwa general manager wa Nakumatt kadai kwa upande wakenya kuna retail theft kubwa kuanzia wanunuzi na wafanyakazi. Punguzeni udokozi. Wameweka hadi CCTV footage za wizi. Mtuanaingia nagari kwenye store za nakumatt nakujaza canter nzima. Balaaa.
 
Mbona kama jamaa amepost vya uongo jamani, hebu oneni ni report ya mwaka jana , huyu anatuletea leo,
 
Biashara zote zinasumbua msimu huu
Sijui tutaishije
 
Cite your sources. Whenever you are sharing an idea that originated from someone else (even if it is not word for word), it is good practice to cite that source. If you read a great thought in your text, share it, but be sure you let your audience know where you saw it first.

Good. I hope it helps.
 
Wanarudi Kenya kwa machungu as a result wanamkatalia Bakhresa kuingiza ngano yake Kenya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…