Hivi wee hunioni haya kila mtu anakukosoa wee! Vitoto vya hivi ndyo vile vilivyopata kila kitu kwa kulala chali
Unataka tumjibu nini kama ukweli hautaki?Kwa challenge mmeshindwa kumjibu mnatukana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dah haya mambo yalikuwa mazito, sasa usiombe kukutana na swali la umri, yaani ukisolve vibaya unaweza jikuta mjukuu ana miaka mingi kuliko bibi!
inakuwa hivyo kwa sababu hesabu ni janga la kitaifa, zaidi 80% ya kidato cha nne wanapata F, so hawa wanaokosoa ndio kati yao, hesabu hawaijui hadi wanashindwa kutofautisha hesabu za sekondari na msingiHivi wee hunioni haya kila mtu anakukosoa wee! Vitoto vya hivi ndyo vile vilivyopata kila kitu kwa kulala chali
KinematicsSekondari topic gani?
ni topic ya form 3 ya kinematicsNaomba niingilie huu ubishi mkuu chinchilla coat na wadau wengine, hili ni swali la topic gani kwa anayesema ni la darasa la saba, na kwa anayesema ni la form 3.
wewe ndio huna unachofanya labda kucheza kamari, ndio ajira yenu siku hizi nyie failuresMkuu unapoteza muda wako hana amachokijua zaid ya kuuza nanihii
OK nisolvie niamini kama wewe mdau Wa mathematics.Kinematics
wewe unajua hesabu? kama unajua hesabu na umepitia sekondari nipe jibu la hilo swali, maana mtu aliyemaliza form 4 hashindwi swali la darasa la sabaWewe ndiyo kilaza unakataaje hilo swali si la shule ya msingi wakati kipindi chetu tulifanya tukiwa primary! Nyingi ndiyo mnayoidhalilisha elimu mnajifanya wajuaji kumbe hopeless kabsa
Haaaaa unajitetea tu haya jibu elimu ya msingi ulimaliza lini?sina haja ya kuweka matokeo, ila jibu la hilo swali ni saa 5 asubuhi, na kama unajua hesabu na wewe hebu nipe njia ya kufikia hilo jibu, maana siwezi ku argue a watu tunaotofautiana sana uelewa ni kupoteza muda
hiyo haijalishi hata kama nimemaliza mwaka juzi maswali ya necta ya 80s nitayajua kama nilikuwa nafuatilia hesabu, yapo vitabu vya review vya nectaHaaaaa unajitetea tu haya jibu elimu ya msingi ulimaliza lini?
ni topic ya form 3 ya kinematics
Haaaaa unajitetea tu haya jibu elimu ya msingi ulimaliza lini?
Naona chinchilla we ni mkali wa hesabu,yaan inaonekana ukiona tu swali bas unafaham ni lamwaka gan,gud.hiyo haijalishi hata kama nimemaliza mwaka juzi maswali ya necta ya 80s nitayajua kama nilikuwa nafuatilia hesabu, yapo vitabu vya review vya necta
Unataka tumjibu nini kama ukweli hautaki?
ni hesabu, physics masuala ya mwendo yalikuwa ni form 2, sio form3.. kwenye Newton's laws of motionHiyo ni physics au ni hesabu kwa form 3?
nafahamu ni la level gani sio mwaka, hesabu nilikuwa siipendi, nili battle nayo sana nikaja kuipenda sana, hadi sometimes nai miss natamani niache kazi yangu nikawe mwalimu,Naona chinchilla we ni mkali wa hesabu,yaan inaonekana ukiona tu swali bas unafaham ni lamwaka gan,gud.
Kwa mbali naona unauelewa na masuala haya sio mbaya uko vizuri lakini navokumbuka kama past papers za zamani nimewahi yaona though sina evidence uko vizuri dear sisterni hesabu, physics masuala ya mwendo yalikuwa ni form 2, sio form3.. kwenye Newton's laws of motion
ni hesabu, physics masuala ya mwendo yalikuwa ni form 2, sio form3.. kwenye Newton's laws of motion
Maswali hayo darasa la saba yapo kilomita kwa saa acha ubishinimemuelewa ila hilo swali la fumbo sio la darasa la saba, ni la sekondari, nasema hivyo sababu najua solution yake na sio ya la saba
I'm not seeking forgiveness