chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
ulikua ukiyaona tough ukiwa shule ya msingi, ila ukivuka level ya msingi ukiyarudi maswali yake ni ya kawada sana kama sekondari unafanya vizuri kwenye hesabuKwa mbali naona unauelewa na masuala haya sio mbaya uko vizuri lakini navokumbuka kama past papers za zamani nimewahi yaona though sina evidence uko vizuri dear sister
Nazungumzia complexity yake, ya shule ya msingi yapo plain sana, sio kama la mtoa madaMaswali hayo darasa la saba yapo kilomita kwa saa acha ubishi
[emoji38] [emoji38] [emoji38]Dah haya mambo yalikuwa mazito, sasa usiombe kukutana na swali la umri, yaani ukisolve vibaya unaweza jikuta mjukuu ana miaka mingi kuliko bibi!
Sina uhakika.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
halafu wewe una undugu na emmanuel fungo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi wee hunioni haya kila mtu anakukosoa wee! Vitoto vya hivi ndyo vile vilivyopata kila kitu kwa kulala chali
Ndo mana binafsi nipo neutral kuhusu hili ila it seems upo vizuri mathematics hesabu nazipenda sana nilipokuwa olevel ili nimeamini nimefaulu Masomo mengine lazima hesabu nibutue hadi leo nataka nijitolee kufunsisha bila malipo few topics kwa olevel na advance.ulikua ukiyaona tough ukiwa shule ya msingi, ila ukivuka level ya msingi ukiyarudi maswali yake ni ya kawada sana kama sekondari unafanya vizuri kwenye hesabu
hahahahah mbavu zangu bhana hihihihihiDah haya mambo yalikuwa mazito, sasa usiombe kukutana na swali la umri, yaani ukisolve vibaya unaweza jikuta mjukuu ana miaka mingi kuliko bibi!
Halafu ukirudi nyuma kidogo wakati wazazi wanasoma utaskia kila mtu alikuwa anakuwa wa kwanza, hata kama walikuwa darasa moja, yaani full cleansheet! Waongee ukweli hakuna anaependa kushindwa hesabu, inatokea tu!hahahahah mbavu zangu bhana hihihihihi
Na ndiyo maana walimu wengi (enzi hizo) walisistiza mwanafunzi kufanya kwa ufasaha maswali 30 ya mwanzo. Sijui kama mambo hayo bado yapoUmekosea kdogo. Mtiti ulikua unaanzia swali la 31. Babu unatamani waseme ishieni hapohapo ulipofikia
hahaha na ukimpa swali AH MDA SANA NISHASAHAU HESABU LABDA UKAMJARIBU MAMA/BABA YAKOHalafu ukirudi nyuma kidogo wakati wazazi wanasoma utaskia kila mtu alikuwa anakuwa wa kwanza, hata kama walikuwa darasa moja, yaani full cleansheet! Waongee ukweli hakuna anaependa kushindwa hesabu, inatokea tu!
Ha ha ha very true ase, yaan ujanja ujanja kama joti na Tangazo lake la tghahaha na ukimpa swali AH MDA SANA NISHASAHAU HESABU LABDA UKAMJARIBU MAMA/BABA YAKO
watoto wa juzi mnasumbua sana mtt aliyemaliza 2014 akapata hesabu 45:50 ukimpa mtihani wa 2005 akipata sita amshukuru MunguDarasa la saba kulikuwa hakuna maswali magumu kama hayo, huo ni ukilaza wako unashindwa kutofautisha hata maswali ya la saba na sekondari
wewe unaejua hesabu nipe njia na jibu la hilo swali la shule ya msingi, kama huwezi hata swali la shule ya msingi, hufai hata kubishana na mimi chochote kuhusu hesabu, funga domowatoto wa juzi mnasumbua sana mtt aliyemaliza 2014 akapata hesabu 45:50 ukimpa mtihani wa 2005 akipata sita amshukuru Mungu
Mm baba yangu alikuwa mkweli kabixa aliniambia alikuwa wa kwanza na niliona mitihani yake alikuwa akifeli sana amepata 60 mzee wangu alikuwa kichwa aswaHalafu ukirudi nyuma kidogo wakati wazazi wanasoma utaskia kila mtu alikuwa anakuwa wa kwanza, hata kama walikuwa darasa moja, yaani full cleansheet! Waongee ukweli hakuna anaependa kushindwa hesabu, inatokea tu!
Sawa bwana we umekuja na hoja, wazee wengine kanjanja sana!Mm baba yangu alikuwa mkweli kabixa aliniambia alikuwa wa kwanza na niliona mitihani yake alikuwa akifeli sana amepata 60 mzee wangu alikuwa kichwa aswa
na *maswali mengine yalikua hivi**Nakumbuka mitihani ya Darasa la saba ilikuwa inaanza kama utani utani hivi*
19+87=
219-45=
12x34=
59÷7=
Halafu huko mbele sasa kuanzia swali la sita au la saba hivi...utajutaa!!
"Ndege inatoka Dar saa tatu asbh kwenda Chato. Na gari Toyota Land cruiser linatoka Chato saa nne asbh kwenda Dar.
Ikiwa spidi ya ndege ni 350km/saa na ya land cruiser ni km220/Saa, na umbali wa Chato-Dar ni KM 900, je, zitakutana saa ngapi?"
Ah, sasa mi ntajuaje???
Na hizi tochi zote barabarani na matuta na ishu ya kusimama kujisaidia...ntawezaje kujua watakutana saa ngapi.
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Unajikuta umetoka kwenye pepa umejibu maswali manne tu ya mwanzo kati ya hamsini
2001wee umemaliza lini?