Ibrahimeliza
Member
- Nov 25, 2020
- 37
- 26
Ukaacha kusoma ukaingilia maisha ya mtu.Ulikuwa zuzu.Nakumbuka nilivyokuwa chuo nasoma ni chuo cha biashara, nilimuuliza lecturer.
Mimi; unafanya biashara gani teacher...??
Lecturer; Hahaahahhaaaaa sina biashara.
Mimi; Kwanini...??
Lecturer; Unajua ukifungua biashara ukimuweka mtu mara akuibie mara ufilisike mara hivi mara vile.
Mimi; Sindo biashara lakini.
Lecturer; Hahahahaaaaaa sio rahisi hivyoo.
Mimi; Haya sawa.
Lecturer; Ila utaweza kufanya muda unao bado kijana damu inachemka, ila soma kwanza lolote likitokea unaelimu yako.
Mimi; Haya sawa nashkuru lecture.
Ni udadisi tu, kama anachokifundisha anakifanyia kaziUkaacha kusoma ukaingilia maisha ya mtu.Ulikuwa zuzu.
Ulifaulu?Ni udadisi tu, kama anachokifundisha anakifanyia kazi
Hahahahhaaaaaaa ndiyo, nilipata sup nikachomoaUlifaulu?
Unaona sasa?πππ€Hahahahhaaaaaaa ndiyo, nilipata sup nikachomoa
Hahahahaaaaa kawaida mkuu, ila nilifaulu sema udadisi muhimu au unasemaje...??Unaona sasa?πππ€
Wafanyabiashara wa Tz(sijajua nchi nyingine) ndumba kwa sana(sio kuwa wanapenda,inawabidi) .
Wakati huo huo Ndumba
Hapo sawaaaa kabisaaa,Wafanyabiashara wa Tz(sijajua nchi nyingine) ndumba kwa sana(sio kuwa wanapenda,inawabidi) .
Wakati huo huo Ndumba haipo kwenye notes za kozi za biashara
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ndumba haipo kwenye vitini sioWafanyabiashara wa Tz(sijajua nchi nyingine) ndumba kwa sana(sio kuwa wanapenda,inawabidi) .
Wakati huo huo Ndumba haipo kwenye notes za kozi za biashara