Nakumiss Mangwea

Nakumiss Mangwea

Mwenye nyimbo kadhaa za ile albam yake ya kwanza aziweke hapa tupakue maana tushazitafuta sana hatuzipati
 
Kama Mungu angejibu
 

Attachments

  • 1475728943501.jpg
    1475728943501.jpg
    33.3 KB · Views: 301
Wengine nyinyi mnapenda vya
kupewa ndo mana wengi wenu mnaishia kuchezewa mnamegwa mnaachwa na hata mkiolewa ndoa
inajaa visa na kuonewa mfano me
narudi muda nao taka na ukiniletea kibuli huwa ni asubuhi talaka!!

Uko vizuri
 
Zizmaa who gotta keys for my bimma who am I jembe nalima kitu gani sina vocal au vina?

Haukuwepo wakati nazisaka so usinipangie kuspend.

Watu wanaongeaongea wamebaki kumdiss ngwea njoo ghetto uone Dada zao ninavyowaemea.

vp dj haupigi hewani na unasikiliza ghetto demu wako chumbani hizi vocal anapigia n ¥€+0 ,Q ebu Kata hiyo instrumental maana masela wanakuwa mamento.
 
Hata mi nammiss ila kimya kimya maana kila kitu kwake ilikuwa kimya kimya (mikasi, mitungi, blanti) [emoji27][emoji27]
 
Nilianza kummiss ngwair katika video ya Quick raka jinsi alivyochana ktk my baby
 
Nyimbo zake za mitungi mikasi na she got gwain zinanikumbusha 2005 nilipokuwa natoka shule mida ya saa nane vile naisikia somewhere in Mwanza kwa kinyoz flan duh pale ndo njaa ilikuwa inazidi kuniuma zaidi maana nilikuwa nikifika tu maeneo ya hapo kwa kinyozi inakuwa bado nusu ya safari ya kuelekea nyumbani.All in all miss you ngwear RIP
 
Wengine nyinyi mnapenda vya
kupewa ndo mana wengi wenu mnaishia kuchezewa mnamegwa mnaachwa na hata mkiolewa ndoa
inajaa visa na kuonewa mfano me
narudi muda nao taka na ukiniletea kibuli huwa ni asubuhi talaka!!

Jamaa alikuwa vizuri sana katika nyimbo zake
R.I.P BROTHER
 
Nyimbo za ngwair nilikuwa hazielimishi jamii bali kusifia ngono na gambe na imagination za kumwaga
 
Back
Top Bottom