Nakunywa coca cola 5 kila siku, nifanyaje niache!?

Lucky you.,

Mimi sio chini ya nane and what pains me ni kuwa hata boys wangu wameanza kuzijua.
 
Coca ina addiction kama addiction ya madawa ya kulevya! The only way ya kuacha n kunywa maji mengi ikiwezekana ya vuguvugu at least lita 3 kwa siku! Na ikiwezekana tembea na chupa ya maji kbs kujikumbusha unahitaj maji! After 3 weeks addiction itaisha
 
Kwa sasa baada ya kupata ushauri, nimeacha. Ingawa mwazoni nilikuwa nikiumwa kichwa....

Wala si kazi ngumu kuacha, niliamua tu
 
Lucky you.,

Mimi sio chini ya nane and what pains me ni kuwa hata boys wangu wameanza kuzijua.

Jitahidi uache my dear..ukisikia hamu kula matunda instead. ..sio rahisi ila utaweza
 
Angakia madhara yake kene mtandao na uwe unataka kuacha. Mimi nimekunywa soda sita tangu october 2014. Na nlialikwa kwa mtu
 
Hahahaha nimecheka saana,eti jamaa anakwambia acha COCA,kunywa PEPSI
 
Hamia Coke Zero mkuu haina sukari et least unakuwa haunenepi na meno hayaharibiki. Au jaribu chai/coffee maana utakuwa addicted na caffeine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…