Nakunywa maji lita 5 kwa siku

Asante kwa ushauri ubarikiwe sana fadhili paul, vp nikitaka kupunguza uzito kwa kutumia maji, hiyo formula itaapply au nitatakiwa kunywa zaidi ya hapo?
 
Asante kwa ushauri ubarikiwe sana fadhili paul, vp nikitaka kupunguza uzito kwa kutumia maji, hiyo formula itaapply au nitatakiwa kunywa zaidi ya hapo?

Fomula ita-apply tu, mhimu ujuwe uzito unakujaje mwilini, nini cha kufanya ili kupunguza uzito? soma maelezo yote yaliyopo hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…