Nakunywa pungufu ya robo lita ya maji kwa siku, sioni madhara ya kiafya, Je ni kweli maji ni afya?

Nakunywa pungufu ya robo lita ya maji kwa siku, sioni madhara ya kiafya, Je ni kweli maji ni afya?

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
Nimekuwa nikiona mara kadhaa inabidi mtu anywe lita 1 ya maji au zaidi kwa siku ili kulinda afya, kwangu hali ni tofauti.

Kwa muda mrefu nimekuwa nakunywa mai pungufu ya robo lita

kazi yangu ni ya kisomi nasukuma kalamu na kuongea hivyo situmii sana nguvu za mwili.

Sehemu nilipo hakuna joto

Sehemu nayotumia zaidi maji ni kwenye mazoezi mepesil, nakimbia raundi tano uwanja wa karibu, nikirudi nyumbani nakunywa kikombe kimoja

Asubuhi nakunywa kikombe cha chai, nikila huwa nakunya maji kidogo
 
Nakumbuka nikiwa advance nimewahi kunywa maji yasiyozidi lita tatu kwa mwezi. Na sikuona tatizo lolote.

Kwa kawaida sina tabia ya kunywa maji naweza kuskip hata siku tatu bika kuonja maji direct maybe kweny vyakula, juice nk.
 
Nimekuwa nikiona mara kadhaa inabidi mtu anywe lita 1 ya maji au zaidi kwa siku ili kulinda afya, kwangu hali ni tofauti.

Kwa muda mrefu nimekuwa nakunywa mai pungufu ya robo lita

kazi yangu ni ya kisomi nasukuma kalamu na kuongea hivyo situmii sana nguvu za mwili.

Sehemu nilipo hakuna joto

Sehemu nayotumia zaidi maji ni kwenye mazoezi mepesil, nakimbia raundi tano uwanja wa karibu, nikirudi nyumbani nakunywa kikombe kimoja

Asubuhi nakunywa kikombe cha chai, nikila huwa nakunya maji kidogo
Karibu dar
Utakunywa tu maji bila kulazimishwa.
Kingine kinachokubeba ni kuwa mwenye eneo ambalo halina joto!
 
Juzi nilimsikiliza daktari wa figo alisema hata nusu lita inatosha kwaajili ya figo. Kikubwa uwe unakunywa maji kila siku
Huwez kuona kwa sasa mkuu
Juzi nilimsikiliza daktari wa figo alisema hata nusu lita inatosha kwaajili ya figo. Kikubwa uwe unakunywa maji kila siku
Kunywa maji, ukijipunja huwez kuona athari zake leo au wiki ijayo
 
MImi pia sio mnywa majinna uraibu wa Pepsi baridi!
Ila miezi 2 hivi karibuni nmejikuta nna kiu sana yani nakunywa hata lita2 kwa siku wakati nilikua naweza uchuna tu nisinywe kutwa nzima.
na wala sijaumwa uti sijui nini! Ila nmegubdua saizi nafanya kazi ngumu inapelekea koo kukauka
 
nasikia hakuna kiwango maalum cha maji mtu anatakiwa anywe

mwili una uwezo wa kugundua upungufu wa maji, unakupa kiu, unatakiwa unywe maji pale utakapohisi kiu

hivi viwango vya maji vilitungwa na makampuni ya maji kule marekani ili watu wananue maji zaidi

je kuna ukweli? DR Mambo Jambo
 
Kila mmoja na maumbile yake sio kila mmoja ni sawa na wengine
Mimi sinywi maji kabisa ila nakunywa chai, kahawa, na juice tu
Maji kama maji naogea tu na ndio naona matumizi yake 😄
Afya yangu ni njema sana sina tatizo lolote
Sukari kwa sana na hata chumvi pia
 
Kila mmoja na maumbile yake sio kila mmoja ni sawa na wengine
Mimi sinywi maji kabisa ila nakunywa chai, kahawa, na juice tu
Maji kama maji naogea tu na ndio naona matumizi yake 😄
Afya yangu ni njema sana sina tatizo lolote
Sukari kwa sana na hata chumvi pia
Kihana kinakuja
 
Back
Top Bottom