Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Bei ipo wapi?Namjua vizuri,wapo wawili,mmoja anauza nguo
Mkuu naweza nikapataje mi wa kanda ya ziwa?,naweza letewa huku?na je yebo yebo ziko hapo pia?Nawasalim kwa jina la jmt
Kuna watu wanafanya biashara ya hivi viatu, mikoani, daresalaam, visiwani.
Hivi viatu unavipata kwa mchina flani hivi anapatikana Narun'gombe na na Msimbazi pale hoteli ya Hong Kong. Bei zake ni za Katoni (24 pieces) na mizigo yake haikai sana.
Kalaga baho.
View attachment 3154668View attachment 3154670View attachment 3154671View attachment 3154672View attachment 3154673View attachment 3154674
Mwambie aweke contact za huyo Mchinamzigo uko vizurii mazee
Mkuu clack ndo brand gani hiyo, nadhani ulikuwa unamaanisha clarksDaaaa we jamaaa hizo ni sendo sasa?nilitegemea kuona brand ya clack,,,
Yesss.. huyo anajiita ndio orijinalNamjua vizuri,wapo wawili,mmoja anauza nguo
Bei zimo kwenye picha angaliaWeka bei yake
Hizo wasiiana na wenyew clack pale hermes zipoDaaaa we jamaaa hizo ni sendo sasa?nilitegemea kuona brand ya clack,,,
Wachina hawataki usumbufu, mara nipunguzie mara ni gani.. wewe beba mali weka hela kazungukeMwambie aweke contact za huyo Mchina
Shukrani mkuu, tuko pamojaKalaga Baho Nongwa nafurahi kuliona andiko lako.
Bei tajaWachina hawataki usumbufu, mara nipunguzie mara ni gani.. wewe beba mali weka hela kazunguke
Bei ziko hapo chini ya pichaBei taja