Nakupa chimbo la sendols za kiume, kwa wafanyabiashara tu

Nakupa chimbo la sendols za kiume, kwa wafanyabiashara tu

Kalaga Baho Nongwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2020
Posts
9,953
Reaction score
23,150
Nawasalim kwa jina la jmt

Kuna watu wanafanya biashara ya hivi viatu, mikoani, daresalaam, visiwani.

Hivi viatu unavipata kwa mchina flani hivi anapatikana Narun'gombe na na Msimbazi pale hoteli ya Hong Kong. Bei zake ni za Katoni (24 pieces) na mizigo yake haikai sana.

Kalaga baho.

IMG-20241117-WA0017.jpg
IMG-20241117-WA0016.jpg
IMG-20241117-WA0014.jpg
IMG-20241117-WA0011.jpg
IMG-20241117-WA0015.jpg
IMG-20241117-WA0013.jpg
 
Nawasalim kwa jina la jmt

Kuna watu wanafanya biashara ya hivi viatu, mikoani, daresalaam, visiwani.

Hivi viatu unavipata kwa mchina flani hivi anapatikana Narun'gombe na na Msimbazi pale hoteli ya Hong Kong. Bei zake ni za Katoni (24 pieces) na mizigo yake haikai sana.

Kalaga baho.

View attachment 3154668View attachment 3154670View attachment 3154671View attachment 3154672View attachment 3154673View attachment 3154674
Mkuu naweza nikapataje mi wa kanda ya ziwa?,naweza letewa huku?na je yebo yebo ziko hapo pia?
 
Back
Top Bottom