Nakupa chimbo la sendols za kiume, kwa wafanyabiashara tu

Kuna vidude nimeona Wahuni wanaviuza 25,000 mpaka 30,000 yaan karibu mara 3 ya bei yake
Karibu mjini mkuu, mm natkiwa nilipwe na Maxence Melo wa JamiiForums mana nawapa watu utajiri wajiendeleze bila kutaka senti mia. We are families, so kuna mtu nikimpelekega huko kona ananilipa 10 usd. Kazi kwako kazi ndo hizi hizi
 
Lakini msisahau nina chimbo la pochi. Muuzaji mwenyew niko kawe 🥱
 
Karibu mjini mkuu, mm natkiwa nilipwe na Maxence Melo wa JamiiForums mana nawapa watu utajiri wajiendeleze bila kutaka senti mia. We are families, so kuna mtu nikimpelekega huko kona ananilipa 10 usd. Kazi kwako kazi ndo hizi hizi
Yaan madogo wa Chuo wananunua saaana hivyo vidude 25,000 mpaka 30,000 tena uwakute wamelikamata boom utafurahi na roho yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…