Asante Lizzy,mimi sijui watu kwanini hawafanyi tafiti kabla ya ku-generalize na ku-offend wenzao.......unakuta mtu amekuwa na wasichana wake wa bei rahisi wakamchuna hadi basi,then akitoka hapo anakurupuka JF kuongea hayo......get a life and give us a big break........
Basi lazima ni ufala wa wasukuma ndio mnapendaga, maana kama kuna wanawake wanapenda kuendesha wanaume wachaga wanaongoza.
Basi lazima ni ufala wa wasukuma ndio mnapendaga, maana kama kuna wanawake wanapenda kuendesha wanaume wachaga wanaongoza.
Mweekee bajeti ya kiasi cha pesa, muonge mara ya kwanza, ya pili, ya tatu mpaka ya tano. Mara ya sita omba mzigo. Walahii Aruki!!! Ukiingia kwa sound, mtafika kigoma kwa treni na kurudi hata safari mia, akuelewi. Hawa awana moyo wa kupenda, maslai kwanza.
Bwana mdogo,Tuheshimiane.............
What???????
If I call you crap??
Au ngoja niache tu. Nimekusamehe bure.
Na wewe nisamehe coz nimekuchukia gafla.
mimi mnyamwezi najua ninachosema, heshima ipo mbele kabisa
Mweekee bajeti ya kiasi cha pesa, muonge mara ya kwanza, ya pili, ya tatu mpaka ya tano. Mara ya sita omba mzigo. Walahii Aruki!!! Ukiingia kwa sound, mtafika kigoma kwa treni na kurudi hata safari mia, akuelewi. Hawa awana moyo wa kupenda, maslai kwanza.
Bwana/Dada Msandawe, nakwenda kujaribu hii njia yako... lakini nikiliwa... patachimbika. yesu na Maria utarudisha fedha zangu[/QUOTE]
Ukishidwa, nitakurudishia huwo mkwanja utakao tumia. Mtafute moja anaye uza duka au kwenye vyuo vya elimu ya juu. Thadharii! asiwe mmrangu. Mmarangu dau lao kubwa ukichanganya outing & pombe
Shimboni!!
[SIZE=3[COLOR=blue]]Mweekee[/COLOR] bajeti ya kiasi cha pesa, muonge mara ya kwanza, ya pili, ya tatu mpaka ya tano. Mara ya sita omba mzigo. Walahii Aruki!!! Ukiingia kwa sound, mtafika kigoma kwa treni na kurudi hata safari mia, akuelewi. Hawa awana moyo wa kupenda, maslai kwanza.[/SIZE]
call whatever, im used to your type now.
Nashicha!!!
umechukua pesono sana, hayo ya kufanya risechi yanahitaji mtu mwenye shida zake ki akademiki, huyu anataka tu eksipiriensi za watu, wala isikuofendi kama wewe ni mchaga na hupendi kabisa mkwanja.
Sina pesa, Ningekununulia mbege. Ulienda kuesabiwa? Au wanajua umekufa
There are currently 34 users browsing this thread. (20 members and 14 guests)
- Msandawe Halisi
- Albedo
- bandidu
- Mtumpole
- Kagasheki
- Mpasuajipu
- Kin
- Matarese
- thetowerofbabel
- SUWI
- lebabu11
- Mfamaji
- NG'WANENE
- Buchanan
- Jaluo_Nyeupe
- Mtumiabusara
Duh....!!! Yaani wote nyie mnataka kuwapata wadada wa kichaga?Mbona upinzani utakuwa mkubwa sasa?
Si kila research ni for academic purpose,kuna nyingine zinaangalia behaviour+attitude ambazo zinatokana na experience za watu,hasa za social sciences!
Hao unawapata kwa kilo ya nyama