Nakupa Siri ya kuwapata wadada wa kichaga


umechukua pesono sana, hayo ya kufanya risechi yanahitaji mtu mwenye shida zake ki akademiki, huyu anataka tu eksipiriensi za watu, wala isikuofendi kama wewe ni mchaga na hupendi kabisa mkwanja.
 
Basi lazima ni ufala wa wasukuma ndio mnapendaga, maana kama kuna wanawake wanapenda kuendesha wanaume wachaga wanaongoza.

What???????

If I call you crap??
Au ngoja niache tu. Nimekusamehe bure.

Na wewe nisamehe coz nimekuchukia gafla.
 

Bwana/Dada Msandawe, nakwenda kujaribu hii njia yako... lakini nikiliwa... patachimbika. yesu na Maria utarudisha fedha zangu
 
What???????

If I call you crap??
Au ngoja niache tu. Nimekusamehe bure.

Na wewe nisamehe coz nimekuchukia gafla.

call whatever, im used to your type now.
 

Nashawishika kukuuliza haya maswali.

1. Kwanza kwa nini unamhonga msichana?? What for?
2.Halafu ni nini nia yako kwa huyo msichana unayemhonga??
3. Unasema hivi eti??
Ukiingia kwa sound, mtafika kigoma kwa treni na kurudi hata safari mia, akuelewi.
Unajua nini, nampongeza sana huyo dada, manake kwanza ulikuwa huna nia nzuri kwake (AKAKUGUNDUA MAMEPA).
alivokuona unajifanya una mapesa na unamhonga akaamua kuyachukua hayo mapesa/vijesenti vyako.








 
 

Mkuu Naona Jukwaa la Siasa Limekushinda sasa Umeamua kuja Kivinge na Majungu Yako huku kwenye Jukwaa Tukufu la MMU! Karibi ila Ukiendeleza majungu yako na Huku tutakutimua
 
call whatever, im used to your type now.

Mama aliniambia hivi, ikitokea nikawa naoga, halafu akatokea kichaa akachukua Taulo langu/kanga yangu akaondoka nayo,
Nisitoke kumkimbiza, nimwache tu aende. Afu nimwite yeye anipe ingine.

Sooooo nipishe nipite:car::car::car::car::car::car::car::car::car::car:
 
umechukua pesono sana, hayo ya kufanya risechi yanahitaji mtu mwenye shida zake ki akademiki, huyu anataka tu eksipiriensi za watu, wala isikuofendi kama wewe ni mchaga na hupendi kabisa mkwanja.

Si kila research ni for academic purpose,kuna nyingine zinaangalia behaviour+attitude ambazo zinatokana na experience za watu,hasa za social sciences!
 
Hebu nipe mbinu za kumpata mwanaume wa kichaga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…