Nakupa za kukubless Jumanne ya leo zitafute

Ana tatizo sana huyo Member utulivu wa akili hana kabisa, kuna siku alinizushia maneno humu aisee nikaamua kum ignore mazima. Mtu kama huyu anapitia kipindi kigumu sana hasa kiakili
Jf ndio mfaliji wake maana hatumjui hivyo analipuka ajuavyo.

Muache aenjoy akichoka ataacha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…