pachawako
Senior Member
- Mar 30, 2024
- 120
- 315
We mdada wa CRDB tawi la Mwanza customer care desk, kwanza nakuombea kwa mungu uzidi kukupa afya njema vingine nitafanya mimi, ninafanya juuchini nikupate, iwe ni kwa upendo, dua, viringe ama pesa nitazitoa ili tu uwe wangu.
Nimekutazama vizuri, una uzuri wa sauti, tabasamu, karangi kako dark bila kusahau shape yakunitoa roho. Sijali kuhusu tabia sijali nitazihandle.
Nitakapokupata nitakutunza mara elfu na ndoa kubwa jua tutafunga, kama una mume sponsor au bwana mwambie afunge mkanda kazi imeanza.
Nimekutazama vizuri, una uzuri wa sauti, tabasamu, karangi kako dark bila kusahau shape yakunitoa roho. Sijali kuhusu tabia sijali nitazihandle.
Nitakapokupata nitakutunza mara elfu na ndoa kubwa jua tutafunga, kama una mume sponsor au bwana mwambie afunge mkanda kazi imeanza.