unejoune
Senior Member
- Apr 1, 2011
- 191
- 87
mkuu si kwakua na hiyo tigo ulimla wewe?
Jamani wanawake tumechoka sasa na kashfa na matusi yenu kwetu. Leo binti keshajua alikosea kurushwa maji pasi focus kaamua kuacha hiyo tabia bado mnamzodoa eti hata ya nyuma hana. hivi niwaulize maswali wangapi hapa ni wakaka tukipima marinda tutayakuta? ama ni kwakua sisi huwa hatuyasemi haya? tunajua kabisa sio wanaume wote wana marinda walikoyapeleka wapi? mbona sisi hatuwavunjii heshima kiasi hicho?
sasa natamani kweli mdada aje na mada kuwa mpenzi wake hana marinda hapa tuone mtasemaje na tutaanzisha darasa la ukaguzi yanatakiwa yawe 96 vileee sasa ole wa youle tutakayokuta 40 ama hata 89 tu utasema moja umepekleka wapi. tumechoka bwana msitudhalilishe.
With due respect and apology, marinda ni kitu gani? Hujambo?